Lete fyokofyoko ukutane na Tavor ya Kiisrael

Ak47 ya rusia..... Ama SMG 1956 ya mchina zitabaki kua bora hakuna zaid ya hzo........sema silaha hizi za kisasa Ni modern ya hzo........[emoji110][emoji110][emoji110][emoji110]wanapunguza uzito ...wanaweka usawa wa mtutu iskose malengo na pia mapambano ya ana kwa ana zaid ya hapo...it nothing...........riffles za vita zitabak .....Ak47&&&M4...
[emoji185][emoji185][emoji185][emoji40][emoji56][emoji102]
 
Amegomea ma capitalist wakati juzi tu hapa amelalamika kuhusu gesi huko Kusini, mabilioni yetu ya makinikia hatujalipwa Na bado amekusanya mabilioni ya hela kwenda kununua ndege kwa hao hao ma capitalist. Embu tumia akili yako kufikiri na sio makalio kabla ya kuanza kusifu na kuabudu
 
Ukienda wikipedia user wa hizo silaha Tanzania haimo, record haioneshi kama ziliuzwa Tanzania, ila Rwanda imo na nchi zingine.... Rwanda nimejitajia tu haina uhusiano wowote ule.
....mkuu mbona inasemekana kuwa hao jamaa wanaozishikilia hapo ni wanyarwanda??
 
Kwa hiyo hao ni wanyarwanda?
Zipo bongo
Za kwetu zine granade luncher
 
nenden mkasome israel mtaziona live hukohuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…