Wapi hao wanaokufa... naona ww bado mzma au ww sio mtuAcha utani mzee, watu wanakufa kweli na huu ugonjwa.
jioneeni huruma nyie kwanzaNamuonea huruma huyo mama kama naye ataendekeza huo ujuha, basi mbona msifunge hospitali zote na hata kufuta elimu yote ya sayansi na kuwafuta madaktari wote wakachome mkaa vijijini na kufanya mengine. Mumejitoa ufahamu hadi kuonekana kituko cha dunia, kirusi kinawatafuna kuanzia mtu wa kawaida mpaka kwenye kichwa cha nchi lakini bado mumedumaa na kushupaza shingo.
jioneeni huruma nyie kwanza
Naamini umeona lile nyomi lilikuwa linamuaga Magufuli bila ya barakoa,kama hiyo corona ipo kihivyo mnavyotaka tuamini Tanzania kwa kiasi hicho,basi nusu ya watanzania saa hizi wangekua chali,wengine wanaokotwa barabarani
una vyeti vya vifo vya viongozi wa ikulu waliokufa kwa corona?Nijionee huruma kivipi wakati sisi bado tunaye rais na uongozi wote, corona bado haijafaulu kutuadhibu kiasi cha kufagia viongozi hadi ikulu.
Nijionee huruma kivipi wakati sisi bado tunaye rais na uongozi wote, corona bado haijafaulu kutuadhibu kiasi cha kufagia viongozi hadi ikulu.
Kwa upande wa korona nyie hamna shida, viongozi wenu wote wapo, hata vifo jumla ni kidogo. Sasa jitihada za kujilinda na uviko - 19 mzihamishie kwenye kipindupindu. Inasikitisha kuona kipindupindu kinaua wakenya kwa maelfu, lkn viongozi wenu wako kimya kabisa. Ni tatizo hilo.
View attachment 1737651
Dayaspora wa Buza, lazima nguvu zitumike kupunguza corona isije kufuta viongozi wetu kama kwenu hadi mnaanza kulialia kwanini akina Museveni hawajaja kuomboleza na nyie....
Ujihadhari pia na ugonjwa wa kuhara. Maana huo ni janga la Taifa la Kenya, lkn hamna mtu anayezungumzia.
View attachment 1737720
Ugonjwa wa kuhara haujatuondolea rais na kufuta wakuu wa nchi hadi jeshini maana jameni hamna kitu kibaya kama hicho, taifa linayumba hebu ona hadi huruma Jukwaa la Siasa
Sema ndiyo tofauti kati ya TZ na ke. Jambo linaloathiri masikini halina nafasi. Ndiyo maana kuhara kunaua maelfu ya masikini wa kenya (37655 vs 2092), lkn kwa kuwa hiyo siyo shida ya viongozi, basi hakuna jitihada yoyote itakayofanywa.
View attachment 1737822
Kwenu mnaliwa na vyote, sema uhuru wa habari haupo na ndio maana hata magazeti yote yanaita corona "changamoto la kupumua", sijaona ujuha wa aina hiyo. Hakuna mwenye uhuru wa kusema chochote.
hakuna uhusiano kati ya TZ kuliwa na vyote na nyie kufumbia macho gonjwa ambalo linaua wakenya 37,655, halafu mnahangaika kwa kitu kidogo cha 2092.
Kwenu huko media hairuhusiwi kuandika chochote, mnaliwa na corona kuanzia Buza hapo kwko hadi ikulu, halafu uongeze na mengine hayo kama kipindupindu....aisei poleni lakini.
Hivi unajua kua incubation period ya hao Virus ni 2 weeks? Au unaongea tuu?Sasa kwa ule mrundikano wa wiki lililopita kwenye Kumuaga Rais si hadi sasa hospitals zingekuwa overwhelmed?? But Nothing people are just okay with their life??
Mbona mnataka tuwakumbushe kutumia akili zenu?
Jibu hoja, siyo kuleta viroja/vioja hapa.
Hawa ni wajinga! Corona inatumiwa tu na wajanja ilí wapenyezee agenda zao za siri!! Hatari ya corona iko over-rated!!Sasa kwa ule mrundikano wa wiki lililopita kwenye Kumuaga Rais si hadi sasa hospitals zingekuwa overwhelmed?? But Nothing people are just okay with their life??
Mbona mnataka tuwakumbushe kutumia akili zenu?
Sisi hatuna habari na barakoa wala social distancing kea miezi acha hizo wiki mbili!! Ingekuwa ni hivyo wote tungeshaugua !! Subiri basi hizo wiki mbili halafu uone kama watu watajazana mahospitalini kwa corona!Hivi unajua kua incubation period ya hao Virus ni 2 weeks? Au unaongea tuu?
Halafu magonjwa ya kuharisha chanzo kikuu ni uchafu!!!!!!!Kwa upande wa korona nyie hamna shida, viongozi wenu wote wapo, hata vifo jumla ni kidogo. Sasa jitihada za kujilinda na uviko - 19 mzihamishie kwenye kipindupindu. Inasikitisha kuona kipindupindu kinaua wakenya kwa maelfu, lkn viongozi wenu wako kimya kabisa. Ni tatizo hilo.
View attachment 1737651