Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Rais wa wanyonge na "chaguo la mungu" analindwa hivi. Sijui Mohamed Abdullahi wa Somalia au Bashar al-Assad wa Syria ulinzi wao upoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwz ilikuwa kituko msafara kabla haujafika helicopters mbili zilikuwa zireck eneo la tukio. Na ulipofika ulisindikizwa na helicopters hizo na kuendelea kuranda juu ya makutano hayo .Rais wa wanyonge na "chaguo la mungu" analindwa hivi. Sijui Mohamed Abdullahi wa Somalia au Bashar al-Assad wa Syria ulinzi wao upoje?
kwa pozi ili wadunguaji wakiamua kufanya yao fasta tu huku iyo mijamaa imesimama na tavor zao
Kama papa wa Vatican analindwa ije kuwa wa kwetu tena mwana siasaRais wa wanyonge na "chaguo la mungu" analindwa hivi. Sijui Mohamed Abdullahi wa Somalia au Bashar al-Assad wa Syria ulinzi wao upoje?
Kwa ujuaji tu watanzania hamjambokwa pozi ili wadunguaji wakiamua kufanya yao fasta tu huku iyo mijamaa imesimama na tavor zao
Huwezi kukubalika na watu wote halafu suala la ulinzi liko kikatiba acha alindwe tuMwz ilikuwa kituko msafara kabla haujafika helicopters mbili zilikuwa zireck eneo la tukio. Na ulipofika ulisindikizwa na helicopters hizo na kuendelea kuranda juu ya makutano hayo .
Huku upande wa ziwani ikiwa imewekwa chini ya ulinzi wa wana maji (marine boats 6).
Kubwa zaidi kila aliyeingia Mwz south alisachiwa kwa mtambo .
Nikajiuliza hofu na wasiwasi wa nini ?! Kwa kiongozi wa watu tena anayekubalika!! .
Kubwa najuwa gharama za ulinzi wa mkuu lazima ziwe zaidi ya maradufu.
Sijui sababu zake ni nini ?! .
Utawaweza watanzania mkuu chochote wakisikia mbio kuandikaKwa hiyo hao ni wanyarwanda?
Hizo sare ni za jeshi gani?Kwa hiyo hao ni wanyarwanda?
Kwanini bongo hamna hii silaha?True, ila Tanzania haipo,
Umeambiwa wa Syria au Somaria sio maraisi wa wanyonge? Wanyonge ni shahania tuRais wa wanyonge na "chaguo la mungu" analindwa hivi. Sijui Mohamed Abdullahi wa Somalia au Bashar al-Assad wa Syria ulinzi wao upoje?
Ukienda wikipedia user wa hizo silaha Tanzania haimo, record haioneshi kama ziliuzwa Tanzania, ila Rwanda imo na nchi zingine.... Rwanda nimejitajia tu haina uhusiano wowote ule.
mkuu wale wababe kwenye msafara wa mkuu huwa hawana. maana kuna ile mijamaa mirefu huwa imeshika mitutu njenje huwa naona kama iko dizaini hiyo.
TafakariKwa hiyo hao ni wanyarwanda?
Zote hzo mbwembwe tu..
Mambo ya ulinzi yaache yana taratibu zake.. Hayo mambo ni maji marefu mkuu yaache tu Kama yalivyoMwz ilikuwa kituko msafara kabla haujafika helicopters mbili zilikuwa zireck eneo la tukio. Na ulipofika ulisindikizwa na helicopters hizo na kuendelea kuranda juu ya makutano hayo .
Huku upande wa ziwani ikiwa imewekwa chini ya ulinzi wa wana maji (marine boats 6).
Kubwa zaidi kila aliyeingia Mwz south alisachiwa kwa mtambo .
Nikajiuliza hofu na wasiwasi wa nini ?! Kwa kiongozi wa watu tena anayekubalika!! .
Kubwa najuwa gharama za ulinzi wa mkuu lazima ziwe zaidi ya maradufu.
Sijui sababu zake ni nini ?! .
israel hata wakitengeneza koleo. Utasikia koleo la waisrael ni nomaa.
hahaha
baba umemaliza ni kataifa dhaifu kabisa kanakobebwa na propaganda,yaani hata wakijamba utasikia ushuzi wa mayai.israel hata wakitengeneza koleo. Utasikia koleo la waisrael ni nomaa.
hahaha
Huyo wa Syria sio muoga kama huyu wetuRais wa wanyonge na "chaguo la mungu" analindwa hivi. Sijui Mohamed Abdullahi wa Somalia au Bashar al-Assad wa Syria ulinzi wao upoje?