Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Ni biashara ya kitapeli mimi nimezifuatilia na nikakopa sehemu tofauti lengo nikifanya ufafiti km ni njia sahihi ya kupata mtaji wa biashara, kwavile naandika kitabu cha ujasiriamaliEmbu toa japo mfano kwa uzoefu wako itampa mtu mwangaza kdogo
Jibu maswali niliouliza hapo juu,Ndo mana nasemaje mm n mtoa mada, ila kama hujielewi unacomment hovyo hovyo na limwandiko lako limeenda op kama unatumia vidole vya miguu kuandika dose lazma upewe
Hiyo category inahusu microfinance ambazo zinapokea pesa kutoka wateja kama amana/akina halafu baadae ndo inawakopesha. Mfano mnaambiwa muwe kikundi cha watu 10 halafu kila mmoja afungue akaunti aweke kiasi fulani cha pesa, akitaka mkopo anakopeshwa mara 3 ya akiba zake. Mmoja akikosa marejesho kikundi kinawajibika.Hapo kwenye amana naomba Ufafanuzi.
Asante kwa Ufafanuzi ulioshiba.Hiyo category inahusu microfinance ambazo zinapokea pesa kutoka wateja kama amana/akina halafu baadae ndo inawakopesha. Mfano mnaambiwa muwe kikundi cha watu 10 halafu kila mmoja afungue akaunti aweke kiasi fulani cha pesa, akitaka mkopo anakopeshwa mara 3 ya akiba zake. Mmoja akikosa marejesho kikundi kinawajibika.
Japo sijataja mifano lakini ikiwa wewe ni mfuatiliaji wa masuala ya mifumo ya huduma za kifedha utakuwa umeanza kupata picha ya operators wa namna hiyo.
Kwamba wali unatokana na kilimo cha ndizi mkuu.......wali na mpunga ni mle mle jifunze kutafta mifano unayoendana na unachokiteteaJibu maswali niliouliza hapo juu,
Ngoja nikufahamishe Maana naona Elimu yako pia ndogo Ulichojaza akilini mwako ni kejeli tu!
Ukileta Mada humu Umeianika kwa Wanajamvi wote..
Kwahyo chochote kitakacholetwa na kujibiwa kinaweza kisiusiane na mada /au kisikupendeze kutokana na jinsi wewe ulivyoweka mategemeo wa majibu kichwani mwako na hii inatokana na Majibu yako au ya Mjibuji mwingine wa Mada husika...
Inaonekana Bado Una elimu ndogo kuhusu Mijadala...
Unaweza ukaleta mjadala unaohusiana na kilimo cha mpunga,.... ila baadae ukaongelea kuhusu Ongezeko la Walaji wa Wali maharage, basi tegemea sana Mtu kuku uliza kuhusu Wali maharage Japo umeleta mada ya kilimo cha mpunga...
Jifunze kuhusu "Tangential debate" au "incidental debate"
Nipo na mkakati tofauti ambao hautanirihusu kumfata mtu kwa namna yoyote kumdai fedha mkuuKuna wakati utalazimika kuajiri / kukodi watu wenye rohonzinazoweza kudai madeni toka kwa wakopaji watukutu.
Ni biashara nzuri, ila mswahili kupeleka marejesho kwa hiari huwa ni changamoto sana.
Kila la heri, penye ugumu ndipo riziki ilipo.
Nikwambie tu huna ulichofatilia kuhusu mkopo na wala huna unachokifahamu kuhus mkopo hvyo hcho kitabu unachoandika may be upo ndotoni shtuka hukoNi biashara ya kitapeli mimi nimezifuatilia na nikakopa sehemu tofauti lengo nikifanya ufafiti km ni njia sahihi ya kupata mtaji wa biashara, kwavile naandika kitabu cha ujasiriamali
Comments reservedNikwambie tu huna ulichofatilia kuhusu mkopo na wala huna unachokifahamu kuhus mkopo hvyo hcho kitabu unachoandika may be upo ndotoni shtuka huko
Broo kila kitu kinahitaji kujitoaa (optimist ) ndo mmAcha na hyo biashara nimeshudia watoa huruduma wawili mmoja amefariki kiajabu ajabu na wa pili kapoteza kumbukumbu
Broo hyo biashara ngumu mno
Successful entrepreneurs are opportunity seekers and moderate risk takers, (calculated risk takers)Broo kila kitu kinahitaji kujitoaa (optimist ) ndo mm
Mkuu hii ni biashara itakayodumu mpaka mwisho wa dunia hii.Mimi sizioni km ni biashara za kudumu
Kuna mkopeshaji mtaani kwangu.Hiyo siyo mikopo midogo midogo bhana! Huku mtaani tunaiita mikopo ya kausha damu. Na ukifanikiwa kusajili, basi utambue fika mbinguni huendi.
Maana ili ufanikiwe kurudisha hela yako pamoja na faida, basi utatakiwa kuwa na uso wa mbuzi, mbabe, mkatili, na mtu usiyecheka na nyani.
Nieleze huo mkakati niupime, then unipe share mkuu, aidha tuungane watu wanne, tuanze kwa mtaji wa 20ml./by having licence mean you have a power!Nipo na mkakati tofauti ambao hautanirihusu kumfata mtu kwa namna yoyote kumdai fedha mkuu
Inafurahisha kuona huyu mtoa mada anashauriwa kuhusu changamoto ya hiyo biashara, halafu analeta ujuaji! Kisa tu ana milioni 5!!Kuna mkopeshaji mtaani kwangu.
Alikuwa anakopesha sana lkn ilivyongumu kufuatilia.
Aligeuka akawa katili yaani akina mama wanafuatwa na migambo saa 11 alfsjiri na matudi juu.
alimsumbua mjane flani alimlaani hadi biashara ikafa na jamaa akageuka kuwa mdaiwa sugu wa bank hadi nyumba yake ikauzwa na bank kwa mnada.
Hii mikopo ni laana sitaki hata kuisikia
Ila kuna watu mnawadharau sana walimu! Na katika hili, mnatakiwa kujitafakari.Mkuu kwa maslahi mapana ya biashara yako waweke walimu kama kundi muhimu la wateja, huwa wanakopa kwa haraka sana na wakishaingia kwenye system yako ni ngumu kutoka, pia sio rahisi kukimbia maana kituo chao cha kazi kinajulikana.
DR naomba kazi ama connection ya kibarua husan ata zikiwa kazi za ndani ama kama kuna kibarua tu naomba ni tag mkuuAsante sana Nitajitahidi Kuondoka kwenye Ujinga kabla sijawa mpumbavu! Nashukuru Kwa Taarifa..
But kwanza jitahidi Kujifunza vitu vingi sana inaonekana bado una utoto mwingi na ujana
Mm nitahitaji muombaji wa mkopo alete ofisini kitu chenye thaman mara mbili ya mkopo atakaokua anauhitaji mfano,Nieleze huo mkakati niupime, then unipe share mkuu, aidha tuungane watu wanne, tuanze kwa mtaji wa 20ml./by having licence mean you have a power!