Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Huyu Lissu anacheleweshwa sana kupatiwa haki ya hati ya matokea. Ungewekwa utaratibu wa kuanza kupiga kwa simu. Serikali sikivu na inayotenda haki. Imewatendea haki raia wake waliopoteza viparata vya tume ya uchaguzi. Wangeongeza na kiparata cha machinga maana kina barcodes ingependeza sana.