Leta experience yako na ushuhuda kuhusu baadhi ya wadada wa kazi (housegirls) na vitendo vya kishirikina

Leta experience yako na ushuhuda kuhusu baadhi ya wadada wa kazi (housegirls) na vitendo vya kishirikina

Home sisi tunastory nyingi kuhusu house girl ila kali ni hii tulimla house girl mmoja kuanzia Baba na watoto 3 yaani kila mtu alikua anajisevia kwa wakati wake bila kujua, nakumbuka kuna siku nilitoroka shule nikamle, na kaka yangu kumbe nae alitoroka shule akamle l[emoji23]mimi ndio niliwahi mapema ilibidi bro arudi tu shule ila ikabaki kua siri yetu kumbe kaka mkubwa nayeye alishamkuta mzee kwenye 18 zake nao waka mute ikawa siri yao, tunashuruku yule binti alikua mzima laasivyo familia nzima ilikua inateketea na alidumu pale home karibu 4 years, ushauri tu muhimu sana kutambua afya ya mfanyakazi wako wa ndani kwa dharula yoyote.
Tobaaaaaah wee Heaven Sent plz mom njoo ona hapa. Khaaaaah
 
Hakuna uchawi mchawi ni wewe ambaye ulishindwa ku manage hisia zako na kuhamisha concentration kwa huyo binti kuhusu hizo chungu maybe bint wa watu alikuwa anatumia kujifukiza manukato.
 
Hakuna uchawi mchawi ni wewe ambaye ulishindwa ku manage hisia zako na kuhamisha concentration kwa huyo binti kuhusu hizo chungu maybe bint wa watu alikuwa anatumia kujifukiza manukato.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hii comment inaendena na jina lako aisee[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Home sisi tunastory nyingi kuhusu house girl ila kali ni hii tulimla house girl mmoja kuanzia Baba na watoto 3 yaani kila mtu alikua anajisevia kwa wakati wake bila kujua, nakumbuka kuna siku nilitoroka shule nikamle, na kaka yangu kumbe nae alitoroka shule akamle l[emoji23]mimi ndio niliwahi mapema ilibidi bro arudi tu shule ila ikabaki kua siri yetu kumbe kaka mkubwa nayeye alishamkuta mzee kwenye 18 zake nao waka mute ikawa siri yao, tunashuruku yule binti alikua mzima laasivyo familia nzima ilikua inateketea na alidumu pale home karibu 4 years, ushauri tu muhimu sana kutambua afya ya mfanyakazi wako wa ndani kwa dharula yoyote.

Nimecheka sanaaaaaaaa kaka
 
Home sisi tunastory nyingi kuhusu house girl ila kali ni hii tulimla house girl mmoja kuanzia Baba na watoto 3 yaani kila mtu alikua anajisevia kwa wakati wake bila kujua, nakumbuka kuna siku nilitoroka shule nikamle, na kaka yangu kumbe nae alitoroka shule akamle l[emoji23]mimi ndio niliwahi mapema ilibidi bro arudi tu shule ila ikabaki kua siri yetu kumbe kaka mkubwa nayeye alishamkuta mzee kwenye 18 zake nao waka mute ikawa siri yao, tunashuruku yule binti alikua mzima laasivyo familia nzima ilikua inateketea na alidumu pale home karibu 4 years, ushauri tu muhimu sana kutambua afya ya mfanyakazi wako wa ndani kwa dharula yoyote.
Duuu,umaskini huu,huenda kalikosa mtu wa kumpeleka hata ufundi kakimbie shida ya kuingia huo umaid.Na huenda wazazi wake hawakujua kama wanampeleka mtoto nyumba ya wazinifu! Pole kwake maid,huenda ndo njia yake nae aliyopangiwa kuishi duniani.
 
Ila hivi vi beki 3 huwaga vitamu sana aisee,ukute kana sura na umbo zuri,umekatoa kijinini huko ukakaleta town,halaf kapo ndani masaa yote,ukakapigisha mikaango ya town miezi 6 na lotion kakapata,,..aloo huwaga vinatakaka balaa,kukiacha ni Mungu tu akusaidie,.,.hongera kwa kukashtukia uchawi hako ka kwako ila nahic kalikua kabaya na sura ya kichawi,

Chief hakakua kabaya wala kazuri...yaani nilikua nakaona ona tu hata sikuwahi kukatilia consideration.
 
Hapo uchawi ni lile gambe ulokunywa ndio maana ukapata ujasiri wa kumla sebuleni huku wife yupo room.
Ndio maana ulivyorudi 'nyutro' ukaanza kumkazia maana uchawi wa gambe umeisha.
Ila sasa mtu mzima kama wewe kwa nini ukapige kasichana jombaa!?.
Si ungekafungashia tu vitu vyake kasepe!.
Kumla ulifeli ila kumpiga ulifeli sana.

Mpaka narud home sikua mionzi kiasi hicho jombaa! Narudigi tu mara nyingi niko mionzi ila sikuwahi kuwazia ule upuuzi.
 
Home sisi tunastory nyingi kuhusu house girl ila kali ni hii tulimla house girl mmoja kuanzia Baba na watoto 3 yaani kila mtu alikua anajisevia kwa wakati wake bila kujua, nakumbuka kuna siku nilitoroka shule nikamle, na kaka yangu kumbe nae alitoroka shule akamle l[emoji23]mimi ndio niliwahi mapema ilibidi bro arudi tu shule ila ikabaki kua siri yetu kumbe kaka mkubwa nayeye alishamkuta mzee kwenye 18 zake nao waka mute ikawa siri yao, tunashuruku yule binti alikua mzima laasivyo familia nzima ilikua inateketea na alidumu pale home karibu 4 years, ushauri tu muhimu sana kutambua afya ya mfanyakazi wako wa ndani kwa dharula yoyote.

Aiseee! Mlitishanhuyo binti alikua ni kiboko!! Kujua afya zao ni muhimu hata kwa maslahi ya watoto anaowalea.
 
Hakuna uchawi mchawi ni wewe ambaye ulishindwa ku manage hisia zako na kuhamisha concentration kwa huyo binti kuhusu hizo chungu maybe bint wa watu alikuwa anatumia kujifukiza manukato.

Kwa sababu huo ni mtazamo wako siwezi kukubishia! Km na maneno aliyoyakiri kwa kinywa chake nayo ni uongo basi sawa.
 
Back
Top Bottom