LHRC yamtaka Rais Samia akemee tukio la mwanamke kubakwa

LHRC yamtaka Rais Samia akemee tukio la mwanamke kubakwa

Taarifa za awali zinasema video zote tatu mama yetu amefanikiwa kuziona, na wahusika wote watano wanafahamika.
Sasa sisi kama jamii, tuanze kufanya haya.
1. Majina ya watuhumiwa wote yawekwe hadharani.
2. Picha za wahusika wote watano ziwekwe hadharani.
3. Vyeo vyao, vituo vyao vya kazi na taasisi/vitengo vyao wanavyofanyia kazi viwekwe wazi.
4. Wakuu wao wa kazi, kuanzia wa ngazi ya chini, waziri mpaka Rais tuanze kuwashupalia mitandaoni kwa kuweka hashtag, picha na kuambatanisha taarifa zenye kuwahusisha na tukio hilo zima kwa kushindwa kuchukua hatua mpaka sasa.

Kazi ianze sasa, hakuna kusubiri.
Sisi ni jeshi kubwa, mitandao ndio silaha yetu.
 
Taasisi ya hovyo sana hii, Peter Madeleka anajitoa kwa gharama zake kwa victim wanahitaji msaada wa sheria kuliko hawa wapuuzi.

Hawana msaada wowote kwa jamii zaidi ya ushambenga wa kisiasa tu.

God bless Madeleka
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa tamko kali dhidi ya kitendo cha kikatili cha unyanyasaji wa kijinsia (kubakwa na kulawitiwa) kilichoripotiwa kumuhusu Msichana mmoja kutoka Dar es Salaam, Wilaya ya Temeke, Kata ya Makangarawe, Mitaa ya Msakala na Dovya, karibu na Shule ya Msingi Yombo Dovya ambapo kimemomba Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kama Mama na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi kutoka hadharani na kuonesha kuchukizwa na jambo hilo.

Akiongea Jijini Dar es salaam leo August 05,2024, Mkurugenzi Mtendaji, Dkt. Anna Henga “Msichana huyu amebakwa na kulawitiwa na Vijana watano waliodai kuwa ni Askari wa moja ya vikosi vya ulinzi Tanzania, kama wanavyojieleza katika video hizo tatu tofauti, Askari hao walimrekodi wakiwa wanamfanyia vitendo hivyo vya kikatili na kusambaza video hizo mitandaoni kwa maagizo ya kiongozi wao (Afande) ambaye aliwatuma kumpatia adhabu”

“Kwa mujibu wa maelezo ya Askari hao, kosa la Msichana huyu ni kutembea na Mume wa bosi wao (Afande), LHRC kama sehemu ya Jamii ya Watanzania tumehuzunishwa na ukatili huu
tunataka Wahusika wote watano na aliyewatuma kulingana na maelezo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya mkono wa sheria, Jeshi letu la Tanzania ni Jeshi lenye heshima Afrika na duniani lihakikishe linajitenga na kashfa hii ya ubakaji wa Raia wake ambao lina jukumu la kuwalinda (kama kweli Wahusika ni Wanajeshi)”

“Tunapenda pia kutoa pongezi kwa Boniface Jacob, aliyekuwa Meya wa Ubungo, Dar es Salaam, kwa kutoa taarifa hizi, tunapongeza Jeshi la Polisi na Waziri Dorothy Gwajima kwa hatua za awali walizochukua, tunakemea vikali Wahusika wa kitendo hiki na tunawaasa Wananchi kuacha kusambaza video hizo kwenye mitandao ya kijamii ili kumlinda Msichana huyo”

PIA SOMA
- LHRC walaani vikali tukio unyanyasaji wa kijinsia linalodaiwa kutokea Temeke
ni muhimu sana kuwepo na ustahimilivu na subra wakati mamlaka husika zikiendelea kuchukua hatua muhimu za za kinidhamu na kisheria...

kama jamii,
hatunabudi kushirikiana na mamlaka husika kutoa taarifa au kufichua uovu wa aina hii bila kusubiri video, huruma au shinikizo kutoka kwenye mitandaoni ya kijamii, huenda yapo mengi ambayo hayapo kwenye video mitandaoni...

ni muhimu mkuu wa nchi akaachwa afanye majukumu mwingine ya kitaifa kwa maslahi mapana ya Taifa, ila akipata fursa, na kuona kama ni muafaka inafaa kulisemea hili basi afanye hivyo....

aidha namtakia kila la kheri, Rais na kipenzi cha waTanzania, Dr.Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoongoza nchi 🐒
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa tamko kali dhidi ya kitendo cha kikatili cha unyanyasaji wa kijinsia (kubakwa na kulawitiwa) kilichoripotiwa kumuhusu Msichana mmoja kutoka Dar es Salaam, Wilaya ya Temeke, Kata ya Makangarawe, Mitaa ya Msakala na Dovya, karibu na Shule ya Msingi Yombo Dovya ambapo kimemomba Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kama Mama na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi kutoka hadharani na kuonesha kuchukizwa na jambo hilo.

