Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Mfuasi wa Kibwetere kumtoa kwa Kibwetere ni almost impossible. Mpaka aangamie kwenye moto tu. Unatumia nguvu nyingi sana mpaka mishipa ya shingo inakutoka kuaminisha watu hizi conspiracies zako zisizo na kichwa wala miguu.

Kwamba vaccine ya Korona ni sumu ya kutuangamiza. Kwa hiyo Waisraeli walioamua kuchanja kila mtu mpaka mwisho wa mwezi ujao wameamua kujifuta kutoka katika uso wa dunia? Au wazungu wao wana za kwao na sisi tu Waafrika ndiyo tunaletewa hizo zenye sumu?
View attachment 1710054

Kwamba asilimia 16 ya umma mzima wa Wamarekani ambao umekwishachanjwa nao utaangamia. Au ni collateral damage tu katika mpango mpana wa kutuangamiza sisi Waafrika?
View attachment 1710055

Kwamba mpaka sasa hao watu milioni 208 waliokwishachanjwa kutoka nchi 97 duniani kote wote wataangamia?
View attachment 1710062

Unakwenda mtandaoni na kuokoteza hizi conspiracies halafu unakuja hapa na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu. Ukipingwa kidogo povu kama lote. Sad !!!
Mfuasi wa kibwetere snakuwa akili mbovu kuliko kibwetere mwenyewe.
 
Bandiko langu linawalenga watu wote,pamoja na wewe.Anyway,mimi sijanywa,labda wewe.Halafuu, comment yako ni ya ajabu,unasema "tulikwenda" kuchukua,mimi na nani? And then mind you,that was "organic," haina shida yeyote, at most it can't be affective, haina tatizo lingine,hizi zinazokuja ni deadly,that's why I am warning people not to take them.

Finally, wewe kinachokusumbua ni chuki bibafsi kwa Magufuli,mimi siko huko.
Jiandae kisaikolojia kuchanjwa.

Kama sio mwaka huu, ni mwakani au mwaka kesho kutwa.
 

Let me get this straight about COVID-19 vaccines:

1.Big Pharma are rushing the vaccines to market.

2.The FDA and other approval organizations are rushing approval.

3.These vaccines have not been fully tested.

4.Even when fully tested,vaccines in the past have proved to be very dangerous.

5.These are vaccines for a virus that has not even been isolated yet.

6.These vaccines will rewrite your DNA.

7.These vaccines will also affect the DNA of your children, grandchildren, great grandchildren, forever.

8.Politicians are considering mandating these vaccines.

May be somehow people believe taking any of the COVID-19 vaccines is something good,not at all.It is extremely dangerous.Please think twice before accepting any of the COVID-19 vaccines.


Follow the following link to see the reaction a vaccine test volunteer victim has received after getting the shot.



I also advice you strongly to read the following message from Robert F.Kennedy Jnr.before considering taking the COVID-19 shot.


The Covid-19 vaccine must be avoided at any cost!


Message from Robert F. Kennedy, Jr.

"To all my patients:

I would like to draw your attention urgently to important issues related to the next Covid-19 vaccination. For the first time in the history of vaccination, the so-called last generation mRNA vaccines are intervening directly in the genetic material of the patient and thereby altering the 'individuals' genetic material, which represents genetic manipulation, something that was already forbidden and until recently considered criminal. This intervention can be compared to the situation in genetically manipulated organisms or foods, which is also highly controversial. Even if the media and politicians currently trivialize the problem and even stupidly call for a new type of vaccine to return to normality, this vaccination is problematic in terms of health, morality and ethics, and also in terms of genetic damage,and unlike damage caused by previous vaccines, this will be irreversible and irreparable.

Dear patients, after receiving the mRNA vaccine shot, you will no longer be able to treat the vaccine symptoms in any way. You will have to live with the consequences, because it can no longer be cured simply by removing toxins from the human body, as is the case with a person with a genetic defect like Down syndrome, Klinefelter syndrome, Turner syndrome, genetic cardiac arrest, hemophilia, cystic fibrosis, Rett syndrome, etc.,because the genetic defect is forever!

This means clearly: if a vaccination symptom develops after an mRNA vaccination, neither I nor any other therapist can help you, because the damage caused by the vaccination will be genetically irreversible. In my opinion, these new vaccines represents a crime against humanity. As Dr. Wolfgang Wodarg, an experienced doctor has said,"In fact, this so called 'promising vaccine' for the vast majority of people should be FORBIDDEN, because it is genetic manipulation! "

The vaccine, developed and endorsed by Anthony Fauci and funded by Bill Gates, uses experimental mRNA technology. Three of the 15 human guinea pigs (20%) used in testing the vaccine experienced a "serious adverse effects".

