Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
HahahaMr mabangi Maghayo Jamaa kasha timkaa hukoo🤒
Naona ni Baada ya kushinda kubeba ubingwa Mara ya 8 mfululizoHahaha
Hapo kwakweli Ferari wamefanya fujo ili kuvunja utawala wa BenzDeadline day shorking transfer
Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari maarufu kama langalanga( Formula one)lewis Hamilton anajiunga na team ya Ferrari kutoka Marcedes[emoji28]
Hii habari kiukweli imenishtua maana sikutegemea kama ingetokea maana hizi team mbili kwenye .mashindano hayo(Ferrari na Marcedes) ni mahasimu sana kama ilivyokuwa man UTD na Liverpool kwenye football unexpected
Anyway all the best, I mean no malice to nobody [emoji855]
View attachment 2891693
Na wasaidizi wake walianza kutimuka mmoja mmoja hasa alianza yule Mwanamke.Naona ni Baada ya kushinda kubeba ubingwa Mara ya 8 mfululizo
Halafu pia naona ali chukizwa na kuukosa ubingwa was Mara ya 8.Hapo kwakweli Ferari wamefanya fujo ili kuvunja utawala wa Benz
Sent from my SM-N960W using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone, huenda ikawa challenge kwa max verstapenNa wasaidizi wake walianza kutimuka mmoja mmoja hasa alianza yule Mwanamke.
Sent from my SM-N960W using JamiiForums mobile app
Mbona husemi yanga na simba?Deadline day shoking transfer
Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari maarufu kama langalanga( Formula one)lewis Hamilton anajiunga na team ya Ferrari kutoka Marcedes😅
Hii habari kiukweli imenishtua maana sikutegemea kama ingetokea maana hizi team mbili kwenye .mashindano hayo(Ferrari na Marcedes) ni mahasimu sana kama ilivyokuwa man UTD na Liverpool kwenye football unexpected
Anyway all the best, I mean no malice to nobody 🤒
View attachment 2891693
Wana husika vipi hapa??Mbona husemi yanga na simba?
Formula 1 Inge kosa balance bhana😄, yaani wakali wote team 1 ??Mmmmmm mimi ni stability sana wa Red Team, ni furaha kwangu ila nilitegemea Lewis angeenda Red Bull na kujenga dream team na Max
Ngoja tuone kita tokea nini??, Au ndo max ata endeleza ukali wake!!Karibu timu Ferrari, muda mrefu tulikuwa wanyonge...
Boss mtoto upoFormula 1 Inge kosa balance bhana😄, yaani wakali wote team 1 ??
Oya mi jobless pro max, naona Ume rejea mdogo etu😄🤔Boss mtoto upo
Bado Mzee nimechungulia tu leoOya mi jobless pro max, naona Ume rejea mdogo etu😄🤔
Ngoja tuone kita tokea nini??, Au ndo max ata endeleza ukali wake!!