Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

Ukiifikiria sana ndoa ni upumbavu mtupu. Na ndio hasa inasababisha watu wanakufa mapema
Koma mtoto wa dada. Tena koma na maneno yako uyafute.

Ukiwa haujaelewa umuhimu wa jambo hailifanyi hilo jambo kuwa si la muhimu.

Hapo wewe unaishi mwenyewe, haufanyi mapenzi, hauna company ya jinsia ya tofauti?!
 
Koma mtoto wa dada. Tena koma na maneno yako uyafute.

Ukiwa haujaelewa umuhimu wa jambo hailifanyi hilo jambo kuwa si la muhimu.

Hapo wewe unaishi mwenyewe, haufanyi mapenzi, hauna company ya jinsia ya tofauti?!
Koma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?
 
Koma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?
Sasa kufanya mapenzi ni tendo la nini hebu tuelezee mtoto wa dada, Koma na kwambia koma mtoto wa dada.
 
Wajumbe igweee.....

Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.

Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.

Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.

Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.

Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......

Angalia wapitayo.

1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.


2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.


3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?


4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.


5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa


6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.


7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.


8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.


9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!


10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..



After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"

Achana nayo kama huielewi.

Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.

Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO

""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""

#YNWA
Unadhani pesa pekee ndiyo itakufanya ufurahi mwanangu. Furaha ni matokeo ya vitu vingi ikiwamo fedha. Mbona nchi kama Nepal tena maskini ina watu wenye furaha kuliko Marekani kama fedha ndiyo furaha?
 
Koma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakya Mungu umenichekesha sana binti yangu
 
Sasa kufanya mapenzi ni tendo la nini hebu tuelezee mtoto wa dada, Koma na kwambia koma mtoto wa dada.
Narudia tena ndoa ni upuuzi uliopitiliza. Tumejiwekea jela sisi wenyewe.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakya Mungu umenichekesha sana binti yangu
Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema
 
Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema
Mbona yangu ina miaka mingi na bado tunadunda mwanangu, unamaanisha nini unaposema vifo vya mapema?
 
Mbona yangu ina miaka mingi na bado tunadunda mwanangu, unamaanisha nini unaposema vifo vya mapema?
Hata yangu ina miaka mingi na bado tunadunda hivyo hivyo.
Magonjwa mengi huletwa na stress za ndoa. Pia mauaji
 
nimekuelewa ila ulipokazania tafuta hela tafuta hela nikakuona pimbi

Unadhani pesa pekee ndiyo itakufanya ufurahi mwanangu. Furaha ni matokeo ya vitu vingi ikiwamo fedha. Mbona nchi kama Nepal tena maskini ina watu wenye furaha kuliko Marekani kama fedha ndiyo furaha?

If you think money can't buy HAPPINESS then go and ask the HOMELESS and the JOBLESS.

#YNWA
 
Narudia tena ndoa ni upuuzi uliopitiliza. Tumejiwekea jela sisi wenyewe.

Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema

Asante sana madam.

Kwahili your THY MADAM.

Sio THE ni THY.

🤘🤘🤘🤘🤘

Chukua SANTI ANNA HAPO NITALIPA.

#YNWA
 
Wajumbe igweee.....

Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.

Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.

Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.

Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.

Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......

Angalia wapitayo.

1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.


2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.


3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?


4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.


5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa


6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.


7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.


8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.


9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!


10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..



After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"

Achana nayo kama huielewi.

Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.

Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO

""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""

#YNWA
Bro unanifurahisha na ule usemi wako pendwa "NILIWAMBIA MSIOE", afu ukiunganisha na kisa cha mdau.
 
Back
Top Bottom