Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Nikweli Mimi hua napinga mambo ya kugeneralize ...But Mambo ya hiki kabila nayasikia Tangu napata ufahamu wa Akili.

Ila niwe muwazi sijakutana na mtu wa Hilo kabila akanifanyia Ubaya hata mmoja.
.
Ili swala ni mtambuka kidogo, linahitaji muda kulizungumzia kiundani, welcome pm for discussion.
 
Inaonekana ktk Jiji la DSM kuna maovu mengi sana yanaendeleea ktk jamii zetu na wananchi wame nyamaza kimyaa kama hawaoni vile!!! na viongozi hawana habari mpaka WAZIRI atoke Dodoma ndio ashughulikie!!!!
kila mara Rais Magufuli anasema viongozi tatueni kero ZA wananchi ktk maeneo yenu lkn wapi bwana!! Viongozi wamezifumbia macho kero ZA wananchi, hawana. Habari, unawezaje kuzitambua kero ZA wananchi kama uko mbali!!! Hukutani na wananchi??!!!! Kutwa ofisini??!!! Hupatikani?!!!!! Huonekani???!!!!!

Jambo la kujifunza ktk sakata hili ni;

1. Wananchi wenzangu wapenda Amani tuwe mstari wa mbele kufichua uovu/kero ktk maeneo yetu kabla madhara makubwa hayajatokea.
Kamwe tusikubali mtu au kikundi cha watu wawe juu ya sheria/hawagusiki......tutumie kila mbinu kuwafichua.

2. Kunahaja ya viongozi, Mbuge, Madiwani Na wenyeviti wa serikali Za mitaaa kukutana Na wananchi mara Kwa mara kusikiliza kero zao Na kuzitatua

3. Jeshi la POLISI pia kuna haja ya kuwa Na mikutano ya kusikiliza kero ZA wananchi ktk maeneo mbali mbali.... Itasaidia, sio patrol tu bali pia kuwa Na mikutano ya elimu Na kusikiliza kero
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Yaani huyu mama hana hofu kabisa ya Mungu aiseeeh!
 
Inaonekana ktk Jiji la DSM kuna maovu mengi sana yanaendeleea ktk jamii zetu na wananchi wame nyamaza kimyaa kama hawaoni vile!!! na viongozi hawana habari mpaka WAZIRI atoke Dodoma ndio ashughulikie!!!!
kila mara Rais Magufuli anasema viongozi tatueni kero ZA wananchi ktk maeneo yenu lkn wapi bwana!! Viongozi wamezifumbia macho kero ZA wananchi, hawana. Habari, unawezaje kuzitambua kero ZA wananchi kama uko mbali!!! Hukutani na wananchi??!!!! Kutwa ofisini??!!! Hupatikani?!!!!! Huonekani???!!!!!

Jambo la kujifunza ktk sakata hili ni;

1. Wananchi wenzangu wapenda Amani tuwe mstari wa mbele kufichua uovu/kero ktk maeneo yetu kabla madhara makubwa hayajatokea.
Kamwe tusikubali mtu au kikundi cha watu wawe juu ya sheria/hawagusiki......tutumie kila mbinu kuwafichua.

2. Kunahaja ya viongozi, Mbuge, Madiwani Na wenyeviti wa serikali Za mitaaa kukutana Na wananchi mara Kwa mara kusikiliza kero zao Na kuzitatua

3. Jeshi la POLISI pia kuna haja ya kuwa Na mikutano ya kusikiliza kero ZA wananchi ktk maeneo mbali mbali.... Itasaidia, sio patrol tu bali pia kuwa Na mikutano ya elimu Na kusikiliza kero
Mwananyamala kuna sehemu watu wanapigana miti maarufu kwa wahaya then mbele ya hivyo vyumba watu wanapita kwenda msikitini na maeneo mengine hakuna mwenye muda na mambo ya mwengine
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Hawa watu utaratibu wao wa kurudi nyumbani kila mwisho wa mwaka ndio matokeo yake hayo.
Kwasababu wakifika kule wanaanza kuoneshana magari ya kifahari pasipo kuonesha njia zilizopelekea kupata Mali hizo hiyo ndio inawapelekea watu wafanye ufulsika wote ili wakatambiane huko mwiso wa mwezi
 
Wachaga kujeni hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walemavu wanalipa sana, kuna mmoja alikwapuliwa kwa ahadi tamu tamu kaenda kuanikwa Nairobi huko.

Siku moja kama bahati tu kapita mtu anayemfahamu, unaambiwa alimrukia na kumng’ang’ania kwa machozi hadi amrudishe kijijini kwao.

Alimsaidia kumrudisha?
 
Ndungu mchaga...naona unamtetea mchaga mwenzako...
.Kumbuka Dunia ya leo ulemavu waweza mpata yoyote..Kuna kisukari Watu wanakatwa miguu....

Kuna ajali... Unapenda Ndugu Zako wakuuze ...wakuanike juani pale mnazi mmoja asubuhi Hadi jioni...ukiomba Mia Mia...

Tunajua mnapenda pesa...lakini TUWE NA UTU....

Wachaga hawanaga utu kwenye pesa
 
Hawa watu utaratibu wao wa kurudi nyumbani kila mwisho wa mwaka ndio matokeo yake hayo.
Kwasababu wakifika kule wanaanza kuoneshana magari ya kifahari pasipo kuonesha njia zilizopelekea kupata Mali hizo hiyo ndio inawapelekea watu wafanye ufulsika wote ili wakatambiane huko mwiso wa mwezi
Jasho na damu, halali na haramu
 
Watu wanajua kutumia fursa zilizoletwa na serikali ya makanikia kwenye uchumi wa kati .
 
Back
Top Bottom