Lesson learned from Nyamayao and Nyumba Kubwa..........What are your Two cents on this ....!

Lesson learned from Nyamayao and Nyumba Kubwa..........What are your Two cents on this ....!

Afu naomba niwapinge wanaosema ukimfuatilia mmeo utapata pressure na vidonda vya tumbo. Wanaopata BP na vidonda vya tumbo ni wanawake wakimya; kwani kuwa mkimya haina maana maumivu husikii. Na nina mifano hai ya waliopata side effect ya kumezea. Sisi ambao hatukai na neno ni ngumu kupata magonjwa maana nikishaongea kesho naamka na tabasamu. Wakimya wengi unakuta mtu ananuna mwezi mzima na kuamishia hasira kwa watoto (wanyonge wao).
 
Afu naomba niwapinge wanaosema ukimfuatilia mmeo utapata pressure na vidonda vya tumbo. Wanaopata BP na vidonda vya tumbo ni wanawake wakimya; kwani kuwa mkimya haina maana maumivu husikii. Na nina mifano hai ya waliopata side effect ya kumezea. Sisi ambao hatukai na neno ni ngumu kupata magonjwa maana nikishaongea kesho naamka na tabasamu. Wakimya wengi unakuta mtu ananuna mwezi mzima na kuamishia hasira kwa watoto (wanyonge wao).

sasa we nyumba-kubwa ndo.....
 
tukubaliane hapo kwenye bold mamii, u ar responsible for ur actions, provoked or not provoked! huna haki ya kuharibu mali ya mtu for any reason! ama kupiga mtu. lakini kuchimba biti inaruhusiwa nadhani as long as u know where to stop!
nakubaliana na ww kuhusu never to confront mtu ambae hana mkataba na wewe. unakua na mume/mke ndani lakini anamfuata mtu mwingine either kwa kumdanganya kua we ar separated (tutakoma na elimu zetu za ulaya miaka 2, na unataka ku-save huji likizo,lol), au tuko kwenye process za kuachana, au niko kwa ajili ya watoto and the like. siamini hata kwenye kumpigia simu suspected mwizi wangu kumhoji ama kumtukana. mwisho wa siku, pursue ur happyness! demand what u feel is right,ukiona hupati look around u and take a leap!
Darling Elfer ni kweli kabisa ukisemacho, hisia inamatter but hebu tujadili ile umemcatch live,,,,,,,,,,,,,,,,,,,si kucheat tu but mfano anarudi late, hafulfill responsibilities zake mf. mwanamke ameolewa, muma anatakiwa kulipa bvills halipi, si kwamba hana pesa la hasha bali halipi, mie kama mwanamke/mke ninayo au sinayo haki ya kukasirika? tuanzie hapo.

Na kama tunavyojua tumeumbwa tofauti, reactions toeards hacra inategemea mtu na mtu na haimaanishi mwanamke ANAPASWA kuwa na soft reaction.
Napata picha matumizi hayatimizwi, mume anarudi late (au harudi) bila sababu za msingi, watoto wanarudishwa nyumbani kwa kukosa ada, hawana chakula e.t.c only to catch him cheating na mtu hotelini au Guest........haki yangu ya kurect hapo ikoje?? mikimvunjia kioo cha gari (reflect action) nina haki ya kuadhibiwa?? au anapaswa kunielewa kuwa my feelings were hurt and what I did was out of my controll?? That I was provoked by my feelings based on my position and rights within our relationship??
 
shkamoo nyumba kubwa! yaani heshima mbele! simu inaangaliwa na mahojiano yawepo. baada ya majadiliano tunaendelea kupendana kama kawa! like sijui imeenda wapi tena!
Afu naomba niwapinge wanaosema ukimfuatilia mmeo utapata pressure na vidonda vya tumbo. Wanaopata BP na vidonda vya tumbo ni wanawake wakimya; kwani kuwa mkimya haina maana maumivu husikii. Na nina mifano hai ya waliopata side effect ya kumezea. Sisi ambao hatukai na neno ni ngumu kupata magonjwa maana nikishaongea kesho naamka na tabasamu. Wakimya wengi unakuta mtu ananuna mwezi mzima na kuamishia hasira kwa watoto (wanyonge wao).
 
MJ1ivi ukikutana na mwanaume ambaye hakiri kosa sana sana atakuwa mkali na kukugeuzia kibao unafanyaje?
 
Teamo naona serengeti zimekolea. See you tomorrow.


...SIJAELEWA wajameni!mnisamehe bure.shida yangu hapa ni kwamba inapotokea nashindwa kutimiza majukumu ya "kifedha" na ikawa proved kwamba sina "kipato" na ninapenda au nashauri kitu kizuri kinachohusiana "fedha" itakuwaje?

SIJAELEWA!....

naomba serengeti ingine tafadhali mama grace
 
teamo, kwanza pokea msamaha! pili, inaeleweka kwenye maisha kupanda na kushuka kupo. kama ni kweli huna kipato, yaani ni sawa kabisa hata mamaa akikuagizia serengeti tano na kuweka kwenye friji upate baada ya mlo ili akili ichangamke kidogo. lakini kama unadai huna kipato na ww unachangia ushauri tu kuhusu fedha,ilhali una uwezo wa kurudi home saa nane na ukiwa njwii, haikubaliki! ukiongezea na kashfa ya small house,uwiii! lazma uwajibishwe aisee. lakini kama unakua huna kipato,na unafanya kila uwezalo kwa msaada wa mai wife wako kujikwamua,inaeleweka kabisa!
pata seree ingine kwa hisani ya kukuelewesha tafadhali!
...SIJAELEWA wajameni!mnisamehe bure.shida yangu hapa ni kwamba inapotokea nashindwa kutimiza majukumu ya "kifedha" na ikawa proved kwamba sina "kipato" na ninapenda au nashauri kitu kizuri kinachohusiana "fedha" itakuwaje?

SIJAELEWA!....

naomba serengeti ingine tafadhali mama grace
 
halafu watu wengi tunasahau kuwa yule unaemuona 'the right person' anaweza kuwa
ni wrong person kwa mwingine and vice versa.....
unamuona mtu anam cheat mkewe unasema aah yule jamaa sio kabisa...
well kumbe yawezekana ndoa yao walishakubaliana kitu kuhusu hiyo cheating....
labda ndoa ya kufaana, it works for them,who knows????

Hahahahah The Boss .........eti wamekubaliana kucheat (ndo ishakuwa Open relationship/marriage siyo?
Kwenye hili mimi nadhani ninahitaji kitchen party kabisa maana huwa ninareact tofauti sana ambayo ni mbaya. Nilishawahimkuta na sms za mapenzi toka kwa mtu ninayemfahamu nikakaa kimya sikuuliza nikachunguza mpaka nikadhihirisha kuwa ni kweli wana mahusiano. ..... ajabu niliumia lakini nikajikuta nashindwa kumwuliza mpaka nikaanza kusahau maisha yanaendelea but siku aliponiprovoke, nikamweleza nikijuacho akapigwa na bumbuwazi kiasi cha kushindwa kukataa wala kukubali (kama kawaida yake akaresort kwenye ubondia wake). Sikumwuliza tena na nikaufunga moyo wangu, ufunguo kabatini mpaka siku ya siku nilipoamua kuutupa baharini kabisa (of coz si kwa sababu ya lile kosa la sms).
 
wat il do to some1 who hv hurted me will defenitely depend on who am i n how do i react to issues, at wat point do i need to exercise my right of demanding certain explanations it is also a question of my personality..... Hatufanani hata kidogo kuna issues inaweza ikaoneka ni kubwa kwangu na nikalipuka ile mbaya bt kwa mwingine inakuwa ni minor issue..Halafu pia kwenye mahusiano reaction ya mtu kwenye issues flani huwa inategemea mambo mengi,
past experience ,lets say nimejua mume wangu amenicheat, kama hicho kitu hakikuwahi kutokea b4 katika kipindi chote cha mahusiano yetu naamini kabisa reaction yangu(mimi) itakuwa tofauti iwapo hiyo cheating si mara ya kwanza kutokea!!
reality vs expectations, kila mtu anamatarajio yake ambayo anaamini spouse wake atatimiza, na uwezo wa kabalance matarajio na uhalisia wa maisha ni vitu ambavyo vinaadhiri sana maamuzi yetu n reactions zetu kwenye mahusiano.
family matters kuna times katika maisha reactions za spouses huwa hazipo tena kuangalia their own interest but watoto n other stuffs ambazo mmeshafanya pamoja as spouses
society...yes especially katika jamii yetu wanawake wengi reactions zao kwa spouses wao huwa zinaangalia macho ya watu kwanza, jamii itanionaje? hata kama unahaki ya kucharuka au blast kwa hasira kwa sababu umekosewa mara nyingi wanawake wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu malezi yetu hayaturuhusu, kicheni party unaambiwa mumeo akirudi saa saba usiku hata kama hajasema kuwa atachelewa , mfungulie mlango, mwambie pole mume wangu, na mabusu juu, mpokee, muulize utakula, msubiri ale, mwandalie maji ya kuoga, then mpe huduma yake ya kitandani.., halafu ndio ummulize kiulaini 'mume wangu mbona umechelewa leo'....

