Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wengi hawakuboresha taarifa zao Sasa wanahaha kutafuta watapigaje kura angalau ya rais tuu maana maeneo mengi hawana wagombea ubunge.Wangetoa hata ruhusa hiz siku zilizobaki kuna watu tulijiandikisha mkoa fulani kwasababu za kiutafutaji tuko mkoa mwingine tungeweza hata kuhakikiwa tumchague raisi tu. Ni idadi kubwa sana ya watu ambao kiukweli tutakosa kupiga kura kwasababu hii.
Ndiyo bao hilo la mkonoWakuu hapa hakuna harufu ya kura kuchakachuliwa? kwasababu leseni ya udereva na kitambulisho cha nida vipo kwenye
system ya serikali pengine wakatumia mwanya huo kujiongezea kura.
I don't think Mzee, wata flip votesKuna mchezo unataka kuchezwa ila dawa nikupiga kura za kimbunga yaani mtu anaachwa gepu hata la kura milion 5
Wenye leseni na vitambulisho vya nida Ni wachache Sana hawafiki hata milio 10.
Wale walionunua shahada za kupigia kura za wanyonge ili wasipige kura imekula kwao
Serikali ya Rais Magufuli kupitia Tume ya Uchaguzi imebariki wapige kura kwa vitambulisho mbadala
Mitano tena
Naamini hata kadi yangu ya CCM ni kitambulisho mbadala
Hapo Sasa Ndiyo Tungeona NEC Wapo KisasaIngekuwa popote ingekuwa safi
It's trueChadema wengi hawakuboresha taarifa zao Sasa wanahaha kutafuta watapigaje kura angalau ya rais tuu maana maeneo mengi hawana wagombea ubunge.
Sidhani km kuna mtu ambae hajajiandikisha kwenye daftari la kupiga kura leo akurupuke tu from no where akataka kupiga kura kwa ulazima. Je ni watanzania wangapi ambao kazi zao haiwalazimu kuwepo sehem moja?Chadema wengi hawakuboresha taarifa zao Sasa wanahaha kutafuta watapigaje kura angalau ya rais tuu maana maeneo mengi hawana wagombea ubunge.