Lete fyokofyoko ukutane na Tavor ya Kiisrael

Lete fyokofyoko ukutane na Tavor ya Kiisrael

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
1536151024034.png

TAVOR YA ISRAEL -inayomlinda mkuu wa nchi
images



1536152144640.png
 
Sniper itapendeza.😉


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ukienda wikipedia user wa hizo silaha Tanzania haimo, record haioneshi kama ziliuzwa Tanzania, ila Rwanda imo na nchi zingine.... Rwanda nimejitajia tu haina uhusiano wowote ule.
mkuu wale wababe kwenye msafara wa mkuu huwa hawana. maana kuna ile mijamaa mirefu huwa imeshika mitutu njenje huwa naona kama iko dizaini hiyo.
 
wako vizuri, sema zile mashine nilikuwa nauliza kama ndio hizo za kiiizrael maana kama zinafanana.
mkuu mimi sina shida hata alindwe na B52 ninachohitaji amani hata tusipoendelea flesh tu.
Sawa Mkuu tuache hilo maana lipo juu ya uwezo wetu ila nachojua Kikosi cha ulinzi wa rais hutumia nyenzo za kisasa kwa ajili ya utendaji kazi uliotukuka.
 
Back
Top Bottom