Una matatizo , ukiwa na mimi au?๐ค๐ค๐ค๐ค๐คMimi sitokuja mbona sina ushauri wa kumpa min ake!
Nina matatizo kibao yangu yananishinda
Akituteka je? Wewe hujui ushauri wa nini unataka kwenda๐
Huyo niwako kitambo sana mbona si unaona mwenyewe!.Mno shem ake , fanya mambo nakubali harakati zako kunihusu mimi๐คช๐คช๐คช
Nina matatizo huku kwenye dunia yanguUna matatizo , ukiwa na mimi au?๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค
Unafaa kufanya kazi za promotionHuyo niwako kitambo sana mbona si unaona mwenyewe!.
Kwenye harakati za kukupambania Sijawahi kufeliiiiiiii๐๐๐
Basi hapo min me atakupenda anaona kapata mkombozi
Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!Mimi naweka order mapema nitakula kitimoto 1kg na maji
Uliupiga mwingi sana, Hongereniโบ๏ธUsijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??๐๐๐
Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???
Udaga ndio nini??
Ni ugali wa muhogo love ๐๐๐๐!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu๐ Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)
Cc Smart911
Yeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako๐๐๐ tukae mahali , ๐๐Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??๐๐๐
Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini mpenzi wangu ??? Nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???
Udaga ndio nini??
Ni ugali wa muhogo love ๐๐๐๐!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu๐ Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)
Cc Smart911
Ukienda usiniache nije kula misosiโบ๏ธYeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako๐๐๐ tukae mahali , ๐๐
Ephen akee๐Ukienda usiniache nije kula misosiโบ๏ธ
Umecharuka siku hizi๐Ephen akee๐
๐๐๐๐
Kelele tratruu kwa efen akooo
Weeeeehhh weeeeeeehhh wweeeeuuuweeeeeeeeehh๐๐บ
Cc Smart911