Sawa kakusikia asije zeeka maskin bureeeTatizo hajui kutumia fursa. Huu wimbo unaweza ukaenda hadi ukachuja na asiingize kitu cha maana. Kumbe kwa wanaojua muziki biashara, huu ndio ungekuwa muda muafaka wa kupiga hela.
Mbona nyie mmeanza komaa na za ndani hahahaha kama hazilipi si mfocus huko nje.Ni kweli kabisa hata Mimi namshangaa darasa anakomaa na show za geita,mara mtwara,Ifakara, iringa badala ya kutafuta shows za Kampala, Nairobi, kigari,Jo'burg na huko Europe
Yaaa...inaweza ikalea mabadiliko makubwa, ila asubiri kwanza muda upitepite...kama April hivi....afanye remix na chibu....ya wimbo wa muziki ili chibu amsaidie kumtanganza beyond borders mf ug...kenya. And kiinternationally........maana diz song ins bamba sana mkuu.....approximately views utube watakuwa 5millions in 1 week......
umepata lunch?Nyinyi timu maharage wa mondi ndiyo mnaoona kuwa kila msanii anayekuja juu anabattle na mondi, kila mtu na wakati wake mazee, wapi davido, wapi P square. Kama naija mtu moto kwa sasa ni tecno so huwez sema mashabiki wake ni haters wa davido. Same here, achen watu wengine wapasue anga, msione kuwa adui zenu