Libya: Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Benki Kuu atekwa, Benki yasitisha Huduma zote

Libya: Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Benki Kuu atekwa, Benki yasitisha Huduma zote

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Benki Kuu ya Libya imetangaza kusitisha shughuli zake hadi pale Afisa wake muhimu, Musab Msallem aliyetekwa nyara, atakaporejeshwa

Taarifa ya Benki hiyo imesema Msallem alichukuliwa kutoka nyumbani kwake na "kikundi kisichotambulika" na pia wafanyakazi wengine wa Benki hiyo wametishiwa kutekwa

Hii ni Wiki Moja tangu Benki Kuu hiyo kukumbwa na Mashambulizi kutoka kwa watu wenye silaha, kwa lengo la kumshinikiza Gavana wa benki hiyo, Seddik al-Kabir, kujiuzulu

Benki kuu ya Libya, ambayo ni huru lakini inamilikiwa na serikali ya Libya, ndiyo benki pekee inayotambulika kimataifa kwa kuhifadhi mapato ya mafuta ya Libya - chanzo muhimu cha mapato ya kiuchumi kwa nchi iliyokumbwa na migogoro kwa miaka mingi kati ya serikali mbili zinazopingana, moja ikiwa Tripoli na nyingine Benghazi

Akiwa ofisini tangu 2012, Gavana Kabir amekosolewa kutokana na usimamizi wa rasilimali za mafuta na bajeti ya serikali.

Tangu kuondolewa na kuuawa kwa kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi mwaka 2011, nchi hiyo imekumbwa na ukosefu wa usalama wa muda mrefu.

Nchi hiyo imegawanywa kutokana na mapambano ya madaraka na kwa sasa ina serikali mbili - moja inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa yenye makao yake Tripoli, na nyingine mashariki mwa nchi hiyo inayoungwa mkono na jenerali Khalifa Haftar

..............

Libya's central bank halts operations after director kidnapped

Libya's central bank has announced the suspension of all its operations after a senior employee was kidnapped in the capital Tripoli.

The bank denounced the abduction of its information technology director Musab Msallem in a statement on Sunday.

They said Mr Msallem was taken from his home by an "unidentified party" on Sunday morning and that other employees have been threatened with kidnapping.
The central bank says operations will not resume until Mr Msallem is released.

The central bank, which is independent but owned by the Libyan state, is the only internationally recognised depository for Libyan oil revenues - a vital economic income for a country torn for years between two rival governments in Tripoli and Benghazi.

It comes a week after the central bank suffered a siege by armed men, according to AFP news agency.
According to local media, cited by AFP, the armed men did so to force the resignation of the bank's governor Seddik al-Kabir.

In office since 2012, Mr Kabir has faced criticism over the management of oil resources and the state budget.

Since the ousting and killing of Libyan leader Muammar Gaddafi in 2011, the country has suffered from chronic insecurity.

The country has been divided by power struggles and currently has two governments - a UN-recognised one based in Tripoli, and another in the country's east backed by warlord Gen Khalifa Haftar.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom