Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Legendary kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiifikiria sana ndoa ni upumbavu mtupu. Na ndio hasa inasababisha watu wanakufa mapemaTukae singo tu au vp
Koma mtoto wa dada. Tena koma na maneno yako uyafute.Ukiifikiria sana ndoa ni upumbavu mtupu. Na ndio hasa inasababisha watu wanakufa mapema
Koma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?Koma mtoto wa dada. Tena koma na maneno yako uyafute.
Ukiwa haujaelewa umuhimu wa jambo hailifanyi hilo jambo kuwa si la muhimu.
Hapo wewe unaishi mwenyewe, haufanyi mapenzi, hauna company ya jinsia ya tofauti?!
Sasa kufanya mapenzi ni tendo la nini hebu tuelezee mtoto wa dada, Koma na kwambia koma mtoto wa dada.Koma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?
Unadhani pesa pekee ndiyo itakufanya ufurahi mwanangu. Furaha ni matokeo ya vitu vingi ikiwamo fedha. Mbona nchi kama Nepal tena maskini ina watu wenye furaha kuliko Marekani kama fedha ndiyo furaha?Wajumbe igweee.....
Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.
Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.
Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.
Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.
Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......
Angalia wapitayo.
1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.
2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.
3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?
4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.
5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa
6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.
7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.
8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.
9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!
10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..
After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"
Achana nayo kama huielewi.
Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.
Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO
""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""
#YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakya Mungu umenichekesha sana binti yanguKoma mwenyewe ndugu. Tofautisha kati ya ndoa na kufanya mapenzi. Kwani umeambiwa wasio na ndoa hawafanyi mapenzi?
Narudia tena ndoa ni upuuzi uliopitiliza. Tumejiwekea jela sisi wenyewe.Sasa kufanya mapenzi ni tendo la nini hebu tuelezee mtoto wa dada, Koma na kwambia koma mtoto wa dada.
Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakya Mungu umenichekesha sana binti yangu
Mbona yangu ina miaka mingi na bado tunadunda mwanangu, unamaanisha nini unaposema vifo vya mapema?Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema
Hata yangu ina miaka mingi na bado tunadunda hivyo hivyo.Mbona yangu ina miaka mingi na bado tunadunda mwanangu, unamaanisha nini unaposema vifo vya mapema?
Kwangu ndoa ndiyo mponyaji kwani ndiko napata faraja na ushauriHata yangu ina miaka mingi na bado tunadunda hivyo hivyo.
Magonjwa mengi huletwa na stress za ndoa. Pia mauaji
Safi sana kaka. Wengine wanateseka.Kwangu ndoa ndiyo mponyaji kwani ndiko napata faraja na ushauri
nimekuelewa ila ulipokazania tafuta hela tafuta hela nikakuona pimbi
Unadhani pesa pekee ndiyo itakufanya ufurahi mwanangu. Furaha ni matokeo ya vitu vingi ikiwamo fedha. Mbona nchi kama Nepal tena maskini ina watu wenye furaha kuliko Marekani kama fedha ndiyo furaha?
Narudia tena ndoa ni upuuzi uliopitiliza. Tumejiwekea jela sisi wenyewe.
Anatuzingua huyu. Ndoa haitekelezeki hasa hizi zetu za kiafrika. Na ndo inasababisha vifo vya mapema
Ni haraka za kuokoa WANAUME WENZANGU wasikubali kuingia kwenye STRESS wakafa mapema.Dah we jamaa ndoa zilikufanya nn mbn unakomaa nazo ivo[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah sema kweli kaka wanaume wanateseka sana kwenye ndoa asee haswa mambo yakienda vibaya kupewa, na wake za watu mtaani wanaliwa sana aseeNi haraka za kuokoa WANAUME WENZANGU wasikubali kuingia kwenye STRESS wakafa mapema.
#YNWA
Nishakunywa Chupa mbili ukuje fasta ulipeAsante sana madam.
Kwahili your THY MADAM.
Sio THE ni THY.
🤘🤘🤘🤘🤘
Chukua SANTI ANNA HAPO NITALIPA.
#YNWA
Bro unanifurahisha na ule usemi wako pendwa "NILIWAMBIA MSIOE", afu ukiunganisha na kisa cha mdau.Wajumbe igweee.....
Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka.
Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA.
Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA.
Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya tusijuane.
Ila si niliwaambia WASIOE?
Ila HAWAKUSIKIA.
Hebu angalia Hawa wajumbe wanavyoteseka ......
Angalia wapitayo.
1. Scenario 01
Baharia hebu tafuta hela upate amani.
Achana na kutafuta amani kwa binadamu mwenzako.
2. Scenario 02
Ya nini kumlazimisha Simba kula majani? ACHANA NAE.
3. Scenario 03.
Braza business is the separate legal individual..!!!
Mapenzi na Profit WAPI na WAPI?
4. Scenario 04.
Mkulungwa your so young.
Hebu ishi DUNIA inakusubiri.
5. Scenario 05.
My friend we tafuta hela uone kama yatakutesa
6. Scenario 06.
Mahawara hawaachanagi hata.
Tena huwa hawatongozi.
Just one call UTAMU WANAPEWA bila ahizi.
Komaa na kutafuta pesa ndugu.
7. Scenario 07
Baharia yotee haya ya nini?
Just tumia hiyo akili yotee kutafutia pesa badala ya kumuwinda.
8. Scenario 08
The point is have money yaani more money.
You did it, Ndoa piga chini.
9. Scenario 09.
Dah tumepoteza baharia kisa ndoa..!!
10. Scenario 10
Hawa ndio mnao waoa..
MungU awe nanyi..
After all tuliagizwa "ZAENI MUONGEZEKE" na sio "ISHINI MTESEKE"
Achana nayo kama huielewi.
Kwanini unang'ang'ania kinachokuumiza.
Ndoa NGUMU
Ndoa NDOANO
""If you think money does not bring happiness, then go and ask HOMELESS and the JOBLESS""
#YNWA