Libya: Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa mapigano

Libya: Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa mapigano

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wito umetolewa kusitishwa mara moja kwa mapigano makali yanayohusisha makundi mawili ya Kisiasa yanayowania kuchukua Utawala wa Serikali katika mji mkuu wa Tripoli.

Taarifa ya Umoja wa Mataifa iliyoungwa mkono na Balozi wa Marekani nchini Libya, Richard Norland imesema kuwa mapigano hayo yamejumuisha mashambulizi ya holela kwenye maeneo ya raia wasio na hatia ambapo takriban watu 32 wameuawa na wengine zaidi ya 160 kujeruhiwa.

Nchi hiyo yenye utajiri wa Mafuta ilikuwa na viwango vya juu zaidi vya kuishi barani Afrika, ikiwa na huduma za Afya na Elimu bila malipo lakini utulivu huo umetoweka tangu kuondolewa kwa aliyekuwa kiongozi wake Muammar Gaddafi mwaka 2011.

===========================

National elections, scheduled for last year as part of a U.N.-sponsored peace process, were abandoned amid disputes about the rules governing the vote. They now appear even further off.

U.N. Secretary General Antonio Guterres called for an immediate halt to violence and for dialogue to end the impasse.

Several groups aligned with Bashagha in Tripoli appeared to have lost control of territory inside the capital on Saturday. Attempts by other forces, aligned to him and trying to advance into the capital from the west and south, appeared to stall.

A main military convoy that set out from Misrata, east of Tripoli, where Bashagha has been based for weeks, turned back before reaching the capital.

A top pro-Bashagha commander Osama Juweili said Saturday's fighting had been triggered by friction between armed forces in Tripoli. But he told Al-Ahrar TV that "it is not a crime" to try to bring in a government mandated by parliament.

Airlines said on Sunday flights were operating normally at Tripoli's Mitiga airport, a sign that security had been restored for now.

The Health Ministry said on Sunday that 32 people were killed in Saturday's violence and 159 were injured, without saying how many were fighters and how many were civilians.

Fire fighters were still trying to extinguish a blaze in a Tripoli apartment block on Sunday morning. A man standing among residents nearby said: "Who will compensate them? And who will bring the dead back to life?"

REUTERS
 
Back
Top Bottom