Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Sawa,ila inashangaza sana mkuu kuona mswahili mwenzetu akitetea majitu ambayo nia yao ni kututoa kwenye uso wa dunia!Haingii akilini kabisa.How do you treat such a person?
bonafsi naona wan madudu yao mengi tu mabaya.
ila haitufanyi waafrika kuwa weupe. sisi wenyewe tuna madudu yetu yakutisha.

and if wangeamua kutufuta ... wana 100000 ways za kufanya.
madawa asilimia kubwa kwao
technology almostnzote.. kwao
mafunzo ya kijeshi, elimu tulicopy kutoka kwao.
vifaa tiab vya mahospitali kwao..

wakiamua kutufuta kwa kutumia kimoja wapo wangeweza miaka mingi tu.

tupunguze conspiracy theories maana hazitusaiidii. kama tunataka kuwaweza hawa mabwa. africa tujitegemee kwa kila kitu. other wise tutakuwa tunapiga kelele zisizo na faida
 
Sisi hutuna conspiracy theories,tunafunua uovu wao,wao ndio wanao conspire against us.Ku-conspire ni kufanya kitu unlawful and evil against another person,sasa sisi tumefanya mambo gani evil against them?Amkeni msiwekewe maneno mdomoni.
 
Sisi hutuna conspiracy theories,tunafunua uovu wao,wao ndio wanao conspire against us.Ku-conspire ni kufanya kitu unlawful and evil against another person,sasa sisi tumefanya mambo gani evil against them?Amkeni msiwekewe maneno mdomoni.
halaf nikikwambia hapa ulete concrete evidence ya mashtaka yako ? utakuwa nayo?

let put this straight.. wabongo tumejaliwa perepeche nyingi sana lakin action 0.
hawa watu wataendelea kutuchukulia powa as long tunaendelea kuwategemea kwa hivyo vitu tulivyovitaja hapa juu.
oh tunafunua maovu yao? what about maovu yetu? au waafrika sisi kwa sisi hatuna maovu?

shida ya waafrika ni mona tu.. tamaa. yes tamaa
ndio maana tumefika hapa. asilimiakubwa ya viongoz wetu tunao wapata ndio wanatuvuruga

halaf tukiaribikiwa kidole tuna mnyooshea mzungu. lazima tujifunze kukubali madudu yetu na kuyafanyia kazi.

siku tutakapoacha kumtegemea mtu mweupe kwa kila kitu. ndio siku tutajikomboa.
lakin kama sisi wenyewe hatutaki kufanya jitihada za kufikia hapo walipo.. tunalalamika tu.

nakwambia mtalalamika mpaka Yesu arudi. hakuna progress itatokea.
 
Unataka evidence?Associations of doctors all over the world and independent doctors all over the world testifies to this.Wewe ni nani hata upinge,tena mpuuzi tu ambae hata biology haikupanda O-level! Usituletee ujuaji wa kijinga hapa.Tafuta taarifa mwenyewe, sina muda mchafu wa kufanya kazi hiyo.

Wewe ni mpotoshaji, kuadi na collaborator wa NWO.
 
Wote mnaoandika hapa mna chanjo mbalimbali...mnakwepa kipi!!! Mbona mna alama mabegani za chanjo?
Hii ni comment ya kipuuzi sana.So kwa kuwa watu wamechanjwa all of a sudden imefanya chanjo kuwa nzuri.Wake up,ulichoandika ni hewa!
 
Hii ni comment ya kipuuzi sana.So kwa kuwa watu wamechanjwa all of a sudden imefanya chanjo kuwa nzuri.Wake up,ulichoandika ni hewa!
Comment ya kipuuzi🤣🤣halafu una comment!!!! Nani hewa hapo..
 
Elimu na taarifa kubwa sana hii, hongera sana mtoa mada
 
Uko vizuri mzee
 
Israeli study finds Pfizer vaccine 85% effective after first shot .....
 
Sisi Ni CCM, tunasema hivi, tuna Vita ya kiroho na ya uchomi, mabeberu wanatamani utajiri wetu. Wanataka tufe wooooooote warithi nchi
Bubuji,angalia wanavyolifanya anga letu,halafu eti watu wanawachekea Wazungu na kujipendekeza pendekeza kwao,inauma frankly.Ona watu wanavyokufa sasa kwa magonjwa ya kupumua,halafu wanatudanya eti ni ugonjwa wa Corona.Hivi tutabaki kuwa wajinga kiasi hicho mpaka lini?
Sisi Ni CCM, tunasema hivi, tuna Vita ya kiroho na ya uchomi, mabeberu wanatamani utajiri wetu. Wanataka tufe wooooooote warithi nchi
Bubuji inaudhi kuona mtu anampenda Mzungu.Uovu wanaotufanyia unatisha.Ona👇jinsi wanavyolichafua anga letu,halafu wanasingizia eti magonjwa ya njia ya mfumo wa hewa,yanaletwa na C-19!Si kweli this👇is the cause.


 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wtf man? realy? mpaka umepanick . sikutarajia kama una weak mind and so emotional kiasi hiki.

slow down bro sio ugomvi huu, maana povu ulilotoa si la nchi hii.
associatian of doctors, which association? maana kuna associations kibao za madkari hapa duniani.

but then again where is the evidence? any papers , links, scientific research publications, disclosed docs around the world. gimme those not words.
 
Mimi mtu anayetetea in anyway the activities of the NWO frankly ananichefua sana.

Majitu yanayo-commit genocide all over the world against humanity unayatetea! Kwa kweli unastahili povu, tena zaidi!
 
Chuki zako tupa kule. Dawa zote unazomeza na hospitali zote unazokwenda hakuna hata dawa moja imetengenezwa na mwafrika.
Pythagoras unashangaza sana.Kwa hiyo wamekuweka hapa kutudhalilisha kwamba sisi Waafrika hatuwezi wao wanaweza.Hivi wewe ni mmoja wao?Hueleweki ujue.Pythagoras hivi niamini kwamba wewe ni mbumbu kiasi kwamba hujui jinsi wajinga kama ninyi mlivyotumiwa kuharibu elimu yetu.

Hivi niamini kwamba hujui jinsi pia wajinga kama ninyi mlivyotumiwa kufuta historian yetu, ili tujione kwamba hatuwezi, hatufai na hivyo tujidharau, jambo ambalo unatumia nguvu zako zote kuli-promote.

Pythagoras but who are you exactly and what do these psychopaths pay you to rebel against your fellow Africans. No Pythagoras this is intolerable.
 
Kubali tu acha maneno mengi wewe hapo unaweza nini zaidi ya porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…