Lethal Covid strain


Hehehe!! Umeita MATAGA kama wote, sidhani kama watakuja kukusaidia maana kwa sasa wote wameelekeza nguvu zao kutetea mamilioni ya dola zinazopatikana mumefukia manyumbani.
Kwa corona mnatakiwa mchukue tahadhari za kisayansi, mumeimbiwa kila siku mnajifanya makomando dhidi ya corona, eti hamtaki kuvaa barakoa, hamtaki kuskliza chochote mnakaidi. Hawa wanaovaa hizi barakoa kwenye haya mapicha usidhani ni wajinga....

Nimeona mnajisifu eti nyomi ilihudhuria mazishi bila barakoa.....











 

Hivi uchawi mtaacha lini? Sijawahi sikia mtu anatoa kauli za kujitakia kifo kwa mtu makini kama JPM.
Anyways, mnafahamika kwa uchawi eneo lote hili.
 
Hivi uchawi mtaacha lini? Sijawahi sikia mtu anatoa kauli za kujitakia kifo kwa mtu makini kama JPM.
Anyways, mnafahamika kwa uchawi eneo lote hili.

Uchawi upi, mimi nazungumza mambo ya sayansi kama vile umuhimu wa barakoa ila wewe umekomalia vya uchawi.... masuala ya ushirikina mnaongoza ukanda huu.
JPM amesemwa na vyombo vyote vya habari dunia hii (kasoro vya Tz kwa uwoga) namna alivyokaidi tahahdhari zote za kisayansi na kusema corona imemamlizwa kwa maombi.
Halafu nimeshangaa sana hiyo nyomi iliyohudhuria msiba wake na kujisifia kutokuvaa barakoa walikufa watu 40, duh! Nyie bana yaani Polisi yakiri watu 45 wafariki Dar wakati wa kumuaga hayati Magufuli
 
Sisi hatuna habari na barakoa wala social distancing kea miezi acha hizo wiki mbili!! Ingekuwa ni hivyo wote tungeshaugua !! Subiri basi hizo wiki mbili halafu uone kama watu watajazana mahospitalini kwa corona!
Mkuu,hebu ongeza ufikiri wako japo kidogo tu,utajuaje kua mtu ana corona au hana bila kupima?

Unajua kua mtu anaweza kua na Corona ila asionyeshe any symptoms?

Ugonjwa huthibitishwa kwa vipimo na sio kwa macho.
 
Kwa taarifa yako hakuna mtu wa kawaida unayamsema aliyeugua hiyo kitu. Halafu kwanini tuumize kichwa na kitu ambacho hata hao unawaita madaktari hawakijui? Wote wako wapiga ramli tu kama wewe. mnachojua ni kuvaa barakoa tu.
 

Sayansi inasema mtu akifa ushangilie. Nikiwaita wachawi, muwe mnaelewa.
 
Sayansi inasema mtu akifa ushangilie. Nikiwaita wachawi, muwe mnaelewa.

Hehehe naona umetia akili sasa umeanza kujadili sayansi, na sio wewe tu, kunaye huyu mzee wa nyungu naye naona siku hizi ameelewa kwanini watu wanasomea hizi taaluma..... huo ujuha mliokua mnafanya mtaanza kutia akili maana mnaiponza dunia.

 
Mkuu,hebu ongeza ufikiri wako japo kidogo tu,utajuaje kua mtu ana corona au hana bila kupima?

Unajua kua mtu anaweza kua na Corona ila asionyeshe any symptoms?

Ugonjwa huthibitishwa kwa vipimo na sio kwa macho.
Sasa mtu akiwa na Corona lakini hafi inanisumbua na nini??[emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani nihangaike kupima na kutishwa na idadi ya maambukizi tu wakati watu hawafi?? Si uzwazea huu?? Mbona watz karibia wote wana malaria wakipima, ila sio wote wanaugua na kufa kwa malaria? Kwa nini covid ndo iwe kesi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…