Father of Chemistry
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 401
- 1,282
SahihiMwaka gani mkuu? Hakuna point 7 wala 8 MUHAS MD, labda kozi nyingine.
Na wameliweka wazi kwamba kigezo cha kwanza kuchaguliwa ni ubora wa matokeo yako na si vinginevyo.
Haiwezekani mwenye point 7 akapata na 6 akakosa