Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Updates:

Please see this.Anayedhani President Magufuli anaweza kutusaidia kukwepa C-19 vaccine anajidanganya hali halisi ndio hii👇,kila mtu itabidi abebe msalaba wake.

Eheeee, wale wanaosema mimi hua naleta conspiracy theories hapa JF, je hii nayo ni conspiracy theory?
IMG-20210125-WA0001.jpg
 
Watake kutuua mara ngapi,mbona tayari wanatua?Jamani.Halafu kwa mtu anayejitambua, material goods sio kitu cha msingi sana.Na hivii, hujui kwamba hivyo vitu yvao ambavyo kwa ujinga tulio nao tunaviita maendeleo, ndivyo vinavyotuua?Wake up brother umelala usingizi wa pono,tungekuwa bora zaidi bila vitu vyao.
Wazungu wali wa -exterminate aborigines kule Australia na red indians America kiutani utani. Kuna wengine hawajui hata 'Siri' za wazi kama AIDS ilitengenezwa maabara na ilikuwa project ya ku control kukua kwa black population
 
Wazungu wali wa -exterminate aborigines kule Australia na red indians America kiutani utani. Kuna wengine hawajui hata 'Siri' za wazi kama AIDS ilitengenezwa maabara na ilikuwa project ya ku control kukua kwa black population
Usingekuwa sahihi zaidi mkuu,congrats.
 
Updates:
Corona disease is the greatest lie perpetrated on an unsuspecting population.The disease does not exist,because the virus has never been isolated,it is a hoax.

Since the vitus does not exist it cannot be said to adhere to Kock's Postulates,which is a set of characteristics every disease must adhere to for it to be called a disease.What is C-19 then.It is a bizzare invention of politicians of Western countries which was hyped by their CIA Mockingbird media and supported by the mainstream media the likes of BBC,CNN etc.

The purpose is to create fear,control and ultimately enslave and dominate humanity.The C-19 plandemic has an extremely evil agenda for humanity.
 
Keep shooting your kids with vaccine.. majibu yapo.

We hujiulizi wewe umekua na chanjo chache mno.. polio, Surua leo mtoto amesha hinjikwa lushinge kumi na hata kusimama bado!?

Ukifika kila kata ina mahitaji maalumu na madawa yote hayo ya chanjo... Wamama wa saratani wa kutosha.. mafuta ya korie+ dawa za uzazi wa mpango+mbolea+machanjo tutajifia mpk tukome.
 
Keep shooting your kids with vaccine.. majibu yapo.

We hujiulizi wewe umekua na chanjo chache mno.. polio, Surua leo mtoto amesha hinjikwa lushinge kumi na hata kusimama bado!?

Ukifika kila kata ina mahitaji maalumu na madawa yote hayo ya chanjo... Wamama wa saratani wa kutosha.. mafuta ya korie+ dawa za uzazi wa mpango+mbolea+machanjo tutajifia mpk tukome.
Mimi sikuchanjwa mkuu,na hata watoto wangu sichanji! Na Pia niko mwangalifu sana katika mboga na vyakula tunavyokula na familia yangu, kwa kuwa najua matatizo yaliyopo.
 
Mimi sikuchanjwa mkuu,na hata watoto wangu sichanji!Na Niko mwangalifu sana katika mboga na vyakula ninavyokula,kwa kuwa najua matatizo yaliyopo.
Two generations down, Afrika itakuwa na watu wengi wasiojiweza kiafya, na ndio watakuwa wenye elimu. Huku majority watakuwa watu wa mahitaji maalumu.

Wenye akili ya kufikiri na kuongoza watakuwa weak, wenye nguvu na afya watakuwa wajinga, na mifumo ya serikali itakuwa inaendeshwa kwa maslahi ya wadhaifu.. mahitaji maalumu..

Continual success is about investing in the best.. and able. Sasa hivi Barrick hawadhamini the able ones kwenda Havard na MIT ila wanaleta hela ya kutosha kwenye mahitaji maalumu...

Wake up Afrika.
 
Two generations down, Afrika itakuwa na watu wengi wasiojiweza kiafya, na ndio watakuwa wenye elimu. Huku majority watakuwa watu wa mahitaji maalumu.

Wenye akili ya kufikiri na kuongoza watakuwa weak, wenye nguvu na afya watakuwa wajinga, na mifumo ya serikali itakuwa inaendeshwa kwa maslahi ya wadhaifu.. mahitaji maalumu..

Continual success is about investing in the best.. and able. Sasa hivi Barrick hawadhamini the able ones kwenda Havard na MIT ila wanaleta hela ya kutosha kwenye mahitaji maalumu...

Wake up Afrika.
Kwa jinsi mambo yalivyo mkuu,it is too late to wake up, the endgame is at our door steps.Very sad. Ila inashangaza kwamba kuna watu ambayo wamelala kiasi kwamba they still call this information conspiracy theory!
 
Hawa wazungu na wamarekani na wachina kuna mchezo wanatufanyia.
Tusipokuwa makini tutaangamia
Sio biashara tu mkuu,it is an extermination tool also meant to produce robotic zombies!Kama ingekuwa biashara tu nobody would care.
 
Hawa wazungu na wamarekani na wachina kuna mchezo wanatufanyia.
Tusipokuwa makini tutaangamia
Ni kweli "mjingamimi"(ila naomba usikiri kwamba wewe ni mjinga,ukiri una-umba!) wanatufanyia mchezo mchafu, tena si kidogo ni sana.Ila naomba utambue kwamba tumeshaangamia, mwanya wetu wa kupona ni mdogo sana.
 
Updates:

The C-19 is a Masonic attempt to take over the World and enslave humanity.Watch the following video 👇to educate yourself
 
Kikubwa tuamue.
Kucheza ngoma yetu.
Tukicheza ngoma yao tumekwisha.
Maisha ya Corona yanatesa kushinda Corona yenyewe.
Ni kweli "mjingamimi"(ila naomba usikiri kwamba wewe ni mjinga,ukiri una-umba!) wanatufanyia mchezo mchafu,tena si kidogo ni sana.Ila naomba utambue kwamba tumeshaangamia,mwanya wetu wa kupona ni mdogo sana.
 
Aisee nyie ni wapumbavu sana, Corona ipo na chanjo yangu nagonga wiki ijayo sitaki tabu.
 
eti inakwenda ku-overwrite DNA , hivi unafikiri DNA ya binadamu ni sawa na RAM ya computer - useless !!
 
eti inakwenda ku-overwrite DNA , hivi unafikiri DNA ya binadamu ni sawa na RAM ya computer - useless !!
Sina sababu ya kubishana na wewe.Mkuu science ni fani,wewe obviously sio scientist,nyamaza usionekana mjinga.
 
Back
Top Bottom