Lethal Covid strain

Lethal Covid strain

Sasa mkuu mnapoweka curfew inamaanisha mchana woooteee virusi vimelala ila usiku saa mbili vinaamka na kukumba watu. Hii mikusanyiko imepigwa ban juzi juzi tu hapa baada ya kuibuka kwa wimbi la tatu mngekaza tangu wimbi la kwanza mngekua mbali mno hasa ukizingatia mna chanjo
Hatuchezi na media, hata hao media wenyewe wanaonyesha picha za watu kadha wa kadha wanavyojiachia bila wasi na hii ni kwa sababu sio kila mtu ana akili sawa ya kutii, kuna wanaokuwa na dharau /kutojali.
Lakini ujue idadi kubwa ya wananchi wa Kenya wanafuata maagizo yaliyotolewa na ministry of health. Na kwa taarifa yako, mikusanyiko yote ya watu imepigwa ban na rais Kenyatta, hata mazishini na harusini, ni watu kadhaa wanakubaliwa kwenda (close family members)
 
Huku bongo hakuna aliyetulazimisha bali ndio uhalisia wetu. Mkuu ulivyokua unamuona Hayati maneno na vitendo vyake ni kopiraiti ya watanzania wengi japo watabisha. Ndo maana aliposema corona imeisha tukashangilia,tunapenda kuishi kwa matumaini kuliko uhalisia ambao hatuwezi kuukubali na kuukabili

Hii Miongozo ya kisayansi mnaipindisha hasa kwenye curfew virusi gani vinavyolala mchana na kukurupuka saa mbili usiku?

Miongozo ya kutandika watu viboko sio ya kisayansi
Kuna wengi wetu hatufuati, nikiwemo pia mara moja moja najikuta nikilegeza, hata barakoa naikumbuka tu pale ninapotoka maana ya kuogopa kukamatwa na mapolisi, ila yote cha msingi na muhimu ni kwamba sio sera za serikali, hatuna sera za rais eti yeye ndiye aseme corona imeisha kwa maombi kwa hivyo wote kama mifugo wasio na akili tumfuate kauli zake na kuacha kuchukua tahadhari.

Serikali iko pale pale imesimamia miongozo ya kisayansi maana hili ni tatizo la kisayansi na serikali yenyewe kama zilizvyo serikali zote duniani huwa zimebuniwa kisayansi, cheo cha urais kimebuniwa kwa miongozo ya kisayansi, waulize waliosomea "social science".

Mimi ni muumini wa Kikristo na namuamini Yesu, ila hiyo ni imani yangu binafis, haimuhusu hata mke wangu au mwanangu, sipaswi nilazimishe kwao, la sivyo haitakua tofauti na majihadi malshababi wanaokata watu vichwa kisa hawaabudu katika imani yao.
 
Sasa mkuu mnapoweka curfew inamaanisha mchana woooteee virusi vimelala ila usiku saa mbili vinaamka na kukumba watu. Hii mikusanyiko imepigwa ban juzi juzi tu hapa baada ya kuibuka kwa wimbi la tatu mngekaza tangu wimbi la kwanza mngekua mbali mno hasa ukizingatia mna chanjo
Lockdown ilianza tangu wimbi la kwanza, hufatilii news wewe, sisi ndio tunajua. Tena curfew kuwekwa usiku ni kwa sababu wakati huo ndio watu hujiachia sana bila kujali afya, kwenye mahoteli, bar, parties lazma watu watajiachia kiholela na ujue askari hawawezi kuchunga kila kona ya Kenya hadi manyumbani kwa watu. Lakini, mchana kila mmoja yuaenda kazini na hata wale wako mtaani lazma utakuwa mvaaji barakoa na kunawa mikono sababu ya sheria zilizowekwa kazini na pia kuogopa kudakwa na polisi na kutozwa fine kubwa. That's why!
āœŒļø
 
Habari nafatilia kila kona.Lockdown ingekuwepo tangu wimbi ka kwanza isingetangazwa hii nyingine mkuu. Halafu lockdown zenu sio zile za ulaya.

