Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

Baada ya kusajiliwa brela unaomba leseni BOT, mtaji wa kuanzia ni milioni 20. Sharti hiyo 20m hutakiwi kuwa imeikopa.
Kwa hiyo 5m fanya kuongezea 15m nyingine ili uwe na hadhi ya kupata leseni ya kuwa microcredit isiyochukua amana.
Ukitaka kuanza kupokea amana kama akina fin basi jipange upate 200m.
Hapo kwenye amana naomba Ufafanuzi.
 
Mkuu kama wewe ni mkristo au Muislamu angalia hapa chinu nakupa somoo..
Biblia na Quran vyote vimekataza kukopeshana kwa Riba..
Tukianza na Biblia mkuu anza kusome ezekiel 18:12-13..

View attachment 2773564

Bado tukisonga kwenye Mambo ya walawi 25:36-37

View attachment 2773567


Mkuu ndo maana Nasema ukitaka kuwa Tajiri Maybe uachane na Hizi dini ufokasi kwenye safari ya kuzimu tu kama wanavyosema wanaoamini....
Nakuongeza zaburi 15:1-5
View attachment 2773575
Sasa mbona makanisa yana benki na zinakopesha kwa riba ?
 
Hiyo siyo mikopo midogo midogo bhana! Huku mtaani tunaiita mikopo ya kausha damu. Na ukifanikiwa kusajili, basi utambue fika mbinguni huendi.

Maana ili ufanikiwe kurudisha hela yako pamoja na faida, basi utatakiwa kuwa na uso wa mbuzi, mbabe, mkatili, na mtu usiyecheka na nyani.
Kuna kipindi nilitaka nifanye hiyo biashara, ila nikajitafakari sana nikakuta hizo sifa ulizozisema sina!
 
Asante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..

But kwanza jitahidi Kujifunza vitu vingi sana inaonekana bado una utoto mwingi na ujana
Ata kama n utoto kwahyo utu uzima wako ndo umekufanya uniletee uhusiano wa kwenda mbinguni na kupata leseni kwenye mada inayohusu leseni
 
Asante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..

But kwanza jitahidi Kujifunza vitu vingi sana inaonekana bado una utoto mwingi na ujana
Narudia tena jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hojaa hyo itakusaidia kuepukana na vitu vingi

Jifunze kujibu hoja kwa mtiririko utakaofanya uonekane matured sio mara ujitete, ety ooh hapa ni jf mara ooh cjui nin mwisho wa cku unatia huruma
 
Aliyeleta hiyo Mada alikuwa nani? We si ndo uliuliza? Ukiuliza kitu tegemea kupata jibu hata kama ni chungu kwako!
Ndo mana nasemaje mm n mtoa mada, ila kama hujielewi unacomment hovyo hovyo na limwandiko lako limeenda op kama unatumia vidole vya miguu kuandika dose lazma upewe
 
Narudia tena jifunze kushambulia hoja na sio kumshambulia mtoa hojaa hyo itakusaidia kuepukana na vitu vingi

Jifunze kujibu hoja kwa mtiririko utakaofanya uonekane matured sio mara ujitete, ety ooh hapa ni jf mara ooh cjui nin mwisho wa cku unatia huruma
Kuna maswali nimeuliza ukiweza kuyajibu itakuwa sawa sana
 
Habari

Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.

Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.

Natanguliza shukran.
Mimi sizioni km ni biashara za kudumu
 
Habari

Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.

Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.

Natanguliza shukran.
Jiandae kupora TV, Friji na Sabufa nyingi ili kuweza kukabiliana na unaowadai fedha. 🤣
 
Habari

Wakuu nauliza kuhusu namna ya kupata kibali ( leseni) ya kutoa mikopo midogo midogo kwa mtaji wa milion tano.

Hii ni baada ya kufatilia hii biashara nakuona inalipa hvo nawakaribisha kwa ushauri wowte ukiweno na huo wa garama za leseni kwa wale wenye uzoefu.

Natanguliza shukran.
Nenda ofisi yeyote ya Benki kuu ya Tanzania makao makuu au matawi yake ndio hutoa hizo leseni za Micro Finance taasisi binafsi toa mikopo watakupa fomu na maelekezo

Benki kuu ya Tanzania ndio pekee hutoa hizo leseni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu mm nataka kudeal na wafanya biashara wadogo wadogo ila ata akija huyo mwl.simnyimi namtendea hakii
Mkuu kwa maslahi mapana ya biashara yako waweke walimu kama kundi muhimu la wateja, huwa wanakopa kwa haraka sana na wakishaingia kwenye system yako ni ngumu kutoka, pia sio rahisi kukimbia maana kituo chao cha kazi kinajulikana.
 
Mkuu kwa maslahi mapana ya biashara yako waweke walimu kama kundi muhimu la wateja, huwa wanakopa kwa haraka sana na wakishaingia kwenye system yako ni ngumu kutoka, pia sio rahisi kukimbia maana kituo chao cha kazi kinajulikana.
Nmependa wazo lako ntalifanyia kaz
 
Nenda ofisi yeyote ya Benki kuu ya Tanzania makao makuu au matawi yake ndio hutoa hizo leseni za Micro Finance taasisi binafsi toa mikopo watakupa fomu na maelekezo

Benki kuu ya Tanzania ndio pekee hutoa hizo leseni
Shukrani kwa msaada wako mkuu
 
Back
Top Bottom