Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Huwezi Amini nilimpa...Nikapanda bajaji ya jero nikabaki na buku [emoji25]

Sadaka yangu Kuna mahala ntailekeza
Ulitimiza dhamira uliyokuwa nayo haijarishi alikuwa na hela au hakuwa nazo. Mungu akubariki sana
 
Mkuu tusiwalaumu wachaga kwa kutafuta pesa kwa nguvu zote ,

Tuwalaumu wale wazee wao wa kimila huko Moshi ,,,,, wanaowapiga makofi na kuwaadhibu wachaga wote wazembe , wanaoshindwa kuonyesha mafanikio yeyote waliyoyapata huko mjini wanakotafuta pesa,, tangu walipoondoka huko kijijini december msimu wa xmass ya mwaka uliopita.
Hiii habari umeipata wapi? Wacheni mambo ya uzushi bana.
 
Hawa watu kweli wanatafuta pesa kwa kila mbinu.
1. Kupitia vyama vya siasa
2. Kupitia walemavu
3. Kupitia wizi
4. Kupitia ujambazi
5. Kupitia kitimoto
6. Kupitia wizi wa kalamu
7. ............
Hahaha
 
Hata wale ombaomba waopelekwa Kenya kutokea Tz,wakala wa hiyo biashara ni haohao akina Swai,huyu yeye anaitwa Mushi.



Seems "December Conference" huwa inaambatana na kufahamishana fursa kama hizi
 
We si ndio unalalamika boyfriend wako anakufulisha nguo?
Enhe unasemaje Sasa... Mimi Ni mlemavu nafua nguo za Watu pesa anachukua yeye?

Kwanza kasome bandiko pale.. Hakuna aliefua nguo za mtu
 
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.

Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.

My take:

Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.

Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
ujasiria mali ni kipaji, juhudi, maarifa na kujituma. huyo sio wa kumshitaki anatakiwa aendelezwe ni mbunifu wa kuendelezwa hicho kipaji kisipotee. ungewapa watu hio guest wangesema hakuna biashara na wangefunga.
 
Hiii habari umeipata wapi? Wacheni mambo ya uzushi bana.
Habari tunazo mkuu,

Ilikuwa haiingii akilini kuona mchaga anatumia nauli hata 100 k kwenda Moshi..Mara 5 ya nauli ya kawaida dar -Moshi.

Ilibidi tuingia chimbo,,,kupata sababu ya hilo,,kwann xmass lazima imkute Moshi.

--Jibu ni kupeleka mahesabu na kujadiliana changamoto za maisha.

--Tarehe 25 dec xmass,,--siku kuu
--Tarehe 26 dec-- kikao cha family
--Tarehe 27 dec-- mkuu wa kaya anawapa ruhusa kurudi mjini kwa masharti ya kujiongezea zaidi kipato x mass ijayo,,

Sasa ole wako uje na maneno matupu,,badala ya pesa.

Makofi ya kizee yanakuhusu.
 
Habari tunazo mkuu,

Ilikuwa haiingii akilini kuona mchaga anatumia nauli hata 100 k kwenda Moshi..Mara 5 ya nauli ya kawaida dar -Moshi.

Ilibidi tuingia chimbo,,,kupata sababu ya hilo,,

--Jibu ni kupeleka mahesabu na kujadiliana changamoto za maisha.

--Tarehe 25 dec xmass,,
--Tarehe 26 dec kikao
--Tarehe 27 dec mkuu wa kaya anawapa ruhusa kurudi mjini kwa masharti ya kujiongezea zaidi kipato x mass ijayo,,

Sasa ole wako uje na maneno matupu,,badala ya pesa.

Makofi ya kizee yanakuhusu.
Uzushi mtupu.
 
Ndungu mchaga...naona unamtetea mchaga mwenzako...
.Kumbuka Dunia ya leo ulemavu waweza mpata yoyote..Kuna kisukari Watu wanakatwa miguu....

Kuna ajali... Unapenda Ndugu Zako wakuuze ...wakuanike juani pale mnazi mmoja asubuhi Hadi jioni...ukiomba Mia Mia...

Tunajua mnapenda pesa...lakini TUWE NA UTU....
Hakika
 
Halafu nasikia mbinu wanazotumia kuwaleta huku mjini ni kwenda kuwadanganya wazazi wao huko vijijini kwamba wanawachukua kwa lengo la kuja kuwapeleka kwenye matibabu na vile wazazi hali zao ni duni basi huwa hawana jinsi zaidi ya kutowa watoto wao.

#Mbayasanahii.
Hiyo ni moja, nyingine wanaambiwa kuna kazi DSM.
 
Aisee...sinto sahau siku moja natoka hospital general ..nikakutana na omba omba...mtu mzima hivi...

Akaniambia Dada naomba miambili Nile ukoko...Nina njaa..

Nlikua na elfu mbili tu ambayo Ni yangu.. nyingine nlikua nimagizwa matunda.

Daah nikamuona huruma..nikamwambia ngoja nitafute chenji..nikapata chenjii..nikamrudia alipokua amekaa..

Nlimkuta anahesabu hela kibao..buku buku..jelo, miambili ..yaani hela alizonazo Mimi Sina..

Aisee nilisikitika Sana...NIKASEMA dooh
Kweli.
Biashara za watu
 
Bado yupo hadi sasa?
Yupo na jamaa pale maeneo ya DIT
Yule jamaa ni mzima kabisa anamigue yote but huwa anajikunja anaweka madawa madawa kwenye mikono kama mgonkwa anaanza kuomba hela
Ikifika usiku kabisa giza giza anaanza kutumbee vizuri tu

Siku niliyokutana naye nilishangaa sana aseh kumbe jamaa huwa mzima kabisa.
 
Back
Top Bottom