Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Ni jipu upuuzi,kuna hoja gani hapo,mbona hakuna.Mkuu umesahau kale kamsemo ka Kingereza kanakosema,"foolish answers for foolish questions?"
Sawa mkuu. Pambana ukishinda utanambia. Unataka kushindana na mlima??
 
Washenzi tu na ushamba wao. Mimi mwenyewe hapa Tz nimechanja toka Juni 10. Na sina tatizo lolote. Wapuuzi hawa wa mwendazake
Only a loonatic under a demonic spell or a mindcontrolled individual kama wewe can take the jab.

Mkuu nakupa a maximum of only 3yrs you will be no more. Usijifariji, hiyo sio chanjo, it is a genocidal tool.
 
Mkuu umeandika vitu vya rohoni sana sisi wa mwilini hatutakuelewa.
 
Hii taarifa tukubaliane ni speculation tu haipo kwenye main stream media kiufupi ni hoax tu wala hakuna hyo kesi mahakama yoyote ile ujerumani.

Anyway nachotaka kufahamu mkuu ulitaka nini kifanyike? No vaccine then what? Whether ugonjwa umetengenezwa or not ulikua unatarajia wakae tu mpka wafe wote? Coz hii nguvu unayotumia kupinga chanjo ni kana kwamba you have a better alternative to recommend.

Je mkuu ukipigwa chanjo hutokufa?
 
Je mkuu ukipigwa chanjo hutokufa?
Waliokufa baada ya chanjo ni kma watu 100 tu kati ya kila watu zaidi ya 100 Million waliochanjwa. So unaweza ona ni kma tone tu la damu baharini.

Kuna rafiki yangu alikua na kisukari akawa anatumia Insulin zilimkataa so badala ya kumsaidia zilikuwa zinammaliza kabisa hadi ikabidi aache tu akahamia kwa tiba tofauti. So sio kila dawa inakua compatible na kila mwili.

Na hii sio kwa chanjo tu bali vyakula, sabuni, maji, mazingira, ila huwezi sema insulin ipigwe marufuku kisa tu manusura imuue rafiki yangu yule.

Chanjo ina mafanikio kuliko hasara
 
Washenzi tu na ushamba wao. Mimi mwenyewe hapa Tz nimechanja toka Juni 10. Na sina tatizo lolote. Wapuuzi hawa wa mwendazake
Kama kweli umechanja na unaficha athari unazopambana nazo, ni mbinafsi.
Only a loonatic under a demonic spell or a mindcontrolled individual kama wewe can take the jab.Mkuu nakupa a maximum of only 3yrs you will be no more.Usijifariji,hiyo sio chanjo,it is a genocidal tool.
Pamoja ya chapisho na taarifa unazobandika humu, kuna vichwa maji kuelewa. Athari za muda mrefu hazijathibitishwa na aliyedungwa anadai ati hana tatizo lolote, du!
 
Waliokufa baada ya chanjo ni kma watu 100 tu kati ya kila watu zaidi ya 100 Million waliochanjwa. So unaweza ona ni kma tone tu la damu baharini.

Kuna rafiki yangu alikua na kisukari akawa anatumia Insulin zilimkataa so badala ya kumsaidia zilikuwa zinammaliza kabisa hadi ikabidi aache tu akahamia kwa tiba tofauti. So sio kila dawa inakua compatible na kila mwili.

Na hii sio kwa chanjo tu bali vyakula, sabuni, maji, mazingira, ila huwezi sema insulin ipigwe marufuku kisa tu manusura imuue rafiki yangu yule.

Chanjo ina mafanikio kuliko hasara

Nakubaliana na hoja zako kwa kuwa kimsingi ni za kisayansi. Mada kuu inahusu uwezo na ufanisi wa chanjo za C-19. Kama kuna machapisho kuhusu hoja yangu, kwenye "journal" za tiba, ITAPENDEZA ukiziweka hapa.
 
Kama kweli umechanja na unaficha athari unazopambana nazo, ni mbinafsi.Pamoja ya chapisho na taarifa unazobandika humu, kuna vichwa maji kuelewa. Athari za muda mrefu hazijathibitishwa na aliyedungwa anadai ati hana tatizo lolote, du!
Mtashindana lakini hamtashinda
 
Nakubaliana na hoja zako kwa kuwa kimsingi ni za kisayansi. Mada kuu inahusu uwezo na ufanisi wa chanjo za C-19. Kama kuna machapisho kuhusu hoja yangu, kwenye "journal" za tiba, ITAPENDEZA ukiziweka hapa.
Paper nilizopost hapa ni za kutoka EMA, sio kwa madaktari wa uchochoroni!!! Ziko verified na peer reviewed.
 

Attachments

Paper nilizopost hapa ni za kutoka EMA, sio kwa madaktari wa uchochoroni!!! Ziko verified na peer reviewed.
Hivi zitto junior kweli hujui marekani ni nani kiroho? na kama unawajua unazani ni kweli ni watu wakuwa trusted? Yaani ukishajua marekani ni nani kiroho, utaelewa nini kinaendelea kuhusu corona.
 
