Father of Chemistry
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 401
- 1,282
SahihiMwaka gani mkuu? Hakuna point 7 wala 8 MUHAS MD, labda kozi nyingine.
Na wameliweka wazi kwamba kigezo cha kwanza kuchaguliwa ni ubora wa matokeo yako na si vinginevyo.
Haiwezekani mwenye point 7 akapata na 6 akakosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa mitihani ya siku hizi,hiyo inafikiwa na wengi,mitihani yenyewe inatungwa ya kawaida sana.ingekuwa ndo miaka ya nyuma huko hapo tungekosa madaktari na chemistry related fani.ukitaka kuhakiki ninalosema,chukua paper yeyote ya miaka ya 2000yr kurudi nyuma,au 2010 kurudi nyuma,i we chemistry au somo lolote mpe kijana wa Sasa aione,atakwambia hiz paper walirungiwa degree holder au Alevel!?
Na ndio mie najua kwa MD muhas mwsho 6.Mwaka gani mkuu? Hakuna point 7 wala 8 MUHAS MD, labda kozi nyingine.
Na wameliweka wazi kwamba kigezo cha kwanza kuchaguliwa ni ubora wa matokeo yako na si vinginevyo.
Haiwezekani mwenye point 7 akapata na 6 akakosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.Shule ni Nyepesi Siku hizi....Watu wanapiga A tatu......Enzi hizo bwana Unasikia Tanzania nzima hakuna A kuna B mbili tu Tanzania nzima waliobaki makalai na D......Sijui nini Kimetokea. Mitoto imekuwa na akili sana au...
Miaka ya Nyuma nyenzo za kujifunzia zilikuwa ngumu, lakini Leo watu wanajifunza vitu vingi duniani bila vizingiti, Baadhi ya Shule za Private wanafunzi wanasoma moja kwa moja na Profesa wa ulaya na wanauliza maswali live sababu ya Teknolojia kukua, kwa hiyo miaka ya nyuma ni tofauti na sasa,Miaka ya zamani PCB ya 70s, 80s, 90s mambo ya A na B hayakuwepo kwa wingi kama leo kwenye PCB /PCM.
Nakubaliana na wewe kuna standardization zikilenga kuzibeba shule za kata maana kusema kweli hiizi shule ni "dhaifu" na si kosa la watoto bali mazingira ya kusoma na kufundishia
Shule ni Nyepesi Siku hizi....Watu wanapiga A tatu......Enzi hizo bwana Unasikia Tanzania nzima hakuna A kuna B mbili tu Tanzania nzima waliobaki makalai na D......Sijui nini Kimetokea. Mitoto imekuwa na akili sana au...