Karma marudio ni saa 6 usiku, saa 2 asubuhi au saa 12 jioniHaya fanya mafekecheee kule sasa ! Hio button ulibonyeza shikilia hapohapo usiachieeπ!
Cc Smart911
Nimekosa uhondo lol!!Karma marudio ni saa 6 usiku, saa 2 asubuhi au saa 12 jioni
Jaikyungu ameshajua kaka ake sio mtoto wa Daebook leo anaenda kumwaga mchele na Sunwaha ashajua jaikyungu sio mtoto wa Daebook
Mama mtu ameshazinduka!
Ipo mwishoni, sitaki iishe ni nzuri
Unajisikiaje kua mweupe kama papaiπ
Chunusi tatizo πππUnajisikiaje kua mweupe kama papaiπ
Mbona mimi sijaziona?πChunusi tatizo πππ
Nani kakunyima?Wewe nimenyimwa kuweka ππ