TANZIA Leopold Kweyamba Lwajabe amekutwa amefariki Mkuranga baada ya kupotea wiki iliyopita

Acha utoto au uzumbukuku ni mara ngapi watu "hujeruhiwa" kwenye fumanizi na huwa hawaelezi kilichotokea labda picha au video zitoke na wengine wasipopata ushauri huishia kujiua
 
Familia Kama INA pesa iwalipe kampuni za udukuzi za nje ( Google) watrace call za mwisho mwisho za marehemu watawapata wahusika wa hack information zao simu zote urekodiwa duniani au wamwachie Mola nae atawalipa wadhalimu juu ya yote.
Washukuru Mungu tu...kumtafuta mpotezaji ni kujipoteza mwenyewe!
 
Mimi nitawarahumu wanyambo mlioko dar. Mimi nilienda msibani Jana. Watu walikuwa wakijaribu kuongelea kilichojiri, wanyambo wanakukimbia. Napenda niwaulize maswali
1. Kwanini haijafanyika postmortem na baadala yake mnaambiwa majibu Ni baada ya siku 8?ili muwe mmezika??
2. Nani kwenye familia alienda mkuranga kuangalia eneo alilifia marehemu na kuhakikisha taarifa zinachukuliwa pasipo Shaka?
3. Kama mtu amejinyonga makanisa huwa hayashirki au marehemu apelekwe kanisani. Iweje Lwajabe alipelekwa kanisani na kuombewa? Kama Ni RC au kkkt Nani aligorce hii kitu? Je Ni jumuiya, kigango au parokia??
Baada ya wanyambo kuchangia milioni 20, je mliona hii unatosha msifanye uchunguzi??
Yule msemaji wa familia kakake marehemu mnaona yule ndiye msemaji??
Kama serikali haiudiki, kwanini Mambo yanaenda kimyax2. Maswali Ni mengi na yanaitaji majibu. Ihembe wangekataa huu upuuzi kuliko kuzika mtu huku maswali yako kedekede
 
Inabidi tutulie RIP Rafiki yangu Lwajabe. Ipo haja ya kukaa kimya na kuwa mtazamaji hodari bila kufungua mdomo wako. Hicho kitatusaidia, na vizazi vyetu.
 
Inabidi tutulie RIP Rafiki yangu Lwajabe. Ipo haja ya kukaa kimya na kuwa mtazamaji hodari bila kufungua mdomo wako. Hicho kitatusaidia, na vizazi vyetu.

True bora tukae kimya tumalizike wote,ukifungua domo utaliwa ukifunga utaliwa vile vile,
 
Polepole tunaifanya tabia, baadaye itakuwa utamaduni na kuubadilisha itatuchukua maisha yetu yote!

Ni kama Awamu ya 5 walivyobadilisha au wanavyotaka kubadilisha tabia na utamaduni wa ufisadi, rushwa, dhuluma na uhujumu uchumi. Unaona wale wote walioguswa wanavyopiga kelele utadhani mwisho wa dunia umefika. Kubadilisha tabia na utamaduni wa kifisadi ili watu waanze tena kuheshimu vipato vyao halali, waache kuiba mali za umma, waache kuuza madawa ya kulevya, waache ujangiri, walipe kodi stahiki nk itatuchukua muda mrefu sana ila ni jukumu letu sote.
 
Mimi nitawarahumu wanyambo mlioko dar. Mimi nilienda msibani Jana. Watu walikuwa wakijaribu kuongelea kilichojiri, wanyambo wanakukimbia. Napenda niwaulize maswali....
Upo sahihi akina Bulele, Johns Byarushengo, mbunge innocent Bashungwa hamjafanya haki! Alipokuwa hai aliwasaidia leo hii nyie wanyambo mnamsahau? Angekuwa mchagga kabila langu tusingekubali. Ona Mpare Naomi ndugu zake walivyopambana, mpaka ukweli ukajulikana
 
Inabidi tutulie RIP Rafiki yangu Lwajabe. Ipo haja ya kukaa kimya na kuwa mtazamaji hodari bila kufungua mdomo wako. Hicho kitatusaidia, na vizazi vyetu.
Huwezi kuhushisha kifo hiki na serikali bali wabaya wake.
 
Kama ungejua!
 
Watu wasiojulikana ndo wanaendesha hii nchi, ni hatari sana. Alafu eti tunajinasibu kuwa ni nchi ya amani huku watu wasiojulikana wakitamba kila kona.
Mkuu wasiojulika ni jina tu, si kitengo anachokiongoza bashite?
 
Kumbe zile fedha bilioni 1.5 jiwe alihamisha matumizi waliotoa wamekuja kukagua sasa wanahangaika kuwaua wale wenyeushahidi ,jiwe ni dikteta wa karne so sad ,haya boss mwingine tena amekufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…