Let's chat

Mno shem ake , fanya mambo nakubali harakati zako kunihusu mimi๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช
Huyo niwako kitambo sana mbona si unaona mwenyewe!.
Kwenye harakati za kukupambania Sijawahi kufeliiiiiiii๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mimi naweka order mapema nitakula kitimoto 1kg na maji
Usijareee kabesaaa chochote utachohitaji kitapatikanaa!
Nasema uongo min -me ??๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ntawasimulia Siku nimetoka out na Smart911 ananiuliza utakula nini mpenzi wangu ??? Nikamuuliza hivi hapa ugali wa udaga unapatikana???


Udaga ndio nini??

Ni ugali wa muhogo love ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚!
( Hapo naona kabisa smart anachekea tumboni ili nisione kama ananicheka na ushamba wangu๐Ÿ˜„ Umeletwa nakula sina habariiiiiiii huku yeye ananishangaa tu)

Cc Smart911
 
Uliupiga mwingi sana, Hongereniโ˜บ๏ธ
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!
Usimkazie hivo mtoto mzuri naweweeee!


Cc Smart911

Ukiwa na min Matatizo tupaa kuleee! He's there for you so no woriiiiiii๐Ÿ˜„!

Cc Smart911

Yeah kuna mtu nishamwambia huku one day lazima niktutafute na smart ako๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† tukae mahali , ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