Note: messenger RNA or mRNA is the Ribonucleic Acid that transfers the genetic code of the DNA of the cell nucleus to a ribosome in the cytoplasm, that is, the one that determines the order in which the amino acids of a protein bind and act as a mold or pattern for the synthesis of that protein.


Everybody please watch and share quickly! This will probably be taken down soon!...




Also follow this link where a test guinea pig dies and women spontaneously become infertile and abort babies.




Please also follow the following link to see how the C-19 will change even our genome!


Fool!
 
Stupid a*** **le
Stop misleading people
Nipe scientific proof that C-19 exisists.

Mnaamini udaku wa akina Bill Gates na Anthony Fauci,jamani amkeni....!.Wewe sio scientist ndio maana umekuwa rahisi kudanganywa, sio kosa lako.

Hata hivyoo,hivi kwa kufanya udadisi kidogo tu na kutumia akili yako ya kuzaliwa hujaona kwamba there is something unusual about this so called pandemic, which intelligent and informed people call a "scandemic."
 
Stupid a*** **le
Stop misleading people
Hivi nani stupid,anayeamini kwamba kitu kipo kumbe hakipo au anayeamini kwamba kitu hakipo na kweli hakipo. Ningekua wewe ningeanza ku-search ukweli kuhusu C-19.

Mjanja does not take anything for granted, he does own research. Mkuu hivi hujui kwamba most of mainstream media is fake news, wake up.
 
Historia inaonyesha tangu dunia inaanze, watu ambao wana au walikuwa na akili ya kiwango Cha juu sana sio watu Wala hawakuwa watu wakujiingiza kwenye mijadara ya kushindana au kuonyesha kuwa wao wana uwezo mkubwa kufikiri au akili nyingi

Pia wengi wao walikuwa au wamekuwa wakipata shida ya kujimuika katika jamii (kwa sehumu kubwa imejaa watu wa uwezo wa akili ya kawaida),hiyo kupelekea jamii kuwaona wao Kama hawako sawa kiakili na kupelekea watu Hawa kujitahidi kili iwezekanavyo kuwa kwepa watu au jamii..


Hivyo basi mtu yeyote yule ambaye anajipambanua yeye mwenyewe kuwa ana uwezo mkubwa wa kiakili na kutwa kujiingiza kwenye tumijadara kwa kutaka kujionyesha uwezo wake wa kiakili, na pengine kutoa majibu ya "wewe/nyie hujui/hamjui au huna/hamna akili WATU HAWA KIUHARISIA HAWANA UWEZO MKUBWA WA AKIL bali wana matatizo ya kisaikolojia yanayopelekea kujikuta wakijaribi kwa kutumia nguvu nyingi sana (bila wao kujijua) kujionyesha wao ni watofauti hasa kwenye suala zima la kufikiri na uwezo wa kiakili


all genius people have/will never engage in any debate to prove their intelligence capacity

Hawa Ni wale wajinga wenzetu tu
 
Stupid a*** **le
Stop misleading people

Soma hii 👇labda itakufungua macho.​

PROOF! The COVID-19 ‘Comedy of Errors’ was really a “Tragedy by Design”​

Posted on June 11, 2020 byState of the Nation
FacebookTwitterPinterestRedditEmail

Share

G. Corona Virus, by JD Hall


🔺
”CDC admitted they screwed up COVID19 infection counts and intentionally misled the public and have apologized, clarifying that the amount of people truly infected is much lower than what was originally reported — an error so egregious it made the director of the Harvard Global Health Institute say “how could the CDC make this mistake? This is a mess.
🔺
The American Coronavirus Task Force also admitted to fudging the National COVID19 death count when Dr. Birx said the deaths are people who died “with” COVID19 not “from” COVID19, thus making the real death count much lower than what is currently being reported.
🔺
Dr. Anthony Fauci admitted masks won’t help against the virus and mask manufacturers are now including warnings that their products do not deter COVID19.
🔺
Fauci also said that continuing to close the country could cause irreparable damage.
🔺
CDC backtracked their initial claim that led governors to shutdown their states & clarified that COVID19 does not spread easily on surfaces.
🔺
Governor of New York Andrew Cuomo confirmed a recent health study showing that 70% of new infections actually originate at home, thus making stay at home orders one of the most dangerous mandates currently in place.
🔺
Trump stopped funding the WHO and threatened to cut off money permanently until they can prove they are no longer corruptly influenced by communist China after they lied to our country about human to human transmission of COVID19 in January.
🔺
The curve is flattened, the CDC, WHO, Dr. Fauci, our governors, and many more were completely wrong about the potential threat of this virus.
🔺
Even California is opening up sooner than anyone expected because the evidence contradicts the long standing and inaccurate narrative still upheld by the extremely dishonest & corrupt media.
🔺
If you are still living in fear, don’t be. The media, global organizations, the government, and its agencies “mislead” the public.
🔺
People called those of us who knew this all along conspiracy theorists, but it turns out we were just following the facts!
🔺
Open up your businesses, churches, and homes. Don’t fall for the lies any longer. If you fell for the lies this time, wake up and join the army of truth seekers fighting on the front lines.
⚠️
The #CDC just confirmed a 0.2% death-rate for #COVID19
For that, we have:

