Leteni ushahidi wa namna Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilivyoharibu mahusiano ya kimataifa

Leteni ushahidi wa namna Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilivyoharibu mahusiano ya kimataifa

Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Viongozi walikuja Tanzania ni Wengi Sana hasa kutoka Uturuki, China, Vietnam, Malawi, Africa kusini, Uganda, Kenya, Burundi, Congo, Commoro, Madagascar n.k pia alifanikiwa kufungua ubalozi nchini Israel, Madini ameyasimamia vilivyo Sasa Burembo mpiga madili anasema et KABUD aliharibu mahusiano!!!
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Mama anatakiwa ajue kuwa amezungukwa na wahuni wengi a kina ulimbo na genge Lao,kazi Yao ni kumhadaa na kumsifia kinafiki ili awape nafasi ya kupiga wao na mifumo Yao.watamdanganya kuwa Jpm alikuwa hafai ili wamteke kifikra aone yeye ni bora kuliko Jpm .Lengo Lao ni ovu ajue amebeba dhamana ya watu zaidi ya mil 60.Nacho imo mikononi mwake asiyumbishwe.Wanajifanya eti nchi ni Yao kwa kuwa Ccm ni yao.Hawana haya.Nonsense.
 
Viongozi walikuja Tanzania ni Wengi Sana hasa kutoka Uturuki, China, Vietnam, Malawi, Africa kusini, Uganda, Kenya, Burundi, Congo, Commoro, Madagascar n.k pia alifanikiwa kufungua ubalozi nchini Israel, Madini ameyasimamia vilivyo Sasa Burembo mpiga madili anasema et KABUD aliharibu mahusiano!!!
Jamaa hilo linataka kuzeeka vibaya.
 
Wajinga hao eti kisa rais alikuwa hasafiri nje ya tz ndo ikaonekana kuwa kavunja uhusiano na mataifa ya nje shenzxy kabisa
 
Bulembo Bulembo bulembooo kakamatwa. Kumbe kibaaaaka.

Tuwe makini Na njaaa zetu zinatushusha heshima jamani.
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Na watuambie ni lini ubalozi wa TZ na Israel umeanza?
 
Viongozi walikuja Tanzania ni Wengi Sana hasa kutoka Uturuki, China, Vietnam, Malawi, Africa kusini, Uganda, Kenya, Burundi, Congo, Commoro, Madagascar n.k pia alifanikiwa kufungua ubalozi nchini Israel, Madini ameyasimamia vilivyo Sasa Burembo mpiga madili anasema et KABUD aliharibu mahusiano!!!
Yaaani hewa jamaa wajinga sana viongozi walikuwa wanakuja hapa kila siku Bulembo anatuletea ujinga lakini pia tatizo shule kichani hamna kitu!
 
Ooooh Kuku walichomwa Moto mpakani

That’s nonsense.

Watanzania wangapi wamefungwa mipakani?
Mali zao, kutaifishwa au kuharibiwa kwa mazuio ya kihuni upande wa Pili wa nchi jirani?

Jamani tuwe serious Na tunaojitambua tuache ushabiki wa kinazi usiokuwa faida kwa wananchi wetu.
 
Muhuni no 1 anajulikana kupitia kwa komredi H. Polepole Na si nwengine ni Nepe Nuye.
Sukuma GANG poleni sana, mnapuyanga mno kulinda legacy, mimi nawaelewa sana.
Hivi mnasahau mlivyokua mnawatukana MABEBERU..
Utawala wa HAYAWANI si ndio tuliona wasaidizi wa Magufuli wanapigwa MARUFUKU kwenda USA ,
kwa kuua raia na kuwatupa baada ya kuwateka na kikosi cha SHUJAA cha watu wasiojulikana. Kudhurumu haki za watu kuishi . Walisema USA .
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Watakwambia alichoma vifaranga
 
Back
Top Bottom