Anataka link ambayo ime-dococument hivyo vifo kwa kuwa haiwezekani iwe kwamba wewe umeona vyeti vya vifo vya hao watu walio-kufa kwa Covid.Me namuuliza anahitaji ushahidi Gani, maana ushahidi wa kifo me najua ni cheti Cha kifo kwahiyo ndo anavitaka vyeti vya marehemu nipost hapa au sijaelewa?
Anataka link ambayo ime-dococument hivyo vifo kwa kuwa haiwezekani iwe kwamba wewe umeona vyeti vya vifo vya hao watu walio-kufa kwa Covid.Hata hivyo hiyo link lazima iwe ya kuaminika na isiwe na conflict of interest.Kwa mfano BBC sio a reliable source of information for Covid deaths,kwa kuwa ina conflict of interest.
Mkuu his demand is genuine,na kama huna link yeyote nyamaza.
Ndio,yana-aminika.Ninakuwa nimefanya utafiti wa kina na ku-compare notes,sikurupuki.Hahaha waga unafurahisha sana ndugu yangu, hivi wewe ma Link unayoletaga humu waga kuna ata moja ya kuaminika? Au waga unayaokota okota Tu huko unakuja kujaza server humu
Anyway keep going brother, me nilikuwa napita tu
Kwa hiyo taarifa uliyo tupa kwamba watu wanakufa kwa Covid umeipata wapi.Anyway sepa mkuu.Hahaha waga unafurahisha sana ndugu yangu, hivi wewe ma Link unayoletaga humu waga kuna ata moja ya kuaminika? Au waga unayaokota okota Tu huko unakuja kujaza server humu
Anyway keep going brother, me nilikuwa napita tu
Usijali Mkuu mbona nishasema me napita tu, we bakia na Mang'ombe yako uyaswage popote unapoelekea weweKwa hiyo taarifa uliyo tupa kwamba watu wanakufa kwa Covid umeipata wapi.Anyway sepa mkuu.
Weka utafiti wako hapa tupe link.Ninakuwa nimefanya utafiti wa kina na ku-compare notes
Kwanza nikukanushe,I am not afraid of death, ila sitaki kufa kijinga.Nijiingize kichwa kichwa mahali ambapo ni wazi kuna hatari,no way.Weka utafiti wako hapa tupe link.
Tunavyoambiwa hizo chanjo tafiti zimefanyika hata kwa binadamu ambao walijitolea na kulipwa wengine walikufa na waliokufa walichunguzwa kwa nini walikufa na ma boresho yakafanyika.
Sasa wewe una " compare" document za mtandaoni una linganisha doc na doc huo utafiti wako wa kina ebu tujuze kidogo maana wewe unasema umefanya kwa kina, pls tell us what makes you think you are smarter than all the scientist in the world combined.
To me it seems you are so scared of DEATH, of course death is a subject which makes many folks uncomfortable to talk about including myself,but my advice to you is pls prepare yourself to meet your Maker while your still strong and healthy( after all it is God who gives us the grace to be health ) , so when Mr D comes knocking on the door of your heart you will be at peace, knowing your are going home, so you will not so scared & paranoid about Death.
As for me I belong to Jesus, I don't have to worry, 'cause Jesus said
Tafadjali Weka link za utafiti wa kina unaosema umefanya wewe.Kwanza nikukanushe,I am not afraid of death, ila sitaki kufa kijinga.Nijiingize kichwa kichwa mahali ambapo ni wazi kuna hatari,no way.
Pia nikukanushe kwa usemi wako kwamba mimi najiona I am the smartest guy.I do not believe I am the smartest guy hapana.Tuko uncomprized,independent scientists wengi worldwide, who do not buy the fake narrative of the Covid Disease and Vaccines.Infact there is already a Court indictement by Doctors,other scientists and Lawyers(follow link below),of all those responsible for the Covid con.
Halafu naomba Niseme hivi mkuu,nitakuwa mjinga sana kujiweka kwenye mdomo wa Simba huku nikijua kwamba atanila,sipashwi kumjaribu Mungu in any way.It is obvious through even common sense,that the so called Covid Disease is fake.Kwa hiyo to me kuchomwa the Covid killer shot ni kumjaribu Mungu,and I am not prepared to do that at any cost.Na je,hatupaswi kumwamini Mungu kwa uponyaji wetu badala yake tunaamini mkono wa Shetani?The Covid shot is an idol.
Mkuu nimefanya Utafiti wa kina sana kuhusu Covid,na bado naendelea.Kila scientific information ninayopata naiweka hapa⬇️,ili kuwa alert watu juu ya ubaya wa the so called Covid Vaccines,which I call killer shots.Wanao-nielewa wananielewa,wasio-nielewa wamekufa na wengine wameathirika vibaya,ninao hata ndugu zangu wa karibu sana.Nimehakikisha kwa kutumia utaalamu wangu,experience ya wataalamu wengine na utafiti wa wataalamu wengine,repeatedly and na nime-hakikisha beyond any reasonable doubt, that the whole mainstream media and Western political narrative about Covid is fake.
Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
COMMISSION TO EXPOSE EVIL So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill...www.jamiiforums.com
Wakurochi sio lazima information available iwe yangu binafsi,jambo la msingi ni kwamba ipo and we can use it.Naomba nikufahamishe kwamba hata kutafuta scientific information from other scientists ni utafiti!Tafadjali Weka link za utafiti wa kina unaosema umefanya wewe.
Basi usingesema wewe hukurupuki na kwamba umefanya utafiti wa kina,Wakurochi sio lazima information available iwe yangu binafsi,jambo la msingi ni kwamba ipo and we can use it.Naomba nikufahamishe kwamba hata kutafuta scientific information from other scientists ni utafiti!
Elimu niliyo au uliyo nayo kama unayo,umepewa na Professors and Lecturers au waalimu ambao nao wameipata from various publications and sources,na hizi sources,sio lazima ziwe their own.
You nailed it brother...!Basi usingesema wewe hukurupuki na kwamba umefanya utafiti wa kina,
kwa ujumla ulichofanya ni totally misleading, you want all JF partners to believe that you are the expert in the field in question and the sole source of the information published herein. Bro, hiyo haiko sawa pls.
unataka sisi wote tukubaliane na " Your Findings. Hio sio sawa,
Ungesema ume piga chabo material ya watu wengine mbali mbali kwenye net or elsewhere na umeyachunguza kwa kina na umeona yana " make sense" na umekuja na conclusion kwamba hizi vaccines hazifai blah bla blahhh.
Hata mimi kwa taarifa yako sipendi chanjo. Ila mimi mtazamo wangu ni from a different angle, it's more spiritual.
Mimi kama mlokole naamini kabisa kuna something demonic about this Covid thing, but I cannot prove it through research and publish my findings here. I also believe there is more to come hii ni trailer. Siwezi kuamua sasa kupiga sound na kuanza kuwaaminisha watu wengine
simply beacause I cannot prove it, so i prefer to keep my information to myself though i do believe I am not alone having such beliefs. Pamoja na hayo nimechanja.
Kwanini nimechanja sio mada ya hapa ubaoni.
Logging off and signing out from this topic.
Remain blessed
Kumbe ndio maana umekuwa mkali sana irrationaly kuhusu mada hii,pole.I can only say you did not take time to think properly.Basi usingesema wewe hukurupuki na kwamba umefanya utafiti wa kina,
kwa ujumla ulichofanya ni totally misleading, you want all JF partners to believe that you are the expert in the field in question and the sole source of the information published herein. Bro, hiyo haiko sawa pls.
unataka sisi wote tukubaliane na " Your Findings. Hio sio sawa,
Ungesema ume piga chabo material ya watu wengine mbali mbali kwenye net or elsewhere na umeyachunguza kwa kina na umeona yana " make sense" na umekuja na conclusion kwamba hizi vaccines hazifai blah bla blahhh.
Hata mimi kwa taarifa yako sipendi chanjo. Ila mimi mtazamo wangu ni from a different angle, it's more spiritual.
Mimi kama mlokole naamini kabisa kuna something demonic about this Covid thing, but I cannot prove it through research and publish my findings here. I also believe there is more to come hii ni trailer. Siwezi kuamua sasa kupiga sound na kuanza kuwaaminisha watu wengine
simply beacause I cannot prove it, so i prefer to keep my information to myself though i do believe I am not alone having such beliefs. Pamoja na hayo nimechanja.
Kwanini nimechanja sio mada ya hapa ubaoni.
Logging off and signing out from this topic.
Remain blessed
You nailed it!Mada imemchoma kwa kuwa kachanja,hamna lolote,na kama na wewe umechanja pole.Serikali imekuambia kama ukipata matatizo shauri yako,na wewe unachanja,how stupid!You nailed it brother...!
Me Bado sijachanja mkuu kulingana na mazingira niliyopo kwahiyo Siwezi kumbeza mtu aliechanja au kumwita amekurupuka eti kisa me sijachanja, mtu amechanja kwa sababu anajua anachokifanyaYou nailed it!Mada imemchoma kwa kuwa kachanja,hamna lolote,na kama na wewe umechanja pole.Serikali imekuambia kama ukipata matatizo shauri yako,na wewe unachanja,how stupid!
Lakini hata hivyoo,kwani information yote tunayo ijua sisi ndio originators,basi kusingekuwa na haja ya kwenda shule,au hata kusoma books,journal nk.We learn from others,that is the essence of knowledge.So niamini only my own field,medical research work only,yatakuwa maajabu basi,na hiyo sio Dunia ya wasomi ninayoijua,we share knowledge.
Naona mnatiana moyo,poleni sana,hamkutumia busara,mngesubiri mpate taarifa ya kutosha,mmekurupuka!You wasn't well informed about the so called Vaccine.
Hii sio kweli Mkuu👉Mtu amechanja kwa sababu anajua anachokifanya👈The truth is hajui analolifanya na yuko misinformed.Utakubalije kufanywa a test animal;Utakubalije kuingiziwa dawa mwilini mwako ambayo haijafanyiwa utafiti wa kutosha,huku ukiwa umeambiwa wazi yatakayokupata utajua wewe;Me Bado sijachanja mkuu kulingana na mazingira niliyopo kwahiyo Siwezi kumbeza mtu aliechanja au kumwita amekurupuka eti kisa me sijachanja, mtu amechanja kwa sababu anajua anachokifanya
Na kwa maelezo Yako sidhani kama kuna mtu mwenye Akili timamu ataacha kuchanjwa eti kisa kasoma uzi wako, Labda familia Yako tu maana inawezekana ukawa na full control, hapa hakuna information ya uhakika ata Moja ambayo umeweka humu kama proofs ya hizi unazoita tafiti
Anyway, Unasema watu wangesubiri wapate uhakika wa hiyo chanjo, vipi ulisubiria Kwa muda gani kupata uhakika wa chanjo ya homa ya maini mkuu? Vipi chanjo za uzazi za wakina mama? Chanjo Za watoto wako je?
Utawapata watu wasioelewa chochote kuhusu Afya maana kwenye population ya watanzania huwezi kuondoka patupu, kama mfalme Zumaradi ana wafuasi wake ije kuwa sembuse wewe Mkuu, we endelea kuwashushia nondo wafuasi wako mkuu na All the best
Kuna maswali nimekuuliza mkuu, ulijipa muda gani kwenye Chanjo ya Homa ya Maini? Chanjo za uzazi za Wanawake? Chanjo za watoto wako?Hii sio kweli Mkuu[emoji117]Mtu amechanja kwa sababu anajua anachokifanya[emoji118]The truth is hajui analolifanya na yuko misinformed.Utakubalije kufanywa a test animal;kuingiziwa dawa mwilini mwako ambayo haijafanyiwa utafiti wa kutosha,huku ukiwa umeambiwa wazi yatakayokupata utajua wewe;Utakubalije kuingiziwa mwilini mwako dawa ambayo hujapewa taarifa zake za kutosha kuhusu athari za muda mfupi na mrefu;Utakubalije kuingiziwa mwilini mwako kitu ambacho hata CEOs wa makampuni yanayotengeneza hawatumii,halafu eti unasema anajua anachokifanya,hajui!
Chanjo zote zina madhara mkuu.Hizi zinazoitwa chanjo za C-19 sio chanjo,ni Genome Altering Therapies,DNA Altering Therapies/Technologies, Microsoft Windows 666mRNA Operating System,Graphene Oxide Nanoparticle 5G Activatable Systems and more.Kuna maswali nimekuuliza mkuu, ulijipa muda gani kwenye Chanjo ya Homa ya Maini? Chanjo za uzazi za Wanawake? Chanjo za watoto wako?
Au labda nikuulize bwana mbobezi, hivi Chanjo ambayo wewe hujaridhika nayo ni hii hii ya COVID-19 tu au Kuna ingine? Kama ipo ni ipi mkuu na kama hakuna Kwanini hakuna?