NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
hao walioshika inamaana ni wanyarwanda sio haya watu wamejifanya wakasahau kuziba kosa jepesi tu.True, ila Tanzania haipo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao walioshika inamaana ni wanyarwanda sio haya watu wamejifanya wakasahau kuziba kosa jepesi tu.True, ila Tanzania haipo,
Amegomea ma capitalist wakati juzi tu hapa amelalamika kuhusu gesi huko Kusini, mabilioni yetu ya makinikia hatujalipwa Na bado amekusanya mabilioni ya hela kwenda kununua ndege kwa hao hao ma capitalist. Embu tumia akili yako kufikiri na sio makalio kabla ya kuanza kusifu na kuabuduNi haki yake kikatiba kama Raisi Wa Nchi kulindwa, kama wengine hawakutaka its there choice , ila naamini ile ishu ya makirikia tu ilikua inamuweka katika wakati mgumu sana kiulinzi kwani tunajua hizi taasisi Kubwa za kibiashara zikishindwaga mezani huwa zinajaribu any means take a vivid example to what happens to the previous zambia presdaa , alifanya kama anayofanya rais wetu na hawakumkawiza ni jukumu letu kumwombea raisi magufuli kwani amethubutu kuwagomea hao ma capitalist katika ishu nyeti kabisa kama madini then ni kama amejitoa muhanga vile, viva tanzania , viva JPM wewe ni kiongozi wa kweli na mwansiasa nguli hasaa basi tupeleke nchi ya kanaani ndugu zako Mungu atakulipia.
Wachokoze siku moja uusikie mdundo wake!Hiyo bunduki utafikiri gitaa!
Vb
....mkuu mbona inasemekana kuwa hao jamaa wanaozishikilia hapo ni wanyarwanda??Ukienda wikipedia user wa hizo silaha Tanzania haimo, record haioneshi kama ziliuzwa Tanzania, ila Rwanda imo na nchi zingine.... Rwanda nimejitajia tu haina uhusiano wowote ule.
True, ila Tanzania haipo,
True, ila Tanzania haipo,
Zipo bongoKwa hiyo hao ni wanyarwanda?
Hamana ni wabongo.....mkuu mbona inasemekana kuwa hao jamaa wanaozishikilia hapo ni wanyarwanda??