min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Una matatizo , ukiwa na mimi au?🤔🤔🤔🤔🤔Mimi sitokuja mbona sina ushauri wa kumpa min ake!
Nina matatizo kibao yangu yananishinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una matatizo , ukiwa na mimi au?🤔🤔🤔🤔🤔Mimi sitokuja mbona sina ushauri wa kumpa min ake!
Nina matatizo kibao yangu yananishinda
Akituteka je? Wewe hujui ushauri wa nini unataka kwenda😂
Huyo niwako kitambo sana mbona si unaona mwenyewe!.Mno shem ake , fanya mambo nakubali harakati zako kunihusu mimi🤪🤪🤪
Nina matatizo huku kwenye dunia yanguUna matatizo , ukiwa na mimi au?🤔🤔🤔🤔🤔
Unafaa kufanya kazi za promotionHuyo niwako kitambo sana mbona si unaona mwenyewe!.
Kwenye harakati za kukupambania Sijawahi kufeliiiiiiii😁😁😁
Basi hapo min me atakupenda anaona kapata mkombozi
Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!Mimi naweka order mapema nitakula kitimoto 1kg na maji
Uliupiga mwingi sana, Hongereni☺️Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??😄😄😄
Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???
Udaga ndio nini??
Ni ugali wa muhogo love 😄😄😁😂!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu😄 Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)
Cc Smart911
Yeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako😆😆😆 tukae mahali , 😊😊Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??😄😄😄
Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini mpenzi wangu ??? Nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???
Udaga ndio nini??
Ni ugali wa muhogo love 😄😄😁😂!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu😄 Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)
Cc Smart911
Ukienda usiniache nije kula misosi☺️Yeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako😆😆😆 tukae mahali , 😊😊
Ephen akee😊Ukienda usiniache nije kula misosi☺️
Umecharuka siku hizi🙄Ephen akee😊