Library au huduma za kipesa kama Tigo Pesa

Library au huduma za kipesa kama Tigo Pesa

Sijakupata, kwamba biashara hiyo ni halali kinyume na nilivyosema au una maanisha si halali?
Tusipinde kona.

Siyo halali.

Ila Bongo Movies wakaivalia njuga kwa kudai wao wanakosa soko.

Now nataka uniambie kama Season ambayo umewahi kuiangalia uliilipia, au muziki uliowahi kudownload mtandaoni.

So hoja ulizozisema, alizisema Nape, akazisema Siro na Makonda, ila haikua kwavile biashara siyo halali ila ni kwakua Bongo Muvi wanasema soko lao linabanwa.

Hichi kipindi ndiyo Ray na JB walizunguka sana katika ziara za Magufuli. So hoja ni legit ila zinatumika kupambana kwa manufaa ya bongo movie siyo manufaa ya wenye hizo muvi au miziki.
 
Tusipinde kona.

Siyo halali.

Ila Bongo Movies wakaivalia njuga kwa kudai wao wanakosa soko.

Now nataka uniambie kama Season ambayo umewahi kuiangalia uliilipia, au muziki uliowahi kudownload mtandaoni.

So hoja ulizozisema, alizisema Nape, akazisema Siro na Makonda, ila haikua kwavile biashara siyo halali ila ni kwakua Bongo Muvi wanasema soko lao linabanwa.

Hichi kipindi ndiyo Ray na JB walizunguka sana katika ziara za Magufuli. So hoja ni legit ila zinatumika kupambana kwa manufaa ya bongo movie siyo manufaa ya wenye hizo muvi au miziki.

Ooh. Mekusoma vyema. Kaazi kweli kweli.
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi nina goli la huduma za kipesa kama M-Pesa, Tigo na Airtel Money. Hapo awali nilikuwa kwa mwezi naingiza sio chini ya laki 5 ila kwa sasa biashara sio nzuri nimeshuka hadi laki 4 mpaka 380.

Na yote hii imechangiwa na kuongezeka kwa watoa huduma kama yangu hapa jirani maana kwa haraka haraka nimepata majirani sio chini ya watano ndani ya muda mfupi.

Sasa ninachokiona kwa kipato hiki nisipojiongeza nitachelewa sana kufikia malengo yangu.

Kwa hiyo sasa najiuliza nifungue goli jingine kama hili au nifungue library (kuuza CD na kuingiza nyimbo na movie kwenye flash).

Hii biashara sina uzoefu nayo na wala sina mtu ninayemfahamu anafanya hii biashara zaidi huwa nawaonaga tu.

Mtaji wangu nilionao wa kuanzia ni shilingi Milion 1 ila uwezekano wakuongeza japo kidogo upo.

Ninaomba wenye uzoefu wa hii biashara ya library watiririke ili nipime kati ya hii nayoifanya maana hii nayoifanya nina uzoefu nayo kwa asilimia kubwa maana ndio biashara yangu ya kwanza katika maisha yangu.

Karibuni




Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe tupe changamoto na faida za hiyo kazi yako ili tunaotaka kuja huko tujifunze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi nina goli la huduma za kipesa kama M-Pesa, Tigo na Airtel Money. Hapo awali nilikuwa kwa mwezi naingiza sio chini ya laki 5 ila kwa sasa biashara sio nzuri nimeshuka hadi laki 4 mpaka 380.

Na yote hii imechangiwa na kuongezeka kwa watoa huduma kama yangu hapa jirani maana kwa haraka haraka nimepata majirani sio chini ya watano ndani ya muda mfupi.

Sasa ninachokiona kwa kipato hiki nisipojiongeza nitachelewa sana kufikia malengo yangu.

Kwa hiyo sasa najiuliza nifungue goli jingine kama hili au nifungue library (kuuza CD na kuingiza nyimbo na movie kwenye flash).

Hii biashara sina uzoefu nayo na wala sina mtu ninayemfahamu anafanya hii biashara zaidi huwa nawaonaga tu.

Mtaji wangu nilionao wa kuanzia ni shilingi Milion 1 ila uwezekano wakuongeza japo kidogo upo.

Ninaomba wenye uzoefu wa hii biashara ya library watiririke ili nipime kati ya hii nayoifanya maana hii nayoifanya nina uzoefu nayo kwa asilimia kubwa maana ndio biashara yangu ya kwanza katika maisha yangu.

Karibuni




Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe mrejesho mkuu ulifanya nini na unaendeleaje
 
Back
Top Bottom