Japo museveni alijaribu kuiga ila ikawa ngumu. Africa hatuiwezi lockdown.

Curfew yenyewe mnaishia kupigana na kuongeza vitendo vya rushwa tu.
Lockdown ilianza tangu wimbi la kwanza, hufatilii news wewe, sisi ndio tunajua. Tena curfew kuwekwa usiku ni kwa sababu wakati huo ndio watu hujiachia sana bila kujali afya, kwenye mahoteli, bar, parties lazma watu watajiachia kiholela na ujue askari hawawezi kuchunga kila kona ya Kenya hadi manyumbani kwa watu. Lakini, mchana kila mmoja yuaenda kazini na hata wale wako mtaani lazma utakuwa mvaaji barakoa na kunawa mikono sababu ya sheria zilizowekwa kazini na pia kuogopa kudakwa na polisi na kutozwa fine kubwa. That's why!
āœŒļø
 
Huku bongo hakuna aliyetulazimisha bali ndio uhalisia wetu. Mkuu ulivyokua unamuona Hayati maneno na vitendo vyake ni kopiraiti ya watanzania wengi japo watabisha. Ndo maana aliposema corona imeisha tukashangilia,tunapenda kuishi kwa matumaini kuliko uhalisia ambao hatuwezi kuukubali na kuukabili

Hii Miongozo ya kisayansi mnaipindisha hasa kwenye curfew virusi gani vinavyolala mchana na kukurupuka saa mbili usiku?

Miongozo ya kutandika watu viboko sio ya kisayansi
Hakuna aliyesema virusi hulala mchana na kukurupuka usiku, hayo ni mawazo yako. Curfew haiwezi kuwekwa mchana, why? Watu wataendelea vipi na maisha yao ya kila siku, na uchumi wa nchi je, si utapungua watu wakifungiwa.
Mambo ya askari kukuadhibu wakati umepatikana ukivunja sheria ni makosa lakini kama hutaki kuchapwa, tii sheria iliyowekwa, Simple.
 
Kwani lockdown maana yake nini mkuu?
Hakuna aliyesema virusi hulala mchana na kukurupuka usiku, hayo ni mawazo yako. Curfew haiwezi kuwekwa mchana, why? Watu wataendelea vipi na maisha yao ya kila siku, na uchumi wa nchi je, si utapungua watu wakifungiwa.
Mambo ya askari kukuadhibu wakati umepatikana ukivunja sheria ni makosa lakini kama hutaki kuchapwa, tii sheria iliyowekwa, Simple.
 
Habari nafatilia kila kona.Lockdown ingekuwepo tangu wimbi ka kwanza isingetangazwa hii nyingine mkuu. Halafu lockdown zenu sio zile za ulaya.

Japo museveni alijaribu kuiga ila ikawa ngumu. Africa hatuiwezi lockdown.

Curfew yenyewe mnaishia kupigana na kuongeza vitendo vya rushwa tu.
Lockdown ilikuwepo, juzi tu ndio iliinuliwa kidogo watu watulie, curfew iko pale pale. Alafu ujue hata hao huko Ulaya kama France, Britain, Brazil na Hapa kwetu Afrika SA, waliweka Lockdown na curfew zao kali, na bado variant mpya zinajitokeza kila kukicha, na ukumbuke sisi huku ni developing nation, so ni mwendo wa kujaribu pahala tumefikia sasa hivi.
 
Kwani lockdown maana yake nini mkuu?
lockdown is a restriction policy for people or community to stay where they are, usually due to specific risks to themselves or to others if they can move and interact freely.


curfew is a regulation requiring people to remain indoors between specified hours, typically at night.
 
Sasa mkuu hapo mlipo mna lockdown na curfew.

