The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Kwani kuna ubaya gani kukutana kama hivi na kuongea pamoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii itakuwa roho mbaya na ushetani usiovumilika.Kuna mtu atakuja akuulize, kwani kuna ubaya gani ikiwa mtu hataki kukutana nao kama hivyo?
Mimi nitamshangaa tu mtu wa namna hiyo...Kuna mtu atakuja akuulize, kwani kuna ubaya gani ikiwa mtu hataki kukutana nao kama hivyo?
Kuna ubaya gani??? Tunaulizana Leo?? Huyo muungwana baada ya kufanya hivyo si mlisema hafai ni dhaifu na kazi yake ana cheka cheka tu???