Aash apo sawa nmekuelewaaInasemekana ni complicated,hivyo baadhi ya wadau huji-attach kwa wale wenye leseni tayari,wanwanatumia leseni zao.
Mbinguni na kusajili leseni ya mkopo kunahusianaj?Hiyo siyo mikopo midogo midogo bhana! Huku mtaani tunaiita mikopo ya kausha damu. Na ukifanikiwa kusajili, basi utambue fika mbinguni huendi.
Maana ili ufanikiwe kurudisha hela yako pamoja na faida, basi utatakiwa kuwa na uso wa mbuzi, mbabe, mkatili, na mtu usiyecheka na nyani.
Nimeandika hapo juu ukifanikiwa kusajili! By the way, don't take everything in a serious way. Don't forget this is jamii forums. Nimekupa tu changamoto ya hiyo biashara pale utakapoanza kuifanya.Mbinguni na kusajili leseni ya mkopo kunahusianaj?
Mkuu kama wewe ni mkristo au Muislamu angalia hapa chinu nakupa somoo..Mbinguni na kusajili leseni ya mkopo kunahusianaj?
Kwa kawaida hao wenye leseni wanataka maokoto yao yawe bei gani?Inasemekana ni complicated,hivyo baadhi ya wadau huji-attach kwa wale wenye leseni tayari,wanwanatumia leseni zao.
Mtu anapotoa hoja jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hojaMkuu kama wewe ni mkristo au Muislamu angalia hapa chinu nakupa somoo..
Biblia na Quran vyote vimekataza kukopeshana kwa Riba..
Tukianza na Biblia mkuu anza kusome ezekiel 18:12-13..
View attachment 2773564
Bado tukisonga kwenye Mambo ya walawi 25:36-37
View attachment 2773567
Mkuu ndo maana Nasema ukitaka kuwa Tajiri Maybe uachane na Hizi dini ufokasi kwenye safari ya kuzimu tu kama wanavyosema wanaoamini....
Nakuongeza zaburi 15:1-5
View attachment 2773575
Swali zuri sana ngja tumsubir wenda ana experienceKwa kawaida hao wenye leseni wanataka maokoto yao yawe bei gani?
Ahsante kwa majibu mazur nmefaham kitu cha kwanza kusajiliwa na brelaBaada ya kusajiliwa brela unaomba leseni BOT, mtaji wa kuanzia ni milioni 20. Sharti hiyo 20m hutakiwi kuwa imeikopa.
Mku mbna hakuna sehemu aliposhambuliwa mtu hapo Soma vizuri tu bila kutetemeka utaona...Mtu anapotoa hoja jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hoja
Ungesoma andiko lako la kwanza kuhus post yangu usingekua na haja ya kujiteteaMku mbna hakuna sehemu aliposhambuliwa mtu hapo Soma vizuri tu bila kutetemeka utaona...
Nimejibu hoja iliyowekwa mezani
Sijajitetea na wala siwezi kujitetea kwa chochote na wala sina Kitu cha kujitetea kwa sababu "I ain't owein' nobody, man"..Ungesoma andiko lako la kwanza kuhus post yangu usingekua na haja ya kujitetea
Then if Kama umecatch sanaMbinguni na kusajili leseni ya mkopo kunahusianaj?
Jifunze kusoma hoja ya mtu na kuielewa inataka nin kabla ya kujibuSijajitetea na wala siwezi kujitetea kwa chochote na wala sina Kitu cha kujitetea kwa sababu "I ain't owein' nobody, man"..
Najua kuna wakati hoja huuma inapojibiwa .....
Hoja yangu ilikuja baada ya Mdau mmoja kusema kuwa
Ukifanya biashara hiyo mbinguni huendi weww ukauliza hivi
Then if Kama umecatch sana
Chill, bro! I was just connectin' those dots, not throwin' shade. Them verses?
They're like straight-up receipts. Ain't no personal beef here; it's all about the message, yo dig?
Hahaha nijifunze sio? 🤣🤣🤣 Chil out Mdogo angu Hii ni JFJifunze kusoma hoja ya mtu na kuielewa inataka nin kabla ya kujibu
Ni waz ww ulisoma kujibu kwasabau tu hoja ilihitaji majibu
Hakuna biashara isiyolipa, sema tu unataka kukausha damu za waalimu.Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa