Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Serikali ya #Liberia imeiomba Oman kusitisha mara moja utoaji wa viza kwa raia wake kwa ajili ya ajira za nyumbani baada ya kundi la wanawake ambao tayari wako nchini humo kutuma picha zilizoashiria aina tofauti za unyanyasaji ikiwemo kubakwa na kufanyiwa ukatili na waajiri wao
Afisa wa Serikali ya #Oman amesema ombi la kusitisha utoaji wa viza litazingatiwa lakini akasisitiza kuwa Serikali ya Liberia haipaswi kuchukua kila kitu kwenye vyombo vya habari kuwa ukweli
Aidha, katika miaka ya karibuni kumekuwa na ripoti za Watanzania wanaofanya kazi nchini humo kupitia aina mbalimbali za unyanyasaji ikiwemo wa kingono na kutolipwa mishahara na waajiri wao
...................................................
The Liberian government has requested authorities in the Arabian country of Oman to immediately halt the issuance of visas to Liberians seeking to travel to the country for domestic employment.
The request comes after a group of women already in the country posted graphic images of sexual abuse and other forms of mistreatment they said they were going through in the hands of their so-called masters.
In a virtual meeting, Liberia’s Labour Minister Charles Gibson differed with officials of Oman’s Global Affairs department who had described some of the reports by the Liberians as unsubstantiated media claims.
“We are not listening to media reports,” Mr Gibson said. “We are receiving WhatsApp messages, videos from those girls themselves, showing us graphically how they are being mistreated; some of them were even put into solitary confinement by their hosts.”
He said some of the women were being raped and others brutalised which "is very much unacceptable”.
An Omani government official has said the request to halt visa issuance will be considered but insisted the Liberian government should not take everything in the media to be the truth.
Source: BBC
Afisa wa Serikali ya #Oman amesema ombi la kusitisha utoaji wa viza litazingatiwa lakini akasisitiza kuwa Serikali ya Liberia haipaswi kuchukua kila kitu kwenye vyombo vya habari kuwa ukweli
Aidha, katika miaka ya karibuni kumekuwa na ripoti za Watanzania wanaofanya kazi nchini humo kupitia aina mbalimbali za unyanyasaji ikiwemo wa kingono na kutolipwa mishahara na waajiri wao
...................................................
The Liberian government has requested authorities in the Arabian country of Oman to immediately halt the issuance of visas to Liberians seeking to travel to the country for domestic employment.
The request comes after a group of women already in the country posted graphic images of sexual abuse and other forms of mistreatment they said they were going through in the hands of their so-called masters.
In a virtual meeting, Liberia’s Labour Minister Charles Gibson differed with officials of Oman’s Global Affairs department who had described some of the reports by the Liberians as unsubstantiated media claims.
“We are not listening to media reports,” Mr Gibson said. “We are receiving WhatsApp messages, videos from those girls themselves, showing us graphically how they are being mistreated; some of them were even put into solitary confinement by their hosts.”
He said some of the women were being raped and others brutalised which "is very much unacceptable”.
An Omani government official has said the request to halt visa issuance will be considered but insisted the Liberian government should not take everything in the media to be the truth.
Source: BBC