mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Kwani kwao walikuwa hawali na kuishi?Kwa hyo kwa ajili sanalishwa na kuishi ndio watembezwe barabarani?wewe angekuwa mtoto wako ni mlemavu ungekubali atembezwe barabarani kuombaomba?
Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?