Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
Wajumbe igweee.....

Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.

Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.

Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.

Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.

Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......

Angalia wapitayo.

1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.


2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.


3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?


4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.


5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa


6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.


7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.


8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.


9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!


10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..



After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"

Achana nayo kama huielewi.

Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.

Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO

""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""

#YNWA
 
Ila kwa dunia ya Sasa ndoa zimekusanywa ngumu sana
 
Haya ni matokeo ya kuvunja ile kanuni ya awali kabisa ambayo ingepunguza matatizo mengi sana.

Kila mtu abaki safi hadi atakapoingia kwenye ndoa, na kubaki mwaminifu baada ya kuwa kwenye ndoa.

Sio suluhu pekee kwa matatizo ya ndoa lakini inapunguza matatizo mengi sana.
Uaminifu umekua adimu sana, ni wa kutafuta kwa tochi na hii ni kwa pande zote, me na ke japo wanaolaumiwa ni ke kana kwamba me wana hati miliki ya kufanya chochote bila kuambiwa.

Tukirudi kwenye mjadala, inamaana mzee wa Liverpool haujawahi kabisa kuona ndoa hata moja au thread hata moja inayoelezea mazuri ya kuwa kwenye ndoa?

Hawa uliowanukuu ndio wamekufanya uhitimishe kutokuoa?

Kuna makosa mengi tu, narudia tena mengi sana nimefanya kuhusu mahusiano na nikapata ujira wangu lakini bado naamini taasisi ya ndoa bora inawezekana. Apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

Kwa hili, sishauri kuwahamasisha watu wasioane, bora ingekua kujadili changamoto za ndoa.
Shida nyingine hakuna user guide ya mahusiano, kila moja iko na namna yake na changamoto zake.
 
Hi hiiii.... Aya mambo kama masikhara lakini daah!! Ndo ukweli wenyewe..
Nowdays usije invest kwa mtu.
Usi invest muda..
Usi unvest pesa...
Usi invest Upendo..

Utakuja nishukuru🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kwa Niaba ya Wanaume ngangari

Tunasema...kuoa tunaoa.



Yaan Udhaifu wako na uoga tu. Ndo uache kuishi na Mbususu yako ndani, ikuzalie watoto, ikufanyie usaidizi ule kianamke???


Ayaaaaa...hiiiiiiiiiiiiiiii


Shunie unawaona wanaume mnaowapenda nyie???


NJOO kwangu Mama [emoji8]
Sina udhaifu wowote na sina uoga wowoteeee..!!!

Kuishi na mbususu ndani haina uhusiano wowotee na ndoa.

Watoto Hawana uhusiano wowotee na kuoa, Kuna wenye watoto na Hawana ndoa.

Ndoa haileti watoto ila kula mbususu ndio kunaleta.

We sugua mbususu utapata watoto..!!

Usaidizi ni fani ya watu unawajua "Hotel management?"

#YNWA
 
Wajumbe igweee.....

Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.

Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.

Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.

Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.

Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......

Angalia wapitayo.

1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.


2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.


3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?


4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.


5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa


6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.


7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.


8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.


9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!


10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..



After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"

Achana nayo kama huielewi.

Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.

Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO

""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""

#YNWA
"Njoo ufanyiwe maombi" wimbo wa Born Mwaitege.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Unahitaji TIBA haraka sana. Ndoalysis itaumaliza huo ubongo🤣.

Waliooa, wasiooa, mabachela na walioachana hawateseki na mahubiri kama wewe🤣.
 
Back
Top Bottom