MJ1 hiyo haki unayouliza haipo tanzania aiseee, si umeona mwenyewe yule matroni wako anatukanwa mbele za watu na anakaa kimya anaogopa kuitwa mwanamke mpumbavu anayebomoa nyumba yake mwenyewe... kama wataka kuondoa kero kwenye ndoa basi hili suala la kuhoji sijui kutaka explanations sahau.., ni mbaya sana pale unapojua unayo haki lakini huwezi kuitumia.


Nailyne aksante sana kwa post hii. Ama kweli imenifungua macho unajua nimekujagundua kuwa ukiwa kwenye mahusiano ambayo haruhusu wewe kama mwanamke uexercise haki yako ya kuhoji hata utumie zile mbinu tunazofundishwa wanawake eti usiulize kwa jazba huku mikono kiunoni na kipazasauti, sijui msubiri kapumzika kwanza ndio uulize, sijui muhudumie kama kawaida kisha umwulize baada ya kuhakikisha umempa 'huduma' nzuri hadi amefurahi na mwamedi (mood) wake yuko vizuri ndio uulize mwee hazifui dafu kusema ukweli!

Ukiachilia mbali kupigana bado ninaamini nyamayao na nyumbakubwa wanayo mengi ambayo wanawezakutusaidia maana wengine sie mh! sijui ni uwoga au ujinga au ndo hayo hatujui haki zetu, nini nihoji na kipi nisihoji!
 
Mie nahisi nishapitwa na wakati, hata kuuliza ulikuwa wapi siulizi ikifika mida najilalia kabisaaa, nastukia usiku nikienda chooni kitu kpo pembeni,wakati mwingine inaudhi, ila kama unauliza leo ulikuwa wapi anakujibu, kesho tena anachlewa unauliza unajubiwa vilevile, inachosha , mie nafanya maisha, najipa raha, nahakikisha yuko sawa na wanangu wako sawa, nahisi inanitosha kwa sasa

Hahahaha Dada Mkubwa umenichekesha sana mpenzi .......eh unajilalia, ukiamka usiku kwenda chooni, kitu kipo pembeni! hahahah so bora tu halali nje eh!!?

Mie iko siku nilirudiwa saa kumi na mbili asubuhi. Bahati mbaya mie huwa naamka mapema so anafungua mlango anakutana na mie nataka kutoka nikaanike nguo zake!! Sikuhoji mpaka kesho! maana hata mie zile za leo karudi saa saba usiku, unauliza kulikoni mydia, hujibiwi sawia halafu kesho yake anarudi saa kumi alfajiri utaendelea tena kuuliza kweli? nadhani batani ya kuuliza ilishakufa.
 
Darling Elfer ni kweli kabisa ukisemacho, hisia inamatter but hebu tujadili ile umemcatch live,,,,,,,,,,,,,,,,,,,si kucheat tu but mfano anarudi late, hafulfill responsibilities zake mf. mwanamke ameolewa, muma anatakiwa kulipa bvills halipi, si kwamba hana pesa la hasha bali halipi, mie kama mwanamke/mke ninayo au sinayo haki ya kukasirika? tuanzie hapo.

Na kama tunavyojua tumeumbwa tofauti, reactions toeards hacra inategemea mtu na mtu na haimaanishi mwanamke ANAPASWA kuwa na soft reaction.
Napata picha matumizi hayatimizwi, mume anarudi late (au harudi) bila sababu za msingi, watoto wanarudishwa nyumbani kwa kukosa ada, hawana chakula e.t.c only to catch him cheating na mtu hotelini au Guest........haki yangu ya kurect hapo ikoje?? mikimvunjia kioo cha gari (reflect action) nina haki ya kuadhibiwa?? au anapaswa kunielewa kuwa my feelings were hurt and what I did was out of my controll?? That I was provoked by my feelings based on my position and rights within our relationship??

