Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni gumu sana kwa sababu idadi ya karatasi za kupigia kura zinapelekwa sawa na idadi ya waliojiandikisha. Ingekuwa ruhusa mpiga kura kupiga kura kwenye kituo chochote how could NEC predict kituo fulani watajitokeza idadi fulani ya wapiga kura ili wapeleke karasi kwa idadi hiyo?Ingekuwa popote ingekuwa safi
Hapo CCM itang'olewa mapema snNEC bado mmelala Sana. Kura ilibidi zipigwe kielekroniki.
Wazee wa nireteeeeeeeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii"Tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta"
Hapa nakuunga mkono 100% hadi leo hii bado tunapoteza billions of maney kwa ajili ya karatasi kweli?NEC bado mmelala Sana. Kura ilibidi zipigwe kielekroniki.
nireteeni zwazwaChadema sijui watatoa visingizio gani mwaka huu
Tutamsulubu msaliti wa Nchi Lissu
Nimekuja PM, nina jambo na wewe."Tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta"
Nimekuja PM, nina jambo na wewe."Tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta"
Je, kama alipoteza hicho kitambulisho nahana kingine lakini namba ya kitambusho anayo je hapo vipi?
Wangetoa hata ruhusa hiz siku zilizobaki kuna watu tulijiandikisha mkoa fulani kwasababu za kiutafutaji tuko mkoa mwingine tungeweza hata kuhakikiwa tumchague raisi tu. Ni idadi kubwa sana ya watu ambao kiukweli tutakosa kupiga kura kwasababu hii.Hilo ni gumu sana kwa sababu idadi ya karatasi za kupigia kura zinapelekwa sawa na idadi ya waliojiandikisha. Ingekuwa ruhusa mpiga kura kupiga kura kwenye kituo chochote how could NEC predict kituo fulani watajitokeza idadi fulani ya wapiga kura ili wapeleke karasi kwa idadi hiyo?
Kwa hili naungana na NEC; haiwezekani hadi hapo itakapokuwa kwa njia ya mtandao angalau hilo litawezekana ila sio kwa utaratibu wa sasa wa makaratasi ambayo hupelekwa kwa idadi maalum.