Let's chat

Let's chat

Mimi naweka order mapema nitakula kitimoto 1kg na maji
Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??😄😄😄

Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini mpenzi wangu ??? Nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???


Udaga ndio nini??

Ni ugali wa muhogo love 😄😄😁😂!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu😄 Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)

Cc Smart911
 
Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??😄😄😄

Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???


Udaga ndio nini??

Ni ugali wa muhogo love 😄😄😁😂!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu😄 Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)

Cc Smart911
Uliupiga mwingi sana, Hongereni☺️
 
😁😁😁😁😁😁😁!
Usimkazie hivo mtoto mzuri naweweeee!


Cc Smart911

Ukiwa na min Matatizo tupaa kuleee! He's there for you so no woriiiiiii😄!

Cc Smart911

Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??😄😄😄

Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini mpenzi wangu ??? Nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???


Udaga ndio nini??

Ni ugali wa muhogo love 😄😄😁😂!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu😄 Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)

Cc Smart911
Yeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako😆😆😆 tukae mahali , 😊😊
 
Back
Top Bottom