Mitandao hiyo unayoita anasa wengine imetusaidia kujenga nyumba, kusafiri dunia, kuajiri watu zaidi ya 10 ambao na wao wana familia zina wategemea.Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi.
Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali
Bora ungekaa kimyaMtandao ni anasa,,, watu mfanye kazi.
Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali
Juzi niliwapigia simu tigo kuwahoji,hata wao hawana majibu.Hao ni kuwaonea tu mkuu. Mwenye lake jambo yuko Dodoma.
Wewe unahisi hiyo simu yako unavyopokea na kutuma tu sms ndio unaona umuhimu siyo.Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi.
Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali
Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Upumbavu ni mzigo sana unaongea huu umaqu ikiwa unatumia mtandaoMtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Wewe unahisi hiyo simu yako unavyopokea na kutuma tu sms ndio unaona umuhimu siyo.
Wengine ili tuweze kuishi na kufanya kazi tunawategemea waliopo mitandaoni, au hujawahi sikia online business?
Naomba JF Moderator kabla ya kuruhusu matumizi ya anayetaka kujiunga humu, muweke questionnaires ili akishindwa abakie huko
Majibu wanayosema wanamuogopa malaika wa kijaniJuzi niliwapigia simu tigo kuwahoji,hata wao hawana majibu.
Hii mbwa ya wapi hiiMtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
kimbuluMtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Hawa wanaharakati ni wanafiki sana.Sikujua kama kupata internet au kutokupata ni ,,haki za Binadamu'' hii ni mpya kwangu, cha ajabu watu wengi maji hayatoki bombani lkn hawatetewi, ...