Libya na Iraq kuna amani ya ajabu. Sasa ni maendeleo tu

Libya na Iraq kuna amani ya ajabu. Sasa ni maendeleo tu

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
1000133140.jpg
1000133138.jpg
1000133139.jpg


Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa.

Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya Yametulia na sasa ni mwendo wa Maendeleo

Iraq na Libya zimeanza kupaa Kiuchumi. Miundombinu inajengeka Sana.

Kweli Gaddafi na Saddam walichelewesha Sana Maendeleo. Sasahivi Iraq ingekuwa kama Dubai. Hata Iran ni hivyo hivyo. Utawala wa Iran unachelewesha Sana Maendeleo
 
View attachment 3162865View attachment 3162866View attachment 3162867

Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa.

Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya Yametulia na sasa ni mwendo wa Maendeleo

Iraq na Libya zimeanza kupaa Kiuchumi. Miundombinu inajengeka Sana.

Kweli Gaddafi na Saddam walichelewesha Sana Maendeleo. Sasahivi Iraq ingekuwa kama Dubai. Hata Iran ni hivyo hivyo. Utawala wa Iran unachelewesha Sana Maendeleo
Unaelewa ulichokiandika lakini....au umeamka asubuhi ukaona utupie chchte cha kuchafua Hali ya hewa.....kwhyo invasion iloyofanywa na NATO kwny hayo mataifa imesaidia kuweka serikali zinazoletq maendeleo kwa raia sio???....ndo unqchojaribu kutudanganya nacho hmu sio....ukishakuwa mlokole hata reasoning capacity nayo inapungua sana....na mfano mmojawapo ni huu hapa
 
Unaelewa ulichokiandika lakini....au umeamka asubuhi ukaona utupie chchte cha kuchafua Hali ya hewa.....kwhyo invasion iloyofanywa na NATO kwny hayo mataifa imesaidia kuweka serikali zinazoletq maendeleo kwa raia sio???....ndo unqchojaribu kutudanganya nacho hmu sio....ukishakuwa mlokole hata reasoning capacity nayo inapungua sana....na mfano mmojawapo ni huu hapa
Hujamuelewa mleta mada!
 
Babaako aliuza ng'ombe alafu akakupeleka ng'ombe wewe shule.

Libya na Iraq kuna amani? Mpaka muda marekani na washirika wake wananyonya mafuta ya Libya na Iraq kibabe huku wakiua raia hovyohovyo.
Hata ndege za Israel zilizofanya shambulizi kule Iran zilikatiza anga la Iraq bila kuomba kibali kutokana na usalama hafifu nchini Iraq.

Wananchi wa hayo mataifa wanakufa mamia baharini wakikimbia nchi zao zilizoharibiwa na mataifa ya NATO
 
Iraq kipindi cha Sadam ilikuwa ni moja wapo ya taifa lenye uchumi mkubwa na Imara hapo mashariki ya kati.
Libya chini ya Gadaffi ni moja wapo ya taifa ambalo raia wake walikuwa wanaishi maisha ya kiwango cha juu kuliko taifa lolote barani Africa.

Hapo hawafanyi maendeleo bali wanarudisha miundo mbinu iliyo haribiwa na uvamizi wa Marekani na vibaraka wake.
 
Babaako aliuza ng'ombe alafu akakupeleka ng'ombe wewe shule.

Libya na Iraq kuna amani? Mpaka muda marekani na washirika wake wananyonya mafuta ya Libya na Iraq kibabe huku wakiua raia hovyohovyo.
Hata ndege za Israel zilizofanya shambulizi kule Iran zilikatiza anga la Iraq bila kuomba kibali kutokana na usalama hafifu nchini Iraq.

Wananchi wa hayo mataifa wanakufa mamia baharini wakikimbia nchi zao zilizoharibiwa na mataifa ya NATO
Huyo mpumbavu sijui kaamka na bangi kichwani hajui kuwa Libya mpaka sasa Tripol ina tawala mbili na maeneo mengine ya nchi watu wamejimegea na kuweka tawala zao ikiwemo baadhi ya maeneo hasa yenye mafuta yapo chini ya Nato.
 
Ni jina lake la kale au ni wagiriki ndio waliita hivyo?
Duh wewe jamaa! Hoja yako ni; unajiita au unaitwa. Au, jina unajipa au unapewa na wengine.

Kwa kawaida majina ya eneo, nchi, na jamii yanaweza kutolewa wahusika wa eneo, nchi au jamii husika au yaweza kutolewa na wasiohusika. Litakalozoeleka zaidi na wengi ndio huwa jina rasmi kwa ngazi ya jamii husika.

Mfano, wajapan wanaita nchi yao Nippon but jina rasmi kimataifa ni Japan. Watanzania tunaitambua Portugal kama Ureno kwa ngazi ya kitanzania hilo ni jina rasmi la ile nchi ila kwa jamii ya kimataifa ni Portugal; etc. etc. etc.
 
View attachment 3162865View attachment 3162866View attachment 3162867

Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa.

Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya Yametulia na sasa ni mwendo wa Maendeleo

Iraq na Libya zimeanza kupaa Kiuchumi. Miundombinu inajengeka Sana.

Kweli Gaddafi na Saddam walichelewesha Sana Maendeleo. Sasahivi Iraq ingekuwa kama Dubai. Hata Iran ni hivyo hivyo. Utawala wa Iran unachelewesha Sana Maendeleo
We ni mpuuuzi na mtu wa havyo ....unasaidia kueneza propaganda kwa faida ya Nani.
Akati hao viongozi wapo kwani nchi ilikua haifanyi maendeleo?
Unachofanya ni kubariki ugaidi waliofanya wazungu kwenye izo nchi
 
V
View attachment 3162865View attachment 3162866View attachment 3162867

Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa.

Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya Yametulia na sasa ni mwendo wa Maendeleo

Iraq na Libya zimeanza kupaa Kiuchumi. Miundombinu inajengeka Sana.

Kweli Gaddafi na Saddam walichelewesha Sana Maendeleo. Sasahivi Iraq ingekuwa kama Dubai. Hata Iran ni hivyo hivyo. Utawala wa Iran unachelewesha Sana Maendeleo
Vipi Tanzani kwa mazezeta wajinga?
 
Duh wewe jamaa! Hoja yako ni; unajiita au unaitwa. Au, jina unajipa au unapewa na wengine.

Kwa kawaida majina ya eneo, nchi, na jamii yanaweza kutolewa wahusika wa eneo, nchi au jamii husika au yaweza kutolewa na wasiohusika. Litakalozoeleka zaidi na wengi ndio huwa jina rasmi kwa ngazi ya jamii husika.

Mfano, wajapan wanaita nchi yao Nippon but jina rasmi kimataifa ni Japan. Watanzania tunaitambua Portugal kama Ureno kwa ngazi ya kitanzania hilo ni jina rasmi la ile nchi ila kwa jamii ya kimataifa ni Portugal; etc. etc. etc.

Sasa Mesopotamia sio jina la Iraq, ni jina ambalo wagiriki ndio walikuwa wakiliita kisha wamagharibi wengine wakaliita hivyo.
 
Trump aliwahi kusema kuwa waarabu na WA Africa ni wajinga sana ukiwapa siraha wanauana wenyewe Kwa wenyewe

Uzuri wa Trump sio mnafiki ni msema kweli
Japokuwa Trump hakuwahi kusema hayo maneno. Lakini niambie ni jamii gani ya binadamu hawajawahi kupigana?

Ni nani ambao walianzisha vita Ulaya mpaka wakaziita za Dunia? Watu wa Ulaya mpaka miaka ya hivi karibuni walikuwa wanapigana vita zisizoeleweka. Wana mpaka vita literally wameziita "The Hundred Years' War", "The Thirty Years' War" kuna "Seven Years' War", Napoleonic Wars na kadhalika.

Wachina nao walikuwa na vita zao. Karne iliyopita tu kati ya mwaka 1911 mpaka 1979 walikuwa na mfululizo wa vita ima za wenyewe kwa wenyewe au na wengine. Vita kati yao na wajapan. Kushiriki kwao katika vita ya Korea (1950-1953). Vita kati yao na India. Vita kati yao na waSoviet. Vita kati yao na wavietnam kuanzia mwaka 1979...

Na kadhalika
 
Back
Top Bottom