• Added nearly 6 trillion to national debt
• Laid-off or furloughed 50 million workers
• Placed 60 million on food stamps
• Gone from 3.5%to 14.7% unemployment
• Crippled the petroleum industry
• Ruined the tourism industry
• Bankrupted the service industry
• Caused an impending meat and protein crisis
• Threatened, fined, and arrested church leaders
• Exacerbated mental health problems
• Shut down schools and colleges
• Given unbridled power to unelected officials
• Increased suicides higher than COVID deaths
• Delayed surgeries and treatments for profound illnesses
• Infringed upon countless important civil liberties
• Placed 300 million Americans on house arrest​

These consequences are largely due to two things:
• The first is our view of government as a god that can control Providence and plagues. In our hubris, we increasingly view the government as a deity who can stop acts of nature.
• The second is our sniveling, 21st-century commitment to safety. Our desire to be “safe” ruined our fiscal, physical, medical, food, energy, and national security.
⚠️
Unfortunately there is no vaccine for cultural fragility.
 

Let me get this straight about COVID-19 vaccines:

1.Big Pharma are rushing the vaccines to market.

2.The FDA and other approval organizations are rushing approval.

3.These vaccines have not been fully tested.

4.Even when fully tested,vaccines in the past have proved to be very dangerous.

5.These are vaccines for a virus that has not even been isolated yet.

6.These vaccines will rewrite your DNA.

7.These vaccines will also affect the DNA of your children, grandchildren, great grandchildren, forever.

8.Politicians are considering mandating these vaccines.

May be somehow people believe taking any of the COVID-19 vaccines is something good,not at all.It is extremely dangerous.Please think twice before accepting any of the COVID-19 vaccines.


Follow the following link to see the reaction a vaccine test volunteer victim has received after getting the shot.



I also advice you strongly to read the following message from Robert F.Kennedy Jnr.before considering taking the COVID-19 shot.


The Covid-19 vaccine must be avoided at any cost!


Message from Robert F. Kennedy, Jr.

"To all my patients:

I would like to draw your attention urgently to important issues related to the next Covid-19 vaccination. For the first time in the history of vaccination, the so-called last generation mRNA vaccines are intervening directly in the genetic material of the patient and thereby altering the 'individuals' genetic material, which represents genetic manipulation, something that was already forbidden and until recently considered criminal. This intervention can be compared to the situation in genetically manipulated organisms or foods, which is also highly controversial. Even if the media and politicians currently trivialize the problem and even stupidly call for a new type of vaccine to return to normality, this vaccination is problematic in terms of health, morality and ethics, and also in terms of genetic damage,and unlike damage caused by previous vaccines, this will be irreversible and irreparable.

Dear patients, after receiving the mRNA vaccine shot, you will no longer be able to treat the vaccine symptoms in any way. You will have to live with the consequences, because it can no longer be cured simply by removing toxins from the human body, as is the case with a person with a genetic defect like Down syndrome, Klinefelter syndrome, Turner syndrome, genetic cardiac arrest, hemophilia, cystic fibrosis, Rett syndrome, etc.,because the genetic defect is forever!

This means clearly: if a vaccination symptom develops after an mRNA vaccination, neither I nor any other therapist can help you, because the damage caused by the vaccination will be genetically irreversible. In my opinion, these new vaccines represents a crime against humanity. As Dr. Wolfgang Wodarg, an experienced doctor has said,"In fact, this so called 'promising vaccine' for the vast majority of people should be FORBIDDEN, because it is genetic manipulation! "

The vaccine, developed and endorsed by Anthony Fauci and funded by Bill Gates, uses experimental mRNA technology. Three of the 15 human guinea pigs (20%) used in testing the vaccine experienced a "serious adverse effects".

Note: messenger RNA or mRNA is the Ribonucleic Acid that transfers the genetic code of the DNA of the cell nucleus to a ribosome in the cytoplasm, that is, the one that determines the order in which the amino acids of a protein bind and act as a mold or pattern for the synthesis of that protein.