Umeshasema curfew haiwezi kuwekwa mchana kulinda uchumi ila bado unatetea lockdown hayo si ni maigizo mkuu. Mgechagua moja muende nayo mpaka pale mtakapoona mmeshenda vita
lockdown is a restriction policy for people or community to stay where they are, usually due to specific risks to themselves or to others if they can move and interact freely.


curfew is a regulation requiring people to remain indoors between specified hours, typically at night.
Huku kwetu tumebaki wapenzi watazamaji tu japo majirani mnatucheka lakini kimoyo moyo mnatutamania
Lockdown ilikuwepo, juzi tu ndio iliinuliwa kidogo watu watulie, curfew iko pale pale. Alafu ujue hata hao huko Ulaya kama France, Britain, Brazil na Hapa kwetu Afrika SA, waliweka Lockdown na curfew zao kali, na bado variant mpya zinajitokeza kila kukicha, na ukumbuke sisi huku ni developing nation, so ni mwendo wa kujaribu pahala tumefikia sasa hivi.
 
Cholera haina mkopo wa WHO na haiwatangazi ulimwenguni. Wakenya wanapenda kujulikana. Ni ile aina ya too much know
If this is the case.
Then kenya should put much efforts on cholera. It's shame to deal with something of less threat and leave alone the most devastating disease, cholera.
 
Cholera haina mkopo wa WHO na haiwatangazi ulimwenguni. Wakenya wanapenda kujulikana. Ni ile aina ya too much know

But cholera kills Kenyans like no other diseases. For how long, are they going to leave the situation like this???
Tena tofauti ya vifo ni kubwa sana, mashariki na magharibi.

Kenya bila kipindupindu inawezekana.
 
Sasa mkuu hapo mlipo mna lockdown na curfew.

Umeshasema curfew haiwezi kuwekwa mchana kulinda uchumi ila bado unatetea lockdown hayo si ni maigizo mkuu. Mgechagua moja muende nayo mpaka pale mtakapoona mmeshenda vita

Huku kwetu tumebaki wapenzi watazamaji tu japo majirani mnatucheka lakini kimoyo moyo mnatutamania
Lockdown imewekwa sehemu tano pekee, zenye wingi wa maambukizi;NAIROBI, KIAMBU, KAJIADO, MACHAKOS na NAKURU.
Curfew iko Kenya nzima, tangu phase one ianze hadi waleo
 
Hapo ndipo panaponitatiza kwenye lockdown curfew ya nini?au kuna kitu sijaelewa.
Lockdown imewekwa sehemu tano pekee, zenye wingi wa maambukizi;NAIROBI, KIAMBU, KAJIADO, MACHAKOS na NAKURU.
Curfew iko Kenya nzima, tangu phase one ianze hadi waleo
 
Hope wataibuka na mikakati mikubwa. Maana kenya ipo kwenye wakati mgumu,huku wasomali wanawasumbua,huku kipindupindu bado corona
But cholera kills Kenyans like no other diseases. For how long, are going to leave the situation like this???
Tena tofauti ya vifo ni kubwa sana, mashariki na magharibi.

Kenya bila kipindupindu inawezekana.
 
If this is the case.
Then kenya should put much efforts on cholera. It's shame to deal with something of less threat and leave alone the most devastating disease, cholera.
Hao hata hawajui wanasimamia wapi kama nchi, wanapopelekwa wanaenda kama ng'ombe
 
Hope wataibuka na mikakati mikubwa. Maana kenya ipo kwenye wakati mgumu,huku wasomali wanawasumbua,huku kipindupindu bado corona

Inasikitisha kuona kwamba Kenya wanatumia nguvu kuubwa kwa kitu chenye madhara kidoogo mno. Wakati cholera gives them a hard time ever.
But again, how a less complicated sporadic disease causes such huge life loss.
 
Hili suala limegeuzwaje likawa ni majadiliano kuhusu Kenya? Researchers sio wakenya na COVID-19 ni janga la kimataifa. Nchini Kenya shirika la utafiti la KEMRI limekuwa makini sana na limekuwa likifatilia kirusi hicho na strain zote ambazo zimepatikana nchini Kenya. Upumbavu wa hali ya juu ni huu ujuha wa kujaribu kuilaumu nchi jirani kwa mapingufu yenu.

Hujaeleweka, nenda kajipange tena.

Halafu pia uje na jibu kati ya cholera na uviko-19 ipi inaua sana nchini Kenya?
 
Back
Top Bottom