Wazungu wali wa -exterminate aborigines kule Australia na red indians America kiutani utani. Kuna wengine hawajui hata 'Siri' za wazi kama AIDS ilitengenezwa maabara na ilikuwa project ya ku control kukua kwa black populationWatake kutuua mara ngapi,mbona tayari wanatua?Jamani.Halafu kwa mtu anayejitambua, material goods sio kitu cha msingi sana.Na hivii, hujui kwamba hivyo vitu yvao ambavyo kwa ujinga tulio nao tunaviita maendeleo, ndivyo vinavyotuua?Wake up brother umelala usingizi wa pono,tungekuwa bora zaidi bila vitu vyao.
Usingekuwa sahihi zaidi mkuu,congrats.Wazungu wali wa -exterminate aborigines kule Australia na red indians America kiutani utani. Kuna wengine hawajui hata 'Siri' za wazi kama AIDS ilitengenezwa maabara na ilikuwa project ya ku control kukua kwa black population
FactsWazungu wali wa -exterminate aborigines kule Australia na red indians America kiutani utani. Kuna wengine hawajui hata 'Siri' za wazi kama AIDS ilitengenezwa maabara na ilikuwa project ya ku control kukua kwa black population
Mimi sikuchanjwa mkuu,na hata watoto wangu sichanji! Na Pia niko mwangalifu sana katika mboga na vyakula tunavyokula na familia yangu, kwa kuwa najua matatizo yaliyopo.Keep shooting your kids with vaccine.. majibu yapo.
We hujiulizi wewe umekua na chanjo chache mno.. polio, Surua leo mtoto amesha hinjikwa lushinge kumi na hata kusimama bado!?
Ukifika kila kata ina mahitaji maalumu na madawa yote hayo ya chanjo... Wamama wa saratani wa kutosha.. mafuta ya korie+ dawa za uzazi wa mpango+mbolea+machanjo tutajifia mpk tukome.
Two generations down, Afrika itakuwa na watu wengi wasiojiweza kiafya, na ndio watakuwa wenye elimu. Huku majority watakuwa watu wa mahitaji maalumu.Mimi sikuchanjwa mkuu,na hata watoto wangu sichanji!Na Niko mwangalifu sana katika mboga na vyakula ninavyokula,kwa kuwa najua matatizo yaliyopo.
Kwa jinsi mambo yalivyo mkuu,it is too late to wake up, the endgame is at our door steps.Very sad. Ila inashangaza kwamba kuna watu ambayo wamelala kiasi kwamba they still call this information conspiracy theory!Two generations down, Afrika itakuwa na watu wengi wasiojiweza kiafya, na ndio watakuwa wenye elimu. Huku majority watakuwa watu wa mahitaji maalumu.
Wenye akili ya kufikiri na kuongoza watakuwa weak, wenye nguvu na afya watakuwa wajinga, na mifumo ya serikali itakuwa inaendeshwa kwa maslahi ya wadhaifu.. mahitaji maalumu..
Continual success is about investing in the best.. and able. Sasa hivi Barrick hawadhamini the able ones kwenda Havard na MIT ila wanaleta hela ya kutosha kwenye mahitaji maalumu...
Wake up Afrika.
Sio biashara tu mkuu,it is an extermination tool also meant to produce robotic zombies!Kama ingekuwa biashara tu nobody would care.
Ni kweli "mjingamimi"(ila naomba usikiri kwamba wewe ni mjinga,ukiri una-umba!) wanatufanyia mchezo mchafu, tena si kidogo ni sana.Ila naomba utambue kwamba tumeshaangamia, mwanya wetu wa kupona ni mdogo sana.Hawa wazungu na wamarekani na wachina kuna mchezo wanatufanyia.
Tusipokuwa makini tutaangamia
Ni kweli "mjingamimi"(ila naomba usikiri kwamba wewe ni mjinga,ukiri una-umba!) wanatufanyia mchezo mchafu,tena si kidogo ni sana.Ila naomba utambue kwamba tumeshaangamia,mwanya wetu wa kupona ni mdogo sana.