Libya: Tume ya Uchaguzi yakataa maombi ya Urais ya Saif al-Islam Gaddafi

Libya: Tume ya Uchaguzi yakataa maombi ya Urais ya Saif al-Islam Gaddafi

Ni kweli kabisa inabidi kizazi chote cha gadafi kipigwe marufuku kujihusisha na siasa libya;

kwa sababu gaddafi alisomesha walibya wote na kuwatibu bule, gaddafi alitoa posho ya dolla Elfu 5, kwa kila mwanamke aliyekuwa mjamzito kwa ajili ya kujikimu, gaddafi ndiye aliekuwa anawalipa mshahala waitimu wote wa chuo kama waajiliwa wengine mpka pale serikali itakapo wapa ajila, ndiye huyu huyu gaddafi aliyekuwa anauza mikate 40 kwa dolla moja, ndiye huyu huyu gaddafi asiyetakiwa kizazi chake kutawala tena libya kwa maana libya ya sasa tangu marekani na magaidi wenzie wavamie imekuwa sehemu salama kama peponi, uchumi umekuwa watu wanaamani hakuna vita, watu wanakula raha tu,

Hawezi kurudi mfwasi wa mabeberu huyu let the caged bird sings
 
Unaweza kuwa right kwa hoja lakini haitakaa itokee katika kizazi hiki. Kiongozi wa Marekani kushitakiwa kwenye mahakama yoyote nje ya Marekani yenyewe.

G. Bushi ameuwa maelfu ya innocent people, obama nae ivyo ivyo, tony blair, cameron, sarkozy n.k,,,,, sharon, netanyahu n.k hawa wameuwa sana wapalestina n.k lakini hawachukuliwi hatua.
 
Ni kweli kabisa inabidi kizazi chote cha gadafi kipigwe marufuku kujihusisha na siasa libya;

kwa sababu gaddafi alisomesha walibya wote na kuwatibu bule, gaddafi alitoa posho ya dolla Elfu 5, kwa kila mwanamke aliyekuwa mjamzito kwa ajili ya kujikimu, gaddafi ndiye aliekuwa anawalipa mshahala waitimu wote wa chuo kama waajiliwa wengine mpka pale serikali itakapo wapa ajila, ndiye huyu huyu gaddafi aliyekuwa anauza mikate 40 kwa dolla moja, ndiye huyu huyu gaddafi asiyetakiwa kizazi chake kutawala tena libya kwa maana libya ya sasa tangu marekani na magaidi wenzie wavamie imekuwa sehemu salama kama peponi, uchumi umekuwa watu wanaamani hakuna vita, watu wanakula raha tu,
Unaweza ukatoa ushahidi shadidifu wa haya unayomsingizia Gaddafi kwamba aliwafanyia Raia wake au Ni mwendelezo wa stori za kwenye kahawa? Alitoa Dollar Elfu 5 kwa kila Mwanamke aliyekuwa akijifungua? Basi tuseme Ni kweli.

Kipindi Cha Gaddafi,idadi ya Walibya wote (2010) ilikuwa Milioni 6.5. hapo wanawake Ni wengi kuliko wanaume. Tuseme wanawake walikuwa Jumla 3.5M

Kati ya hao,tuseme Wajawazito Ni 600,000.

600,000 × $ 5,000 = $3,000,000,000

Hapo tunazungumzia Dollar 3B sawa na Tsh 7 Trillion kila Mwaka.


Eti alitoa Mishahara kwa waliomaliza vyuo Mpaka walipopata ajira za kazi Walizozisomea? Ngoja tuone.

Takwimu zinaonesha kwamba,Kila mwaka Wahitimu wa Vyuo vikuu na Vyuo vya Kati nchini Libya walikuwa Elfu 70.

Tuseme Wasitani wa Mshahara wa kila mtu Ni $ 600 kila mwezi.

$ 600 × 70,000 = $ 42,000,000
$ 42M × 12 = $ 504M

Hapo tunazungumzia $ 504M sawa na Tsh 1.3 Trillion kila Mwaka.

Wakati wa Utawala wa Gaddafi kabla ya 2011,Nchi ya Libya ilikuwa na Jumla ya Wanajeshi Laki moja. Wastani wa Mshahara wa kila mwanajeshi kwa Mwaka ilikuwa Ni $ 1,200 kwa mwezi.

$ 1,200 × 100,000 = $ 120,000,000

Kwa mwaka Ni $ 120,000,000 × 12 = $ 1,440,000,000

Hapo tunazungumzia $ 1.44B sawa na Tsh 3.4 Trillion.

Pia,Ukiondoa Wanajeshi,Jumla ya wafanyakazi wengine wa Umma nchini Libya ilikuwa Laki 6 wakiwezo Walimu,Manesi,Madaktari,Wafanyakazi viwanda vya Mafuta,Polisi,Walinzi wa Misikiti,n.k

Wastani wa Mshahara wa kila Mfanyakazi ilikuwa $ 800 kwa mwezi

$ 800 × 600,000 = $ 480,000,000

Kwa mwaka Ni $ 480,000,000 × 12 = $ 5,760,000,000

Hapo tunazungumzia $ 5.76B sawa na Tsh 13.6 Trillion.

Ukijumlisha vyote hapo na vile ambavyo sijapiga hesabu ambavyo mnahadithiana kwamba Gaddafi alivifanya Libya enzi za Uhai wake Pesa inakuwa nyingi kuliko Pato ghafi la Nchi ya Libya.

Hapo inaonesha kwamba,huo UPUUZI wa eti aliwajengea Nyumba bure,kuwalipa mishahara wasio na ajira,Kuwalipa waliojifungua,Kuchangia gharama kwa 50% ya mtu kuagiza Gari nje, na mengine Ni hadithi za kusadikika. Na Kama yalifanyika Basi Ni kwa watu wachache(Upendeleo) na Sio kwa kila mwananchi.
 
Unaweza ukatoa ushahidi shadidifu wa haya unayomsingizia Gaddafi kwamba aliwafanyia Raia wake au Ni mwendelezo wa stori za kwenye kahawa? Alitoa Dollar Elfu 5 kwa kila Mwanamke aliyekuwa akijifungua? Basi tuseme Ni kweli.

Kipindi Cha Gaddafi,idadi ya Walibya wote (2010) ilikuwa Milioni 6.5. hapo wanawake Ni wengi kuliko wanaume. Tuseme wanawake walikuwa Jumla 3.5M

Kati ya hao,tuseme Wajawazito Ni 600,000.

600,000 × $ 5,000 = $3,000,000,000

Hapo tunazungumzia Dollar 3B sawa na Tsh 7 Trillion kila Mwaka.


Eti alitoa Mishahara kwa waliomaliza vyuo Mpaka walipopata ajira za kazi Walizozisomea? Ngoja tuone.

Takwimu zinaonesha kwamba,Kila mwaka Wahitimu wa Vyuo vikuu na Vyuo vya Kati nchini Libya walikuwa Elfu 70.

Tuseme Wasitani wa Mshahara wa kila mtu Ni $ 600 kila mwezi.

$ 600 × 70,000 = $ 42,000,000
$ 42M × 12 = $ 504M

Hapo tunazungumzia $ 504M sawa na Tsh 1.3 Trillion kila Mwaka.

Wakati wa Utawala wa Gaddafi kabla ya 2011,Nchi ya Libya ilikuwa na Jumla ya Wanajeshi Laki moja. Wastani wa Mshahara wa kila mwanajeshi kwa Mwaka ilikuwa Ni $ 1,200 kwa mwezi.

$ 1,200 × 100,000 = $ 120,000,000

Kwa mwaka Ni $ 120,000,000 × 12 = $ 1,440,000,000

Hapo tunazungumzia $ 1.44B sawa na Tsh 3.4 Trillion.

Pia,Ukiondoa Wanajeshi,Jumla ya wafanyakazi wengine wa Umma nchini Libya ilikuwa Laki 6 wakiwezo Walimu,Manesi,Madaktari,Wafanyakazi viwanda vya Mafuta,Polisi,Walinzi wa Misikiti,n.k

Wastani wa Mshahara wa kila Mfanyakazi ilikuwa $ 800 kwa mwezi

$ 800 × 600,000 = $ 480,000,000

Kwa mwaka Ni $ 480,000,000 × 12 = $ 5,760,000,000

Hapo tunazungumzia $ 5.76B sawa na Tsh 13.6 Trillion.

Ukijumlisha vyote hapo na vile ambavyo sijapiga hesabu ambavyo mnahadithiana kwamba Gaddafi alivifanya Libya enzi za Uhai wake Pesa inakuwa nyingi kuliko Pato ghafi la Nchi ya Libya.

Hapo inaonesha kwamba,huo UPUUZI wa eti aliwajengea Nyumba bure,kuwalipa mishahara wasio na ajira,Kuwalipa waliojifungua,Kuchangia gharama kwa 50% ya mtu kuagiza Gari nje, na mengine Ni hadithi za kusadikika. Na Kama yalifanyika Basi Ni kwa watu wachache(Upendeleo) na Sio kwa kila mwananchi.

IMG_1786.jpg

Hii ndiyo libya ya gaddafi dikteta
IMG_1785.jpg
IMG_1784.jpg

hii ndiyo libya ya demokrasia
 
Kwahiyo hayo Magorofa ambayo hata hayajafikia idadi Yale yaliyoko Kariakoo ndio mnamsifu Gaddafi kwamba Alitoa Mishahara kwa wasio na ajira?

Kama shida Ni Magorofa mbona hata Kariakoo yamejaa? Basi na Watanzania wapewe Mishahara kwa wasio na ajira.
Fanya tafiti kabla hujaanza ku post pumba, gaddafi Kafanya mengi kwa nchi yake ambayo mtu kama wewe ukiambiwa utaona hayawezekani....... Nilikua hater wa Gaddafi kama wewe na kuamini chochote kinachorushwa na Western Media mpaka pale nilipojua nini maana ya Propaganda
Gaddafi aliondolewa kwa hila za Ufaransa, na Washirika wake (USA + NATO) baada ya kuona potential ya project yake ya Gold Dinar ambayo ingetikisa kwa kiasi kikubwa uchumi wa ufaransa

Kumuondoa, ikabidi wa fool watu kuwa Gadaffi ni dictator
Kama walivyosema Saddam Husein ana silaha za Nuclear, wakati hakua nazo

Marekani na washirika wake, wameharibu nchi nyingi zisizofata sheria zao kwa jina la Demokrasia, Democracy is flawed, inafanya vizuri kwenye nchi yenye watu 10,000 tu baada ya hapo ni useless, kila nchi ina uhuru wa kuwa na mfumo unaofanya kazi kwao, Gaddafi aliweza kusuka mfumo uliofanya kazi Libya

Now, umeiona Librya mpya baada ya ujio wa Demokrasia?
 
Tume ya Uchaguzi Nchini Libya imekataa maombi ya Urais ya Wagombea 25 akiwemo Mtoto wa aliyekuwa Kiongozi wa Taifa hilo, Muammar Gaddafi wakidai ni kutokana na sababu za kisheria

Tume hiyo imesema Saif al-Islam Gaddafi anakosa vigezo kwasababu alihukumiwa. Mahakama Jijini Tripoli ilimhukumu kifo bila kuwepo Mahakamani mwaka 2015 kwa uhalifu wa kivita

Gaddafi alizua utata baada ya kutangaza atawania Urais wa Libya. Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ilitoa Hati ya kumkamata kwa tuhuma za uhalifu wa kivita na mauaji aliyotenda Baba yake alipokuwa Madarakani

======

The son of Libya’s late leader Muammar Gaddafi has been excluded from running in the 24 December presidential elections.

