Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kasumba ya kuteka watu sijui mtaiacha lini, don't you "pips in offices" have other options?
Pole kwa msiba , lakini kuna jambo jina nitatizaEhe Mungu wangu namfahamu huyu Eng alikuwa mpole, ana weledi kwenye kazi na mtu wa watu jumla nimemfahamu wakati niko EU. Nimeshituka sana Mungu aisimamie familia kwenye wakati huu mgumu pamoja na PSU. RIP Engineer gone too young.
Wangemteka Musiba na Bashite tusikie tafrani yake itakuwaje?!
Sio hivyo tu Ni Kama wanafanya kazi kitengo kimoja. Kabendera anafanyia kazi chombo Cha habari Cha UK, in the mean time you can say ndo EU na marehemu naye anatumikia miradi ya EUHivi huyu marehemu na Erick Kabendera si wanatoka mkoa mmoja? Je ni wanandugu ama wana uhusiano wowote? Naona matukio yao yamefuatana sana
Hivi hao wauaji wako proffesional? Na wao wanalipwa mishahara kabisa kwa kutoa roho za watu. Na wana familia zao kabisa au ni mahanithi? Maana mimi hainiingii akilini kabisa ipo siku watachinja na wa kwao
Kwa Tanzania ya sasa kuwa masikini ni ufahari na kitu cha kujivunia kwa sababu jiwe yupo pamoja nao.
Damu ya muuaji hurudia familia yake kwa njia nyingi,halafu utakuta nyumbani mkewe analipiga vibao kila uchwao,hii damu itamrudia burigi anaona watanzania ni wajinga kumbe wanamchungulia tu
Yani mikono yao imejaa damu toka waingie madarakani imekua ndio silaha yao,viongozi na wakuu wastaafu hawaoni hili tatizo wako kimya ngoja siku itokee kwa watoto wao
Tuache unajimu na mambo ya kulaani ttusivyo jua imethibitishwa kwa maandishi yake mwenyewe amejiua na kuacha mgao wa mali zake na ngombe wa kuchinjwa kwenye msiba ni wanne, hays wazee wa saccos leteni santuri nyingine
Hao ni untouchablesWangemteka Musiba na Bashite tusikie tafrani yake itakuwaje?!
Roho ya marehemu huwa haiondoki dunia hadi ilipe kisasi hata wauaji awakosalama,Wamemnyonga hizi damu hazitaenda bure