unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Sawa kakusikia asije zeeka maskin bureeeTatizo hajui kutumia fursa. Huu wimbo unaweza ukaenda hadi ukachuja na asiingize kitu cha maana. Kumbe kwa wanaojua muziki biashara, huu ndio ungekuwa muda muafaka wa kupiga hela.