Everybody please watch and share quickly! This will probably be taken down soon!...




Also follow this link where a test guinea pig dies and women spontaneously become infertile and abort babies.




Please also follow the following link to see how the C-19 will change even our genome!


Wazungu wangetaka kutuangamiza hata wewe usingezaliwa ungekuta tumeshakwisha long time, hapo unatumia Technolojia yao computer au simu zingeshatumaliza siku nyingi, acheni akili za vita ya Maji Maji hadi leo.

Chanjo ije mwenye kutaka apewe asiyetaka aache. Mbona tunapokea dawa zao za kufubisha HIV Virus
 
Stupid propaganda


Nifanye propaganda kuhusu C-19 nipate faida gani mkuu, mbona sipati chochote.Mimi ninacho-fanya hapa ni kutoa elimu tu,ili kila mtu afanye maamuzi from an informed position.So you want to tell me that the mainstream media ndio sio propaganda,really?Are you so misinfrmed.Are you mind controlled that much?

Inasikitisha sana.
 
Wazungu wangetaka kutuangamiza hata wewe usingezaliwa ungekuta tumeshakwisha long time, hapo unatumia Technolojia yao computer au simu zingeshatumaliza siku nyingi, acheni akili za vita ya Maji Maji hadi leo. Chanjo ije mwenye kutaka apewe asiyetaka aache. Mbona tunapokea dawa zao za kufubisha HIV Virus
Chanjo Tanzania haiji, lazima mlindwe hata vilaza kama ninyi.
 
Siasa na ujinga kama huu ndio uliwafanya waafrika wengi wakawa walemavu kwa sababu ya Polio. Wanalishana ujinga kila kinachofanywa na mzungu ni sumu.

Baba zetu na mama zetu hata sisi toka tunazaliwa tumepigwa chanjo nyingi sana na tunadunda.

Wafrika kwa sababu ya inferiority wamekuwa waongo na kudanganyana na kutishana.

Kama vaccines ni dangerous acha wanao kuwapeleka clinic ya chanjo uone cha mtema kuni.
Wanazingua sana. Polio ilifutika duniani kote isipokuwa Nigeria na India kwasababu ya upuuzi kama huu.
 
Pythagoras do you really believe in what you have written?Hivi kweli niamini kwamba huijui agenda ya vaccines.Hivi kweli niamini kwamba hujui watoto wachanga wanavyofia matumboni mwa mama zao hata kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kuzaliwa?Hivi niamini kwamba hujui akina mama wanavyoteseka na mauvimbe matumboni na cancers mbali mbali?Hivi kweli huoni watoto wetu walivyoharibika na wasivyo eleweka kabisa?Je, umeshajiuliza kwa nini?Kama hujawahi kujiuliza wewe ni zuzu,nyamaza usi-mislead wenzio.Pythagoras,it seems you are a loon,retard or you have a vested interest in vaccines,sisi wengine hatuna,kwa hiyo tutapiga vita vaccines kwa nguvu zetu zote, kwa kuwa ni hatari na hazifai kabisa kwa maisha na matumizi kwa wanadamu, hasa hii inayokuja ambayo ni mRNA vaccine.Ni ajabu kwamba unafumba macho hata huoni athari ambazo zineshawekwa wazi.

Nirudie wewe ni zuzu,loon,retard au una vested interest in vaccines.

Finally nikuambie wazi, mimi sichanji watoto wangu na wako vizuri kweli kweli.Wa kwanza amemaliza MSc.Degree na wadogo zake wana either also MSc degrees or BScs, na wa mwisho yuko Form VI na hawajawahi kupata any problem. Mine is a good example of the uselessness of vaccines!Mtu anayetaka kujifunza,kama kweli yuko serious aje kwangu.Vaccines ni utapeli wa Wazungu,they have never helped anybody,they cannot help anybody,and they will never help anybody.They are a gene altering stealth deadly weapon for control and genocide.

Siri ya Chanjo, mbegu za GMO, kampeni za haki za watoto, wanawake nk ni nadra sana kwa wengi kufahamu maangamizi yake.

Mimi sichanjwi wala kuchanja mtoto wangu. Napinga kwa kauli na vitendo yote hayo
 
Siri ya Chanjo, mbegu za GMO, kampeni za haki za watoto, wanawake nk ni nadra sana kwa wengi kufahamu maangamizi yake.
Mimi sichanjwi wala kuchanja mtoto wangu. Napinga kwa kauli na vitendo yote hayo
Asante mkuu,ufahamu wako ni wa juu sana.Let's join hands in exposing the works of the Devil
 
Back
Top Bottom