Pole kwa msiba , lakini kuna jambo jina nitatiza
Moja alikuwa mpole hivyo uwezekano wa kufarakana na jirani au majirani ni mdogo
Pili alikuwa mtu mwenye uweledi hivyo alikuwa si mbadhirifu wa Mali ya umma
Sasa unajiuliza nani alikuwa na uhasama naye ?? Jamiii iliyo mzunguka??
Au yeye mwenyewe kwa kutoeleza vizuri alivyo potea Mara ya kwanza nine hasa has a kilitokea na je issue ya kuitwa polisi lipoje ikiwa alikuwa mweledi au kama ni kutokana na kutekwa Kwake hapo awali
Hapo kuna mambo mengi yamejificha, 1. Kama watu walipiga sana hapo Wizarani kipindi hicho cha JK especially pesa za misaada toka nje kama za Gaddafi 20million usd, huo ni mfano mmoja, hili kuficha evidence kwenye mkono wa sheria ikabidi watuhumiwa watumiye mbinu mbadala wa kumtoa kafara, wengine wapone. Rejea jamaa wa mafuta EWURA aliyetoka kutoa ushaidi bungeni kufika Dar wakakuta amejinyonga au kunyongwa kuficha maovu ya wajanja. 2. Wake za watu maana alikuwa na pesa hivyo angeweza kubeba mwanamke yeyote wa sasa hivi hawa. Lakini number moja yaweza kuwa sawaaliyekua mkuu wa Kitengo cha EU, Wizara ya Fedha Leopard Lwajabe [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15].... Hatuna tofauti na nyumbu sasa mbele ya simba na chui[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Watu wangapi wanachukua muda kupanga atakavyo jiondoa duniani au unataka kusema hayo maandishi yake uliandika wewe na sio marehemuUnaijua saikolojia ya kujiua? Yaani utoke dar ukajiue Rufiji? Kujiua ni kitendo kisicho cha hiari maamuzi ya kujiua na kitendo cha kujiua huwa havipishani ndani ya dakika 5 huwa ni illusion maruweruwe hadi ufike rufiji ile dhamira ya kujiua huwa ishatoweka sababu njiani ushaingiza image nyingi utakazo kutana nazo.Ukikua utaelewa.
Watu wangapi wanachukua muda kupanga atakavyo jiondoa duniani au unataka kusema hayo maandishi yake uliandika wewe na sio marehemu
Dhana ya kutekwa Mara ya pili ni ya kwako na sio kitu kilichotokea kama ilivyo dhana ya demokrasia ktk saccos mojaUngefatilia kisa kizima usingeropoka utekwe mara Mbili then ujinyonge
Hahaha kama ya Bashite?!
Taarifa ni tata...mtu aliyechanganyikiwa hawezi kusema walionileta wameniambia nikaripoti polisi...kwa lipi hasa na ww ulikua umechanganyikiwa...stori haina muunganiko mzuri...
Mkuu ninakuaminia...hii msg ilikua kabla ya taarifa za kukutwa mwili mkuranga kama masaa 5 hadi 8 kabla...nashukuru unatujuza mambo ya jikoni ambayo ni vigumu wengi kuyajua bila kuwa na wabobezi kama ww mkuu...'we salute you'...tunakupa big up!!
Tuache unajimu na mambo ya kulaani ttusivyo jua imethibitishwa kwa maandishi yake mwenyewe amejiua na kuacha mgao wa mali zake na ngombe wa kuchinjwa kwenye msiba ni wanne, hays wazee wa saccos leteni santuri nyingine