The electoral commission rejected the candidacy of several applicants including Saif al-Islam Gaddafi, citing "legal reasons", local media reported.

Mr Gaddafi had sparked controversy after he announced he would run for president.

He is wanted by the International Criminal Court for alleged war crimes and murder committed when his father ruled the North African country.

The application of strongman Khalfa Haftar has also caused a stir in the country as he is facing criminal charges in US courts, but it is unclear if he's among those whose application have been rejected.

Libyan military prosecutors had asked the electoral commission to stop processing the candidacy paperwork of both Mr Gaddafi and Mr Haftar until they answer questions over the accusations.

Sixty people submitted applications to run for president of Libya by Monday's deadline.

Women's rights activist Leila Ben Khalifa, 46, is the only female aspirant.

Source: BBC
Mtoto wa Khadafi hawezi kuoitishwa kuwania Urais kutokana na shinikizo la Mataifa ya magharabi hata kama angepenya angetafutiwa mbinu za kumtoa pumzi - wazungu no watu wema hata kidogo.
 
Mbona hivyo vigorofa hata hapa Bongo vimejaa? Ndio vinawadanganya eti Maendeleo ya Libya? Utakuwa hujawahi Kufika Dar. Ukifika Dar hivyo vigorofa vya Libya Ni uchafu tu.View attachment 2024775View attachment 2024776

Wewe umetokea bushi nini? Hujaona pakutolea mfano ila dar uozo m2pu!!!! Yani wewe Unachoangaria ni magorofa na co maendeleo co!!! Mbona nchi nyingi tu duniani hazina magorofa marefu sana lakini economy yake Tanzania ikasome.
 
Ni kweli kabisa inabidi kizazi chote cha gadafi kipigwe marufuku kujihusisha na siasa libya;

kwa sababu gaddafi alisomesha walibya wote na kuwatibu bule, gaddafi alitoa posho ya dolla Elfu 5, kwa kila mwanamke aliyekuwa mjamzito kwa ajili ya kujikimu, gaddafi ndiye aliekuwa anawalipa mshahala waitimu wote wa chuo kama waajiliwa wengine mpka pale serikali itakapo wapa ajila, ndiye huyu huyu gaddafi aliyekuwa anauza mikate 40 kwa dolla moja, ndiye huyu huyu gaddafi asiyetakiwa kizazi chake kutawala tena libya kwa maana libya ya sasa tangu marekani na magaidi wenzie wavamie imekuwa sehemu salama kama peponi, uchumi umekuwa watu wanaamani hakuna vita, watu wanakula raha tu,
Hizi porojo hazina tofauti na zile za Wafuasi wa Kayafa wanapotetea Legacy mfu ya mungu wao mfu.
 
Niliwahi kusoma manifesto ta Saif, moja ya Agenda zake ni kuwa na Libya moja isiyo na Benghaz na Tripoli kama ilivyokua enzi za baba yake.
 
Kwahiyo hayo Magorofa ambayo hata hayajafikia idadi Yale yaliyoko Kariakoo ndio mnamsifu Gaddafi kwamba Alitoa Mishahara kwa wasio na ajira?

Kama shida Ni Magorofa mbona hata Kariakoo yamejaa? Basi na Watanzania wapewe Mishahara kwa wasio na ajira.

Endelea kuukaza ubongo
 
Hizi porojo hazina tofauti na zile za Wafuasi wa Kayafa wanapotetea Legacy mfu ya mungu wao mfu.

Kayafa hana legacy ndani ya nchi hii;na kama unaona nachosema mimi porojo basi sema wewe ambacho sio porojo;hoja upingwa kwa hoja na sio mipasho kama bunge la ndungai
 
Back
Top Bottom