Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada kama hujui, kila kwenye tatizo kuna Opportunity. Sasa wewe endelea tu kufikiri kwa kutumia matako!Wewe bora baba yako angepewa bandjob tu mama yako, angekua amepunguza mjinga mmoja kwenye taifa
Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Acha ujinga,anasa zilikuwepo tangu enzi za kristo,kulikuwa hakuna mitandao ya kijamii,Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
...Upo Karne ya 21 Mkuu, ama upo na Wenzako ndio mnajiandaa kwenda Kupigana Vita ya MajiMaji???[emoji16][emoji16]Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Kuna watu wengi Tanzania hawana maji na umeme maisha yao yote na siyo siku sita, ...
We chizi kweli, machafuko anayeyaanzisha nani? Waq ka wewe ndiyo sababu Tanzania ipo hapo hadi sa hivi linchi ovyo tu ka chookatika Kila Biashara huwa inatakiwa KULIPA kodi.. wewe ukiwa Unafanya Biashara huko Online Unalipa Kodi??
hilo Moja
Kama nchi ikiingia ktk Machafuko Je... Utaweza Kuendelea Kufanya Hiyo Biashara yako huko Online????????
tumia Akili.. Usiwe Fala
mkuu unafahamu kama mark zurkeberg ni billionaire sababu ya mtandao?Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Anasa ni. Kwako sisi wengine ni Ajira inatuingizia pesaMtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Naunga mkono hoja wengine ilitakiwa wabaki Facebook tu, maana sioni kama wanastahili kuitwa magreat thinker.Wewe unahisi hiyo simu yako unavyopokea na kutuma tu sms ndio unaona umuhimu siyo.
Wengine ili tuweze kuishi na kufanya kazi tunawategemea waliopo mitandaoni, au hujawahi sikia online business?
Naomba JF Moderator kabla ya kuruhusu matumizi ya anayetaka kujiunga humu, muweke questionnaires ili akishindwa abakie huko
Hata sisi wazee wa kuopoa milupo telegram tumepata wakatu mgumu( jokes)Kelele zote hizo kushindwa kuingia telegram kucheki mipicha ya ngono.
Hata sisi wazee wa kuopoa milupo telegram tumepata wakatu mgumu( jokes)Kelele zote hizo kushindwa kuingia telegram kucheki mipicha ya ngono.
Kama humlipii MB inakuuma nini [emoji23][emoji23][emoji23]Kelele zote hizo kushindwa kuingia telegram kucheki mipicha ya ngono.
Unajuwa unachokiongea?? Mails za watu hazijakwenda zilikokusudiwa... VICOBA wamekwamishwa etcMtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.