Kama kweli umechanja na unaficha athari unazopambana nazo, ni mbinafsi.Pamoja ya chapisho na taarifa unazobandika humu, kuna vichwa maji kuelewa. Athari za muda mrefu hazijathibitishwa na aliyedungwa anadai ati hana tatizo lolote, du!
Huyu most likely ni "sleeper agent" wa CIA mkuu,tunao wengi sana Tanzania na hata humu JF,kwa hiyo sishangai sana.
 
Waliokufa baada ya chanjo ni kma watu 100 tu kati ya kila watu zaidi ya 100 Million waliochanjwa. So unaweza ona ni kma tone tu la damu baharini.

Kuna rafiki yangu alikua na kisukari akawa anatumia Insulin zilimkataa so badala ya kumsaidia zilikuwa zinammaliza kabisa hadi ikabidi aache tu akahamia kwa tiba tofauti. So sio kila dawa inakua compatible na kila mwili.

Na hii sio kwa chanjo tu bali vyakula, sabuni, maji, mazingira, ila huwezi sema insulin ipigwe marufuku kisa tu manusura imuue rafiki yangu yule.

Chanjo ina mafanikio kuliko hasara
Uliyoandika hapa ni upuuzi ambao ndio wanaozungumza pia watesi wako.Ni ajabu kwamba una unga mkono watu wanaopanga kukua.You must be a loon,mind controlled or under a demonic spell.Si amini kwamba yupo mwanadamu leo anaye weza kudiriki kupigia chapua sumu hii inayoitwa kiunafiki kabisa chanjo.

Mkuu sheria ya WHO ni hii:chanjo ikisababisha 5 deaths is recalled for more research,ikisababisha vifo 20 is terminated.Hii chanjo mpaka sasa imesababisha vifo kufuatana na independent analysts 50,000 worldwide.Figures provided by the CDC shows that 9,000 plus people in the US alone have died as of Friday last week,10th July,2021.




COVID Vaccine Data​

Through July 7, 2021

Reported Deaths post COVID Vaccine: Total 9,048​



But the CDC says this figure represents only 1%-10%!Many deaths are not reported.Hapa hatuja taja maimed or sick people as a result of the jab.

So in principle,the shot should have been withdrawn a long time ago.Hata hivyo bado tunaambiwa its' benefits outweighs its side effects!This is outright lies.

Mkuu hivi unahitaji kuwa na PhD kujua kweli kwamba hapa pana nia ovu?Siwaelewi wanadamu,what is happening here,ni kama tumelogwa hivi.There is certainly a demonic spell hovering over us.
 
Updates:
You need to view this clip to see how evil humans have become.These are new revelations with regards to C-19.Don't miss this,it will equip you with the right C-19 knowledge.
 
Figures provided by the CDC shows that 9,000 plus people in the US alone have died as of Friday last week,10th July,2021
Hii figure umeitoa wapi? Unaweza tupa source?
hii:chanjo ikisababisha 5 deaths is recalled for more research,
Chanjo ipi specifically? Nimeweka paper hapo juu ina monitor zaidi ya chanjo nane ni ipi hyo imeua zaidi ya watu 5? Tupe na chanzo maana so far hizo deaths sio vaccine-related bali changamoto za kimwili alizonazo mteja.
Hata hivyo bado tunaambiwa its' benefits outweighs its side effects
Sadly this is true..... Chanjo imekua effective kuliko njia zote zilizotumika kupambana na Covid 19. Labda ulitaka waache wawe wanakufa tu kma zamani mpka elfu 3 kwa siku?? Huoni mabadiliko??

Unaweza nisaidia ni vaccine gani haina side effects??
 
Updates:
You need to view this clip to see how evil humans have become.These are new revelations with regards to C-19.Don't miss this,it will equip you with the right C-19 knowledge.
Is it mainstream media?? Misinformation zipo nyingi so umakini ni muhimu sana
 
Is it mainstream media?? Misinformation zipo nyingi so umakini ni muhimu sana
This is science real science mkuu,hakuna misinformation hapo. Kwanza unapata faida gani ukitahadharisha watu kuhusu ubaya wa C-19 jab,mbona hakuna.

Wanaoleta chanjo hiyo ndio wenye sababu ya kumis-inform, ili agenda yao ya kuuza sumu hiyo na genocide itimie! I think it is common sense.
 
Is it mainstream media?? Misinformation zipo nyingi so umakini ni muhimu sana
Mkuu zitto junior, jibu la Mathanzua lina busara zaidi kuliko ubishi wako. Kisayansi ya tafiti za tiba (medical research), "marginal error, (p)" ya tiba yoyote lazima iwe "p<0.05".

Kuna WanaJf wamejenga tabia ya ubishi wa vijiweni hata kwenye masuala ya kitaaluma. Mwenye hekima husikiliza jambo na kulifanyia kazi
 
Back
Top Bottom