Huyo asiyejua watoto wanakula nini wala hajui kulipia adaza watoto wake hastail kuitwa mume,ni mzigo kuendelea kuwa naye.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mie nahisi nishapitwa na wakati, hata kuuliza ulikuwa wapi siulizi ikifika mida najilalia kabisaaa, nastukia usiku nikienda chooni kitu kpo pembeni,wakati mwingine inaudhi, ila kama unauliza leo ulikuwa wapi anakujibu, kesho tena anachlewa unauliza unajubiwa vilevile, inachosha , mie nafanya maisha, najipa raha, nahakikisha yuko sawa na wanangu wako sawa, nahisi inanitosha kwa sasa
Uko right Gaga kiuna vitu ukiuliza utadanganywa tu.Tena mimi nilishaenda kushitakiwa kwa wazazi eti nina wivu mno wakati yeye anatafuta pesa ninamtuhumu.Wanawake ambao ni business partners wake nawasumbua.Nilikuwa nina stress ya ajabu,sura imeweka ndita mpaka nilizeeka lakini nilipoamua kumtoa moyoni na kutoangaika na kuhoji wala kutafuta wabaya wangu.Hata nisipomuona siku mbili simtafuti nina amani na hata makunyanzi yameondoka.Sasa yeye ndio anapata wasiwasi na mpaka anahisi ninamsaliti wakati hata wazo sina.
 
Uko right Gaga kiuna vitu ukiuliza utadanganywa tu.Tena mimi nilishaenda kushitakiwa kwa wazazi eti nina wivu mno wakati yeye anatafuta pesa ninamtuhumu.Wanawake ambao ni business partners wake nawasumbua.Nilikuwa nina stress ya ajabu,sura imeweka ndita mpaka nilizeeka lakini nilipoamua kumtoa moyoni na kutoangaika na kuhoji wala kutafuta wabaya wangu.Hata nisipomuona siku mbili simtafuti nina amani na hata makunyanzi yameondoka.Sasa yeye ndio anapata wasiwasi na mpaka anahisi ninamsaliti wakati hata wazo sina.

Mamamkwe aksante sana kwa mchango wako. KWa kweli unatupa experiences za kujifunza na ni dhahiri kuwa kuwa mwanamke pekee hakutoshi kukufanya mwanamke bali kuwa mke ndio utajijua hasa nini maana ya kuwa mwanamke. Maana hizi changamoto ni ngumu kuzimeza lakini inatubidi tu maana fikiria mtu anapolazimisha umuamini hata akilala nje (pasipo sababu ya msingi) tuamini tu kuwa hakusaliti na kama anakusaliti basi anatumia kinga !! ni ngumu kwa kweli maana kama ni mwaminifu au yuko makini unashukuru MUNGU kwani utanusurika na magonjwa yakiwemo UKIMWI lakini kama si mwaminifu au mzembe halafu ndo anataka asiwe anahojiwa, fuatiliwa si ndo tunauana na kuacha watoto yarabi?

Eh MUNGU tunusuru!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mamamkwe aksante sana kwa mchango wako. KWa kweli unatupa experiences za kujifunza na ni dhahiri kuwa kuwa mwanamke pekee hakutoshi kukufanya mwanamke bali kuwa mke ndio utajijua hasa nini maana ya kuwa mwanamke. Maana hizi changamoto ni ngumu kuzimeza lakini inatubidi tu maana fikiria mtu anapolazimisha umuamini hata akilala nje (pasipo sababu ya msingi) tuamini tu kuwa hakusaliti na kama anakusaliti basi anatumia kinga !! ni ngumu kwa kweli maana kama ni mwaminifu au yuko makini unashukuru MUNGU kwani utanusurika na magonjwa yakiwemo UKIMWI lakini kama si mwaminifu au mzembe halafu ndo anataka asiwe anahojiwa, fuatiliwa si ndo tunauana na kuacha watoto yarabi?

Eh MUNGU tunusuru!

Kweli mkuu hofu kubwa iliyopo sasa kwangu ni ukimwi,na future ya watoto kwani siamini kamahao wanawake wanaomfanya asiwahi nyumbani wanaweza kuwalea watoto wangu katika maadili niliyotaka mimi
 
MJ1 embu fikiria kama ndo ungekuwa mke wa Mwigulu Nchemba yule kigogo wa ccm aliyefumaniwa na mke wa mtu kule Igunga, ungefanyaje? Then fikiria tena kama we ndo ungekuwa yule mwanamke aliyefumaniwa, unadhani mume wako angereact vipi?
 
MwJ1, hapo kwenye red, mie sijui nna damu ya kiume? unawezaje kutoa 'huduma' nzuri wakati una kinyongo na kisirani moyoni? uta-fake big O, ama inakuwa fake ya miguno? ama miguno inakua ya maumivu na sio raha? kama ni mwenza anaekujali,atagundua leo l'aziz wangu hayuko swa. hebu tuwekane sawa manake kama ww hufurahii na yeye hafurahi hata kidogo. hiyo sio huduma ya mama ntilie,unaserve ubwabwa wakati ww una njaa unangojea kula ukoko.
nim-quote mosqwito, hivi mwanamke amezaliwa aje duniani kunyenyekea, kuhudumia na kunyanyaswa for the rest of her life? i'd rather be a tree if i cant get wahta i want!
juu ya mateso wanayopata wanawake kwenye ndoa, coaligue wangu mdada, alinipa grande revelation siku moja tumeenda lunch nje kuwa she is done with men, she is a lesbian na anajiskia mwenzie (another victim) wanaelewana kwenye kila angle! sijui kama tuhusishe na mabadiliko tunayoyaona hivi sasa?
Nailyne aksante sana kwa post hii. Ama kweli imenifungua macho unajua nimekujagundua kuwa ukiwa kwenye mahusiano ambayo haruhusu wewe kama mwanamke uexercise haki yako ya kuhoji hata utumie zile mbinu tunazofundishwa wanawake eti usiulize kwa jazba huku mikono kiunoni na kipazasauti, sijui msubiri kapumzika kwanza ndio uulize, sijui muhudumie kama kawaida kisha umwulize baada ya kuhakikisha umempa 'huduma' nzuri hadi amefurahi na mwamedi (mood) wake yuko vizuri ndio uulize mwee hazifui dafu kusema ukweli!

Ukiachilia mbali kupigana bado ninaamini nyamayao na nyumbakubwa wanayo mengi ambayo wanawezakutusaidia maana wengine sie mh! sijui ni uwoga au ujinga au ndo hayo hatujui haki zetu, nini nihoji na kipi nisihoji!
 
MwJ1, hapo kwenye red, mie sijui nna damu ya kiume? unawezaje kutoa 'huduma' nzuri wakati una kinyongo na kisirani moyoni? uta-fake big O, ama inakuwa fake ya miguno? ama miguno inakua ya maumivu na sio raha? kama ni mwenza anaekujali,atagundua leo l'aziz wangu hayuko swa. hebu tuwekane sawa manake kama ww hufurahii na yeye hafurahi hata kidogo. hiyo sio huduma ya mama ntilie,unaserve ubwabwa wakati ww una njaa unangojea kula ukoko.

Mamito yaani acha tu..............ukisikua kubakwa na mume ndio huko mpenzi. Una mihacra, kinyingo na bado akitaka unaambiwa ni haki yake. Mi nilishindwaga hapo mpenzi. Yaani hata 'bibi' kufunguka mh.

nim-quote mosqwito, hivi mwanamke amezaliwa aje duniani kunyenyekea, kuhudumia na kunyanyaswa for the rest of her life? i'd rather be a tree if i cant get wahta i want!
juu ya mateso wanayopata wanawake kwenye ndoa, coaligue wangu mdada, alinipa grande revelation siku moja tumeenda lunch nje kuwa she is done with men, she is a lesbian na anajiskia mwenzie (another victim) wanaelewana kwenye kila angle! sijui kama tuhusishe na mabadiliko tunayoyaona hivi sasa?

Yaani mamii hapa unanifanya nianze kuangalia ulimwengu kwa jicho lingine. Nadhani utafiti unawezatoa majibu ya ajabu sana na tukashangaa!
 
MJ1 embu fikiria kama ndo ungekuwa mke wa Mwigulu Nchemba yule kigogo wa ccm aliyefumaniwa na mke wa mtu kule Igunga, ungefanyaje? Then fikiria tena kama we ndo ungekuwa yule mwanamke aliyefumaniwa, unadhani mume wako angereact vipi?

kipipi we acha tu. Ndio maana tunasema nibora kujitahidi kulinda image yako wewe (kwa maana ya kutenda yale ambayo una uhakika watu hawawezi kukudefine aibu kuliko kujitia eti unafanya kwa siri)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom