Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unalipa bili ndo unafanya matumizi au unafanya matumizi ndo unalipia bili? Nafikiri ushaona utofauti hapoKwani umeme au maji huwa hayakatiki Tanzania pamoja na kuwa watu wamelipia bili?
Ushawaza maji na umeme vikikosekana nchi nzima masaa 24 kwa siku sita itakuwaje?Sasa kwa nini ,,wapigania haki za binadamu '' hawatoi tamko na kuitaka Serikali kujieleza kwa nini watu wanakosa maji na umeme kama internet?
Ushawaza maji na umeme vikikosekana nchi nzima masaa 24 kwa siku sita itakuwaje?
We unafikiri kwanini hawana?Kuna watu wengi Tanzania hawana maji na umeme maisha yao yote na siyo siku sita, ...
We unafikiri kwanini hawana?
Na ndo wameanza na hilo la internetHilo swali labda ungewauliza wapigania ,,human rights Tanzania“, ...
Na ndo wameanza na hilo la internet
Embu jaribu hata ku Google basi mahitaji ya mwanadamu yanazidi kuongezeka kulingana na wakati. Unavyosema UN haijafikia huko inadhihirisha ni jinsi gani ulivyo mvivu kutafiti pitia hii resolution kwanza ndo uje tujadili A/HRC/32/L.20.Ok basi watakuwa a head sana kwa maana mpaka leo hii hakuna nchi Duniani iliyosema kwamba Internet ni human right, hata UN yenyewe haijafikia huko bado, bado wanahangaika na maji, chakula, elimu, afya, n.k. , ...
Embu jaribu hata ku Google basi mahitaji ya mwanadamu yanazidi kuongezeka kulingana na wakati. Unavyosema UN haijafikia huko inadhihirisha ni jinsi gani ulivyo mvivu kutafiti pitia hii resolution kwanza ndo uje tujadili A/HRC/32/L.20.
Naona unanichosha tu mkuu basi hakuna umeridhika?Ni wapi UN na lini ilisemwa internet ni human right?
Hebu zima na uninstall VPN then rudi hapa ucomment!Kelele zote hizo kushindwa kuingia telegram kucheki mipicha ya ngono.
Naona unanichosha tu mkuu basi hakuna umeridhika?
Ingekuwa ni mtu unayetaka kueleweshwa na kuelewa basi ningekuekea ila unaonekana unataka kuleta ubishi hivyo siwezi kupoteza mda na energy.Weka link hapa ni wapi UN imesema internet ni human right? Acha blah blah, ...
Weka link hapa ni wapi UN imesema internet ni human right? Acha blah blah, ...
Wewe bora baba yako angepewa bandjob tu mama yako, angekua amepunguza mjinga mmoja kwenye taifaKama kukatika kwa umeme na maji kunavyotoa opportunity kwa wengine, in sawa na kutokupatikana kwa Network
Angalia huyu pimbi, halafu lenyewe liko mtandaoni linakomenti. Sijui kwa nini baadhi ya Wachaga wamekula mburula namna hii.Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Ingekuwa ni mtu unayetaka kueleweshwa na kuelewa basi ningekuekea ila unaonekana unataka kuleta ubishi hivyo siwezi kupoteza mda na energy.
katika Kila Biashara huwa inatakiwa KULIPA kodi.. wewe ukiwa Unafanya Biashara huko Online Unalipa Kodi??Washenzi sana, kuna watu tuna maduka ya kuuza vitu instagram tulikua tunalaza more than 2mil kila siku, kodi tunalipa alafu bado ujinga kama huu wanatufanyia. Kama insta biashara imepungua kwa 80% ndani ya hizi siku chache wanaoweza tumia VPN ni wachache mno.