Akiongea Jijini Dar es salaam leo August 05,2024, Mkurugenzi Mtendaji, Dkt. Anna Henga “Msichana huyu amebakwa na kulawitiwa na Vijana watano waliodai kuwa ni Askari wa moja ya vikosi vya ulinzi Tanzania, kama wanavyojieleza katika video hizo tatu tofauti, Askari hao walimrekodi wakiwa wanamfanyia vitendo hivyo vya kikatili na kusambaza video hizo mitandaoni kwa maagizo ya kiongozi wao (Afande) ambaye aliwatuma kumpatia adhabu”

“Kwa mujibu wa maelezo ya Askari hao, kosa la Msichana huyu ni kutembea na Mume wa bosi wao (Afande), LHRC kama sehemu ya Jamii ya Watanzania tumehuzunishwa na ukatili huu
tunataka Wahusika wote watano na aliyewatuma kulingana na maelezo wanakamatwa na kufikishwa mbele ya mkono wa sheria, Jeshi letu la Tanzania ni Jeshi lenye heshima Afrika na duniani lihakikishe linajitenga na kashfa hii ya ubakaji wa Raia wake ambao lina jukumu la kuwalinda (kama kweli Wahusika ni Wanajeshi)”

“Tunapenda pia kutoa pongezi kwa Boniface Jacob, aliyekuwa Meya wa Ubungo, Dar es Salaam, kwa kutoa taarifa hizi, tunapongeza Jeshi la Polisi na Waziri Dorothy Gwajima kwa hatua za awali walizochukua, tunakemea vikali Wahusika wa kitendo hiki na tunawaasa Wananchi kuacha kusambaza video hizo kwenye mitandao ya kijamii ili kumlinda Msichana huyo”

PIA SOMA
- LHRC walaani vikali tukio unyanyasaji wa kijinsia linalodaiwa kutokea Temeke
Atasema hizo drama tu
 
Bile ile video saivi wangekua wanakula bia bila wasiwasi, bila shaka dem asingeshtaki popote akafanikiwa.
Hiyo video yenyewe sidhani kama ni mpya. Rafiki yangu alishawahi nitumia kama miezi mitatu nyuma (nina uhakika ni hii hii).

Na nilishawahi kuandika post humu kuna video nimetumiwa very disturbing ya binti anabakwa na jamaa anajitapa je jeshi la polisi alijaona hiyo clip. Nilijua imesambaa tayari.

Iko na nyingine jamaa alinitumia Iła sidhani kama bongo, ikabidi nimkanye awe ananitumia connections za mastaa tu sio hizo za kubaka watu.

Kuna video za hovyo Tanzania; unajua kuna nyumba Dar watu wanaenda humo wanafanya wife swap na group sex sebuleni (kama vile unaangalia ‘play boy’ swingers) jamaa yangu zote anazo hata sijui uwa anazitoa wapi.
 
Wale wanakesi mbili ya ulawiti na ubakaji na zote zitawatia hatiani. Moja ina adhabu ya miaka 30 jela na nyingine ni kifungo cha maisha jela.
Na adhabu vifungo haviambatani yaani maliza adhabu hii ikiisha anza nyingine na mbaya zaidi hata wakikata rufaa hawatoboi.

Yote kwa yote maamuzi ya Nyampara yaheshimiwe.
 
Hiyo video yenyewe sidhani kama ni mpya. Rafiki yangu alishawahi nitumia kama miezi mitatu nyuma (nina uhakika ni hii hii).

Na nilishawahi kuandika post humu kuna video nimetumiwa very disturbing ya binti anabakwa na jamaa anakitaka jeshi la polisi alijaona nilijua imesambaa tayari.

Iko na nyingine jamaa alinitumia Iła sidhani kama bongo, ikabidi nimkanye anitumie connections za mastaa tu sio hizo za kubaka watu.

Kuna video za hovyo Tanzania; unajua kuna nyumba Dar watu wanaenda humo wanafanya wife swap na group sex sebuleni jamaa yangu zote anazo hata sijui uwa anazitoa wapi.
Groups za huo utumbo wote zipo telegram, kama ni mdau wa hizo mbanga ni rahisi tu kuzipata.

Kuna clubs wanachapana miti huku wapuuzi wanarekodi nazo zinasambazwa hivyo tu.

Kuna nyingine dem anapigwa pipe na njemba nyingi anaingizwa hadi chupa kutanua njia, nadhani hii ndo imeenda viral ila zipo nyingi wanawake wanafanyiwa ukatili.
 
Groups za huo utumbo wote zipo telegram, kama ni mdau wa hizo mbanga ni rahisi tu kuzipata.

Kuna clubs wanachapana miti huku wapuuzi wanarekodi nazo zinasambazwa hivyo tu.

Kuna nyingine dem anapigwa pipe na njemba nyingi anaingizwa hadi chupa kutanua njia, nadhani hii ndo imeenda viral ila zipo nyingi wanawake wanafanyiwa ukatili.
Ye huo ndio ugonjwa wake pia rafiki yangu anaga story nyingine. Mtu mwenyewe ni rafiki yangu wa utotoni tunaweza tusiongee miezi ata sita anaishi mji mwingine. Tukitafutana ni mwendo wa video hizo mpaka unachoka mambo yake.
 
kwa vile aliefanyiwa tukio ni mwanamke kila mtu anajifanya ana huruma, kuna wanaume wengi ni wahanga wa matukio kama hayo kwa kesi inayofanana na hiyo. hao hao wanaoleta huruma kwa huyo binti ndio huwa wanafurahia linapokuwa kwa mwanamme.

TUKEMEENI UOVU NA USHENZI KWA KILA MTU NA ISIWE KWA MWANAMKE TU.
 
Sasa ndugu yanguJW itoe tamko kabla ya wahusika kukamatwa na kuthibitisha kuwa kweli ni askari wa JWTZ? Tuwe tunafikiri logically kwanza kabla ya kuongea. We ngoja watiwe nguvuni kwanza, watambulike then mengine yatafuata. JW linaongozwa na NIDHAMU na kulinda kiapo lazima litachukua hatua against ujinga ule ikiwezekana hata kuombewa kibali na kuwafuta kazi kuipa mahakama nafasi kudeal na hiyo jinai

Wahusika mpaka wakamatwe ndiyo JW itoe tamko? kwani JW haiwajui kwamba ni watumishi wake? TPDF inakosa uwajibikaji kwa kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom